PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Namkumbuka yule mhadhiri wa chuo kikuu kwenye ule mdahalo wa mustakabali wa amani ya Tanzania kwa miaka 50 ijayo.
Alisema "... Namshangaa Mwigulu amekuwa yeye ndiye muendesha mashtaka (dpp) na yeye ndiye rpc"
ndugu mtoi, huyu bwana nchemba, ni kilaza yeye na ccm yake mwisho wao umefika,kili wanalolipanga mungu analipangua, wewe ndugu mtoi, unafikiri mwenyezi mungu haoni mateso ya watanzania maskini wanao dhulumiwa rathili mali zao na wakina nchemba na ccm yao? hakika kilio cha watanzania kimemfikia mungu na mungu ameisha ikataa ccm ndio maana kila mipango yao inashindwa vibaya,,,,siku zote giza hali wezi kuishinda nuru,