Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,435
Reaction score
283,718
Huyu mtu aliyepiga picha na Dkt. Magufuli ana cheo gani ndani ya CCM?

IMG_20201103_001737.jpg
 
Pierre Liquid ameuchapa usingizi huku kashikilia mifuko ya suruali yaani pamoja na kuzungukwa na wana Lumumba wenzie lakini anajua hao wenzie wanaweza kuondoka na chochote alichonacho mfukoni. Hizi tetesi za kura kupotea Pierre anajua vitu zaidi ya kura anaweza kupoteza akiwa amezungukwa na wanaLumumba.
 
Pierre Liquid ameuchapa usingizi huku kashikilia mifuko ya suruali yaani pamoja na kuzungukwa na wanaLumumba wenzie lakini anajua hao wenzie wanaweza kuondoka na chochote alichonacho mfukoni. Hizi tetesi za kura kupotea Pierre anajua vitu zaidi ya kura anaweza kupoteza akiwa amezungukwa na wanaLumumba.

🤣🤣🤣
 
Huyu mtu aliyeiga picha na Dkt. Magufuli ana cheo gani ndani ya CCM ?View attachment 1618318
if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
 
if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
Aisee!
 
Una maana huyo ndiyo alimteketeza mkapa?

Duuh ,nimemkumbuka Mzee BM.

Angekuwepo sidhania kama angekaa kimya tuu bila kusema Chochote.

Wenzake waliobaki wanakaa kimya kutokana na mgongano wa kimaslahi .

Huyu mkewe na mtoto wanatafuta Ubunge na wamepata na huyu ana watoto wanatafuta Ubunge na Urais na wamepata. Sasa watasema nini tena.

Wanashida gani wakati wao wanawaambiwa Watanzania Mtapata maendeleo Miaka 50 ijayo kwa wajukuu zenu kuchapa kazi huko mashambani na kufanya vibarua kwenye mikonge na kusafisha mabarabara na kukata tiketi za ndege, huku watawala wao wakiwatafutia wajukuu zao mapesa na Mali kila sehemu ya Dunia hii mpaka wale ambao hawajazaliwa ili wakizaliwa wazikute zipo zinawasubiri na Chama chao kitawalinda.
 
Duuh ,nimemkumbuka Mzee BM.
Angekuwepo sidhania kama angekaa kimya tuu bila kusema Chochote..
Hata nae alikuwa ni mnufaika angepigwa nyumba Kama tatu hivi za ustaafu angeufyata Kama mzee mwinyi.

Weupe ndo wenye uwezo wa kuacha maslai yao binafsi kwa faida ya jamii na sio mwafrika.

Mwafrika hawezi acha shibe yake akutee wewe
 
if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
Hako kaone tu hivyo kanaweza kukugongea zaidi ya miaka Mia kwasababu ni mbishi kufa. Ndio hapo ujue Mungu ni pendo na tofauti kwasababu kila siku watoto wadogo wanakufa lakini mijitu kama hii na dingi yake aliyekuwa Waziri wa ulinzi bado
 
Back
Top Bottom