NASHANGAA Hamad Rashid yumo!hamad rashid yumo
Mwanangu nipe pole.
Ratiba inakaribia kuanza,
mhe Waziri Mkuu na mama Tunu Pinda wameshawasili.
Mwanangu nipe pole.
Ratiba inakaribia kuanza,
mhe Waziri Mkuu na mama Tunu Pinda wameshawasili.
Vipi Jakaya na Bwana Wilibroad wameshaingia ukumbini hapo au?
Mbatia naona anasaka seat
Watu ni wengi wameanza kujitokeza,waheshimiwa wabunge,viongozi wa serikali ngazi mbalimbali,na wananchi kwa ujumla wakiungana na wanafamilia pamoja na wanachadema..