TEH! teh! INAWEZEKANA ANAFANYA MATANGAZO YA KAMPUNI MBALIMBALI ZA NDEGE NA ANALIPWA NA MAKAMPUNI HAYO NA HATUMII KODI ZETU!!
Yupo kikazi zaidi! Mke atamcheleweza kuvunja record!Kote huko anasafiri na Gulfstream aliyonunua Mkapa!! Lakini mbona mkewe anamwacha Bongo?
Kasha timiza, hii ni safari 310 lakini anaweza kukaa siku 3 au nne ndio arejee hakuna mahali anaweza kwenda na kurudi labda east africaIna maana bado siku 54 atimize mwaka mzima nje ya nchi? Is this real?
Kote huko anasafiri na Gulfstream aliyonunua Mkapa!! Lakini mbona mkewe anamwacha Bongo?
Anaifanyia promo kampuni ya Syimbion PowerHivi anaenda kufanya nini?
Ina maana bado siku 54 atimize mwaka mzima nje ya nchi? Is this real?