Ukipata nafasi rusha mammy, credibility ya mrushaji ni ishu hapa!Nashukuru watu wapo na mtaendelea kupata taarifa kutokana na nafasi yangu kuna wakati itakuwa ngumu.
kijana mdogo akili nyingi!!!!una uhakika kuwa wana jf wote wapo makazini? Jf ni kila kitu kilawatu na kila sehemu. Rip regia
Tundu Lissu pia kafika. Hojatete tuwasiliane mkuu
Nyuma ya ndugu za marehemu. Sijakuona mkuu, tshirt yako ipoUmekaa upande gani mkuu?
Nyuma ya ndugu za marehemu. Sijakuona mkuu, tshirt yako ipo