Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,143
- 61,601
Hujamwona aliyekuwa Mlinzi wa JPM alikuwa naye hadi kwenye Vikao vya Chama.Kumbe hawa Tiss wanaitumikia ccm!
Katiba yetu ya Nchi imeshindwa kutenganisha Chama na Serikali
Ndiyo maana Kwa Katiba yetu, ni vigumu sana kukiondoa Chama Tawala kupitia Sanduku la Kura