Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Kutuma picha za utupu/uchi kwa mpenzi

Cjakuelewa le akili kubwaazz [emoji85]
Go back 2y'r replay posts in zis sredi umeandika something ukiuona wakati wa mgegedo inatosha nikauliza mnini huo..??
 
Mimi nimewahi kutumiwa na wapenzi wangu ktk nyakati tofauti. Wa kwanza alikuwa mkoa mwingine kikazi. Akawa anajipiga ananitumia kama Mara mbili. Nikampiga mkwara mzito. Nikafuta picha zake.
Binafsi sipend hili suala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimewahi kutumiwa na wapenzi wangu ktk nyakati tofauti. Wa kwanza alikuwa mkoa mwingine kikazi. Akawa anajipiga ananitumia kama Mara mbili. Nikampiga mkwara mzito. Nikafuta picha zake.
Binafsi sipend hili suala

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mpenzi kakutumia picha wewe ukampiga asitume? You're one in a million.
 
Picha ya utupu hapana, labda km niko na night dress au dress yoyote but naked, a big No kbs.
 
kama ni picha ya mhogo ulioshiba....inakuwaga tamu balaaa.ila hatufanyi sahihi kiukweli.tabia mbaya hiyo
 
Kwa nini kutumiana picha za uchi that doesn't make any sense to me.

Kama ukitaka kumwona mwenzio akiwa uchi mkikutana wakati wa kutiana si mtaangaliana hadi mchoke.
 
Kwa nini kutumiana picha za uchi that doesn't make any sense to me.

Kama ukitaka kumwona mwenzio akiwa uchi mkikutana wakati wa kutiana si mtaangaliana hadi mchoke.
Watu wanataka kuselfika mkuu, hizo picha zina matumizi mengi tu we hujui.
 
Ufinyu wafikra na kutojitambua(man&woman)cz hakuna faida inayopatikana katika kupeana mapicha ya faragha.zaidi yakuja kununiana mbele ya safari kwa kuaibishana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa naona watu wanatumiana picha za uchi nashangaa saana tena wengine hardpics kabla ya hizi simu kuenea.

Kwangu tukikutana nafanya yangu nakuachia mwili wako ukajijue nao.
Nimekumisss
 
Back
Top Bottom