Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
CCmchini ya uongozi wa JK ni utumbo mtupu..Rais na mwenyekiti wa chama anakosa watu wa kumshauri sijui kwa nini...
 
Hii ni aibu kubwa kwa Mwigulu Nchemba kwani aliokuwa amewabambikiza kesi za ugaidi wote wamefutiwa mashtaka.
 
Last edited by a moderator:
Tesha aligeuzwa mtaji na @mwigulu
 
Mwigulu Nchemba jamani basi kama ushahidi wa duniani umeshindikana si aende tu Mbinguni nako akajaribu?

Mkuu, hii ni kali, nakubaliana na wewe aende tu mbinguni maana alibwabwaja sana...
 
Hawa wanaokibilia kufungua hizi kesi sijui wana akili gani!
 
MUNGU ni mwema siku zote.... Mwigulu Nchemba ameona dalili za kufunguliwa mashitaka ICC kutokana na mauaji aliosababisha sasa ameamua kukimbilia makanisani eti kuihadaa dunia kuwa yeye ni mwema sana.... Asubiri ushahidi wa mabomu umuumbue ndo atajuta mjinga huyu
 
Last edited by a moderator:
CCM ni chama cha watu waliochoka Kimuonekano, hutarajii watakuwa na jipya, wanabebwa na polisi ambao nao hawajui hata walitendalo !
wanatumia gharama kubwa sana kwa upumbavu wa aina hii

1014423_588430331201914_1454476242_n.jpg

hapo mpaka kyupi ni njano na kijani.
 
MUNGU ni mwema siku zote.... Mwigulu Nchemba ameona dalili za kufunguliwa mashitaka ICC kutokana na mauaji aliosababisha sasa ameamua kukimbilia makanisani eti kuihadaa dunia kuwa yeye ni mwema sana.... Asubiri ushahidi wa mabomu umuumbue ndo atajuta mjinga huyu

January 2016 atakua anakula ugali na maharage , bakora na kazi ngumu kwenye Jela ya Manyoni
 
Hizi kesi za kubambikiza ni aina nyingine ya ufisadi wanayofanya hawa magamba
 
Hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho.
Hakuna lenye marefu lisilokuwa na mapana.
Hakuna lenye butu lisilokuwa na ncha.
Hakuna lenye baridi lisilokuwa na joto.

Huu ni mwanzo wa mwisho wa ubeberu wa CCM na serikali yake iliyowaasi wananchi wake kuanzia takriban miaka 10-20 iliyopita.

Huu ni mwanzo wa mwisho wa CCM na serikali yake ya kifisadi iliyoamua kuiuza nchi na rasilmali zake kwa bei ya kutupa kwa wawekezaji uchwara wanaokuja bila senti mfukoni, huku wakiwanyanyasa raia na kuwaua pasi na sheria kuchukua mkondo wake.

Huu ni mwanzo wa mwisho wa CCM na serikali yake kuisigina katiba kwa kumtuma DPP kuwafungulia wapinzani kesi mfu za uchochezi na ugaidi, huku wapinzani hao wakikamatwa na kuteswa na polisi kabla ya kufikishwa mahakamani, ambako hatimaye mashtaka yote dhidi yao hufutwa na serikali kuamriwa kulipa fidia kubwa huku serikali ikikosa nafasi ya kukata rufaa kwa kuwa ofisi ya DPP ilipeleka mashtaka ya kitoto?

Huu ni mwanzo wa mwisho wa CCM na serikali yake kulitumia vibaya Jeshi la Polisi kwa kuwa hatimaye Tume ya Haki za Kibinadamu na Utawala Bora umelitia hatiani jeshi hilo kuhusu mauaji ya Arusha ya Januari 5, 2011 huku IGP Mwema na RPC Andengenye wakiwa wahusika wakuu.

Na huu ni mwanzo wa mwisho wa CCM na serikali yake kuukandamiza upinzani kwa utawala wake wa kimabavu.

IGP Mwema,
RPC Andengenye,
DCP Chagonja,
DPP Feleshi...na viongozi wengine mlioshindwa kutumia vema madaraka yenu, mnangoja nini kuwajibika badala ya kusubiri kuwajibishwa?

Kwa kuwa tayari Katiba imevunjwa, kwa misingi hiyo hiyo, tutamshtaki Rais na serikali yake ICC, The Hague, potelea mbali kinga zake.

Huyu ataweka rekodi ya kuwa rais wa kwanza barani Afrika kushtakiwa ICC akiwa bado madarakani. Aibu na fedheha kwake na serikali yake na chama chake.

Wawakilishi wa kidiplomasia wa nchi za nje mnasubiri nini kufunga ofisi zenu? Au mpaka machafuko yaanze?

Dr. Slaa aliposema nchi haitatawalika, alimaanisha kwamba CCM ndiyo itasababisha hali hiyo na si CHADEMA. Hatimaye utabiri huo, kwa masikitiko yangu, umetimia.

Ee Mungu sikia kilio changu. Watoto wako wanakulilia. Katika safari ya ukombozi wengi wamekufa na wengi watakufa kwa mkono wa Shetani na mawakala wake. Kwa nini iwe hivyo?

Ninakushukuru Baba kwa wema wako kwa kutulinda na waovu hawa. Usituache Baba kwani tone moja tu la damu ya Yesu linaweza kuiokoa nchi hii na maafa. Ee Mungu tunasubiri utakaso wako kwani Mafarisayo wanatuzuia kuiona nchi yetu ya ahadi, Caanan. Ulitutoa Misri. Baba utakubali turudi huko?

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.

Amina.
 
images
2Q==
images
9k=


Kikosi cha Kushindwa cha usalama wa raia.

Hivi Feleshi alikuwa anacheza ngumi, mbona sura yake ina makovu mengi?
 
Hivi JF hamna uwezo wa kuanzisha li TV lenu, watangazaji watajitokeza tuu. Weka portal, ukipata news una login na kuipa live moja kwa moja kama Colo na Eli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom