Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
Ni kazi kuchanganya siasa na utendaji. Watoaji wa haki wanatakiwa wasimame kwenye haki na daima maji na mafuta havichangamani
 
Watuhumiwa ambao ni makada wa CHADEMA wameshawasili wakiongozwa na Henry Kilewo na wenzake.mawakili wa pande zote nao wapo. Jaji ndo anasubiriwa
hii thread ina 95 members and 339 guests browsing this thread kweli nimeamini JF ni kama maji usipoyanywa utayaoga
 
da Joyce Mungu akutunze kwa uvumilivu wako,utaendelea kupata unyumba wako kama kawa soon!!ila ujue mbaya wako ni gaidi Mwigulu Nchemba
 
Last edited by a moderator:
Maamuzi ya Jaji wa Mahakama Kuu Tabora ni kiboko kwa akili ndogo za CCM na Polisi!

"I hereby acquit all the accused free from all the offences charged thereon

and i hereby order the government to pay the accused Tsh 500 Million
so ordered..."
 
hii thread ina 95 members and 339 guests browsing this thread kweli nimeamini JF ni kama maji usipoyanywa utayaoga
mkuu, hao 339 miongoni mwoa wamo kina savimbi mwigulu, nepi, mr f..ck you etal.
 
lin mwigula atakwenda kutoa ushahidi mbinguni, huyu jamaa bweege sana, ..hii si akili ya kawaida, ni laana
 
Hongera makama kwa update nzuri,bila shaka judge kafanya kazi na ametekeleza majukumu yake bila shuruti
 
Sheria siyo siasa hata kidogo!ndio maana watu wanakaa darasani miaka ya kutosha wanasomea!

There are currently 517 users browsing this thread. (109 members and 408 guests)
 
Haki hucheleweshwa tu, lakini haki huwa haipotei daima.Ningekuwa DPP ningejiuzulu kwani hizi ni kashfa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom