MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Ila safari zake naona sasa zinazaa matunda! Mitambo yake ya Richmond ilimdodea sana, kwanza alimpata al alawi(Dowans) biashara ikawa mbovu,sasa kampata mbia wake mwingine wa kimarekani bw Hinks(Syimbion)
Matunda ndio huu mgao unatusumbua hapa Arusha au?