Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
tulianza na mungu tutamaliza na mungu ,jina la mungu lihimidiwe
 
nafikiri watu wa Lumbumba wako miongoni mwa hawa guest hapa

There are currently 373 users browsing this thread. (87 members and 286 guests)

Kuna jamaa kanitonya hapa kwa sms, anasema Lumumba vipakatwa viko busy lakini wote wanachungulia kama Guest, mwingine kutoka jumba kuu naye anasema Ust anakazia swaum yake huku akiwa anachungulia kama guest, hali ni hiyohiyo kutoka kwa neppe na savimbi yule mwenye laana ya vijana kwenye mitandao.
 
huleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..Sisi Tuna Mungu na watu , CCM ina Mabomu na shetani...
 
Huyu chemba la kimba hii laana itamuua,ndio maana alienda kuhutubia waandishi wa habari badala ya wanyiramba maana wameshamshtukia ni muuaji na hatarishi wa amani ya nchi....bwahahaaaaa unalo bibi limekuganda @Mwigulu Mchemba
 
Kuna jamaa kanitonya hapa kwa sms, anasema Lumumba vipakatwa viko busy lakini wote wanachungulia kama Guest, mwingine kutoka jumba kuu naye anasema Ust anakazia swaum yake huku akiwa anachungulia kama guest, hali ni hiyohiyo kutoka kwa neppe na savimbi yule mwenye laana ya vijana kwenye mitandao.

Muda sio mrefu 'Savimbi the killer' atatoa amri kuruta wake waingie uwanjani...
 
Watuhumiwa ambao ni makada wa CHADEMA wameshawasili wakiongozwa na Henry Kilewo na wenzake.mawakili wa pande zote nao wapo. Jaji ndo anasubiriwa
HIVI CCM HAWAONA KAMA NCHEMBA ANAWAAIBISHA SANA KWA HIZI KESI ZAO,its time now wampige chini?-Mwigulu ataandika katika dairy yake hajawahi kushinda kesi hata moja aliyoisimamia kwa fedha za wavuja jasho,this dude should be cursed
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom