Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Hata nae alikuwa ni mnufaika angepigwa nyumba Kama tatu hivi za ustaafu angeufyata Kama mzee mwinyi.
Weupe ndo wenye uwezo wa kuacha maslai yao binafsi kwa faida ya jamii na sio mwafrika.
Mwafrika hawezi acha shibe yake akutee wewe
Usikute umeghilimishwa ubongo (you've been brainwashed), maana unasahau hao jamaa weupe unaowasifia wamegoma kuondoa magoti yao ya uhonyoaji kwenye shingo za rasilimali tele za Bara la Afrika. Jaribu kuwaza zaidi ya hapo.
 
Huyu ni mwana-CCM anayemwelewa Rais Magufuli, amejisikia poa kumwona live mtu anayemwonaga kwenye shideo tu ila leo kameet nae! Wewe unadhani ni nani mkuu?
Fuatilia utajua
 
Huyu ni mwana-CCM anayemwelewa Rais Magufuli, amejisikia poa kumwona live mtu anayemwonaga kwenye shideo tu ila leo kameet nae! Wewe unadhani ni nani mkuu?
Yupo CCM Makao makuu anapishana kwenye korido na akina Pole pole na Bashiru hivyo yeye kukutana na Magufuli ni rahisi mno, tuseme ni kama msaidizi wake kwenye Chama.
 
Huyu ni poison master , he was the one who poisoned Deputy CCM chairman Phillip Mangula by order from above . One of the tiss officers.
Magoti awe TiSS? Hahaha labda kawa TISS baada ya kupata kazi kwa Polepole.

Nilisoma naye huyu jamaa. Ni CCM tangu chuo baada ya chuo akaenda kua katibu wa Polepole.

Nafikiri bado ni katibu wa Polepole.
 
Sasa naelewa zaidi kwanini wapinzani wameshindwa uchaguzi, maana wanaamini katika siamba za yule bwana wa twitani na kwa mchezo huo mtashindwa uchaguzi mpaka akili ziweke sawa.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi
 
Hujui kuwa tangu Jiwe aingie madarakani mambumbumbu wengi wa kijani wameingizwa TISS?
Sijui. Kama kawa tiss baada ya chuo nakubali.
Kwani TISS anakuwa kabandikwa chapa usoni?
Hapana.
Kwani kusoma naye ndio kunazuia yeye kuwa huko?
Jifunze logic. Logically ni kwamba nimeishi naye muda mkubwa kiasi kwamba angekua basi hata a tiny shred ingeonekana.

Anyway, huyu jamaa alikua ana tatizo fulani hivi ni personal mno hiyo ishu siwezi kuitaja as ni faragha yake.

Kama ingekua duties zinamtaka awe pale chuo hilo tatizo hata lisingetakiwa kutokea.

Aliyemsaidia Magoti alikua katibu (naye alikua mwanafunzi pia) wa mbunge mmoja wa jimbo moja la Kaskazini huko.

Now niambie ni TISS gani atapata tatizo la kuhatarisha mishen halafu msaada aje kugewa na mtu mwingine kabisa?
 
Back
Top Bottom