Josephine
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 786
- 812
Kutakuwa na Ibada ya kumuombea na kumuaga marehemu Mhe Regia Mtema katika kanisa la RC Segerea saa tisa mchana siku ya kesho J3.
J4 kuanzia saa nne asubuhi mwili wa marehemu utakuwa Katika Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya salamu za mwisho kutoka kwa wananchi wote na baada ya hapo safari ya kuelekea Ifakara.
Karibuni nyote.
J4 kuanzia saa nne asubuhi mwili wa marehemu utakuwa Katika Viwanja vya Karimjee kwa ajili ya salamu za mwisho kutoka kwa wananchi wote na baada ya hapo safari ya kuelekea Ifakara.
Karibuni nyote.