Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Magoti awe TiSS? Hahaha labda kawa TISS baada ya kupata kazi kwa Polepole.

Nilisoma naye huyu jamaa. Ni CCM tangu chuo baada ya chuo akaenda kua katibu wa Polepole.

Nafikiri bado ni katibu wa Polepole.
Recruitment starts from school, chuo, mtaani, makazini, majeshini. na kuna wale wapo recruited na Watu flan kwa kazi maalumu na hawafamiki hata na DG

(HUKO MBELE WANAITWA "BLACK OPS") hawa wanaweza hata kumuondoa TISS na asijue tukio limefanywa na nani
 
Sijui. Kama kawa tiss baada ya chuo nakubali. Hapana. Jifunze logic. Logically ni kwamba nimeishi naye muda mkubwa kiasi kwamba angekua basi hata a tiny shred ingeonekana.

Anyway, huyu jamaa alikua ana tatizo fulani hivi ni personal mno hiyo ishu siwezi kuitaja as ni faragha yake.

Kama ingekua duties zinamtaka awe pale chuo hilo tatizo hata lisingetakiwa kutokea.

Aliyemsaidia Magoti alikua katibu (naye alikua mwanafunzi pia) wa mbunge mmoja wa jimbo moja la Kaskazini huko.

Now niambie ni TISS gani atapata tatizo la kuhatarisha mishen halafu msaada aje kugewa na mtu mwingine kabisa?
La kuwa personal tu linaonyesha kitu flani ila tu jua ivyo CV ya kuwa huko lazima uwe UVCCM
 
Sijui. Kama kawa tiss baada ya chuo nakubali. Hapana. Jifunze logic. Logically ni kwamba nimeishi naye muda mkubwa kiasi kwamba angekua basi hata a tiny shred ingeonekana.

Anyway, huyu jamaa alikua ana tatizo fulani hivi ni personal mno hiyo ishu siwezi kuitaja as ni faragha yake.

Kama ingekua duties zinamtaka awe pale chuo hilo tatizo hata lisingetakiwa kutokea.

Aliyemsaidia Magoti alikua katibu (naye alikua mwanafunzi pia) wa mbunge mmoja wa jimbo moja la Kaskazini huko.

Now niambie ni TISS gani atapata tatizo la kuhatarisha mishen halafu msaada aje kugewa na mtu mwingine kabisa?

Upo usingizini, endelea kukoroma tu!
 
Hako kajamaa kachawi sana, kuna project flani tuliwahi kupata ikawa ishapita kabisa hadi mabosi wa wizara wakawa wamekuja kufungua training ila kesho yake huyo magoti akawa amekuja akijifanya mmoja wetu cha ajabu muda wote anapiga stori na mabosi kutoka juu siku iliyofuata tukaambiwa project imesimama hadi hapo baadae ila kuja kufuatilia ni huyo magoti na uvcccm wengine waliokuwa wamepenyezwa ndo walienda kuchoma kuwa mradi umeshikwa na mamruki.
 
Sijui. Kama kawa tiss baada ya chuo nakubali. Hapana. Jifunze logic. Logically ni kwamba nimeishi naye muda mkubwa kiasi kwamba angekua basi hata a tiny shred ingeonekana.

Anyway, huyu jamaa alikua ana tatizo fulani hivi ni personal mno hiyo ishu siwezi kuitaja as ni faragha yake.

Kama ingekua duties zinamtaka awe pale chuo hilo tatizo hata lisingetakiwa kutokea.

Aliyemsaidia Magoti alikua katibu (naye alikua mwanafunzi pia) wa mbunge mmoja wa jimbo moja la Kaskazini huko.

Now niambie ni TISS gani atapata tatizo la kuhatarisha mishen halafu msaada aje kugewa na mtu mwingine kabisa?
huyo mtu mwingine unamjua cheo chake?unajuaje kama sio TISS pia?mkuu tofautisha TISS officials na wale undercover. undercover hawana alama na wanafanya kila jitihada asibainike. Halafu hata akipata tatizo sio kwamba linasoviwa automatic kama computer. Kuna hatua za kupitia ili kumnasua
 
huyo mtu mwingine unamjua cheo chake?unajuaje kama sio TISS pia?mkuu tofautisha TISS officials na wale undercover. undercover hawana alama na wanafanya kila jitihada asibainike. Halafu hata akipata tatizo sio kwamba linasoviwa automatic kama computer. Kuna hatua za kupitia ili kumnasua
Shida ni kwamba haujajua tatizo lenyewe.
 
Huyu mtu aliyepiga picha na Dkt. Magufuli ana cheo gani ndani ya CCM?

View attachment 1618318
Sijajua lengo lako ni lipi kuleta picha ya mtu kutaka kumfahamu huku wewe mwenyewe ukiwa haufahamiki.

Hii inatoa mwanya wa kila mtu kuandika ubaya au uzuri na vile tuna bahati mbaya ya watu kupenda kuamini mambo mabaya basi unakuta mtu anachafuliwa.

Naona ni kama una nia ovu kwani hiyo pic uliyoweka ndio huyo ndugu ameiweka kwenye profile pic yake ya WhatsApp. Itoshe kusema kuwa huyo ndugu ni mwanaccm hai na ni mmoja wa watumishi wa chama tena mtumishi mwaminifu, hodari na mchapakazi. Tafadhali sana, aachwe aishi maisha yake binafsi.
 
Magoti awe TiSS? Hahaha labda kawa TISS baada ya kupata kazi kwa Polepole.

Nilisoma naye huyu jamaa. Ni CCM tangu chuo baada ya chuo akaenda kua katibu wa Polepole.

Nafikiri bado ni katibu wa Polepole.
Nimecheka sana mkuu ila yote kwa yote hako kajamaa ni kagonjwa kwahiyo hakawezi kuwa TISS vinginevyo lbd ugonjwa isiwe disqualification za TISS. Ni kabishi sana hako kajamaa
 
Hako kajamaa kachawi sana, kuna project flani tuliwahi kupata ikawa ishapita kabisa hadi mabosi wa wizara wakawa wamekuja kufungua training ila kesho yake huyo magoti akawa amekuja akijifanya mmoja wetu cha ajabu muda wote anapiga stori na mabosi kutoka juu siku iliyofuata tukaambiwa project imesimama hadi hapo baadae ila kuja kufuatilia ni huyo magoti na uvcccm wengine waliokuwa wamepenyezwa ndo walienda kuchoma kuwa mradi umeshikwa na mamruki.
Basi mshikaji ana roho ya uharibifu.
 
unataka tujadili kitu tusichokijua? Umenikumbusha wimbo mmoja wa Zouk unaitwa SIRI..msaani anasema yaliyomkuta ni Siri hawezi kusema.nikajiuliza alituimbia ili iweje
Tangu naanza kuandika nilisema naamini siyo kwakua kuna ishu ilitokea ambayo ilihatarisha uwepo wake chuoni. Ishu iliyomkuta ni private.

So tangu ulivyokua unaanza kuniquote ulitakiwa uone nimesema ishu yake ni private. Kama unamjua mtafute akwambie.
 
Nimecheka sana mkuu ila yote kwa yote hako kajamaa ni kagonjwa kwahiyo hakawezi kuwa TISS vinginevyo lbd ugonjwa isiwe disqualification za TISS. Ni kabishi sana hako kajamaa
Tena ubishi wake ni mnapofikia kujadili siasa za Tz.
 
Nimecheka sana mkuu ila yote kwa yote hako kajamaa ni kagonjwa kwahiyo hakawezi kuwa TISS vinginevyo lbd ugonjwa isiwe disqualification za TISS. Ni kabishi sana hako kajamaa
TISS sio jeshi bro uyu anaweza kuwa uko unaambiwa hadi machoko wapo unazani mchezo
 
Back
Top Bottom