Leo ndio fate ya Kamanda Kilewo na wenzake. Tunamuomba Mwenyezi Mungu Jaji afanye maamuzi ya haki kuwafutia mashtaka ya ugaidi
Leo mke wa Henry Kilewo Joyce Kiria amevaa Kombati za kaki. Yupo mahakamani na wake wa watuhumiwa wengine
New id,we huoni kama kesi anazoanzisha hazina kichwa wala miguu kwa kuwatumia polisi wasio waadilifu ndo maana cdm at the end inashinda na anakua amefanya promotion na dhahiri kua inaonewa chadema!!Mwigullu anawakomaza?
Ccm inajua kupotezea wa2 mda acid wamemwagia wao polisi wanapelekwa cdm kweli majanga.
Hivi mahakamani wanaruhusu kuvaa sare za chama?
Mkuu tupo pamojaWakili wa serikali amesisi abasema kwamba hii kesi imekuja kwa ajili ya uamuzi na kwamba wao wapo tayari kwa uamuzi. Pia wakili wa utetezi kasema wapo tayari kwA uamuzi. Jaji kasema sawa