Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

Hee wakuu bado mnataka video?... ama kweli ndio maana mlitaka picha za marehemu Balali... duh!
Hivi mnafahamu kwamba video zenye kuonyesha tukio zima huwa hazikubaliwi kama ushahidi kortini?... Na sababu kubwa ni kwamba video zinaweza kuwa edited, manipulated, modified to extent that ikapotosha ushahidi mzima.
Mara nyingi video ambazo zinaweza kubalika ni zile zinazoonyesha mazingira ya sehemu husika, jinsi ushahidi ulivyokusanywa kama ushahidi wenyewe kama upo (maji yaliyomwagwa vitini) hii ni baada ya tukio lenyewe, ama report ya kitengo cha Criminal Investigation Department ambayo kutokana na utumiaji wa video hiyo wameweza kumbana mhusika akakubali kuhusika..
Video hutumiwa na vitengo vya polisi kumbana mhusika na ikisha toka hadharani (public) haiwezi tena kutumika kama ushahidi,(naomba kukosolewa na wanasheria) na hata kama korti zetu zinaruhusu video za namna hii. Kisha tunajaribu kutafuta kitu gani hapa?... wananchi kuhakikisha kuwa alikuwa Chenge?... je akiwa ndiye then what! maanake ni video hiyo hiyo inayotazamwa na vyombo vya usalama ambao wanaweza kuchukua hatua lakini sisi Wadanganyika sana sana tutacheka sana kumwona Chenge akivua digree zake na kubakia uchi wa nyama akinuizia elimu nzito ya sayansi ya mwafrika!..
 
1. Posted Date::6/14/2008

Tuhuma za ushirikina Bungeni zafikishwa polisi
Na Midraji Ibrahim, Dodoma

1. SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amesema suala la mbunge na afisa mmoja wa bunge kuzunguka na kunyunyiza vitu vinavyohisiwa vya kushirikiana kwenye kiti viti vya wabunge limekabidhiwa kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma (RPC) na Idara ya Usalama wa Taifa.


2. Akizungumza baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) jana, Sitta alisema Kaimu Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah amekabidhi suala hilo kwa RPC na usalama wa taifa kwa ajili ya upelelezi.

3. ''Tukio lipo na kamera sita zilikuwa zimezimwa, lakini moja ililinasa ingawa picha imefifia, sasa tumekabidhi kwa RPC na usalama wa taifa watachezesha kuanzia mwanzo wa tukio mpaka mwisho baadaye tutapata taarifa,'' alisema.

4. Sitta alisema, sio vizuri hivi sasa kuzungumzia kwa undani tukio hilo kwa sababu, linahitaji upelelezi na kwamba, picha hiyo inaonyesha watu wawili wakipita kwenye viti vya wabunge.

5. Aliongeza tukio hilo limeshtua bunge kama taasisi

Quote:- Fundi Mchundo

1. Kuendekeza usiri ndiyo mara nyingi unatuletea matatizo na si vinginevyo. Tatizo lako ni kuwa unataka kutuaminisha wote kuwa video inaonyesha kuwa Chenge anaweka kitu wakati hakuna ushahidi isipokuwa hearsay!

2. Au mwenzetu unataka kutuambia kuwa ulishuhudia hicho kitendo cha Chenge? Au uliiona video?

3. Usitegemee hata siku moja kuwa wote tutadandia band- wagon ati kwa sababu Mkuu umeleta dataz. Wewe (na sehemu kubwa ya jamii) unaamini kuwa Chenge alikuwa anafanya usangoma, na ni haki yako kabisa. Mimi siamini (pengine niko peke yangu), na ni haki yangu kabisa.

Mkuu Fundi,

Next time kabla hujakurupuka hapa JF na uzandiki na majungu na chuki zako, hakikisha kuwa una facts, kwa sababu sisi huwa tunaongea na facts na sio majungu na uazndiki na chuki kama zako, now look at the facts hapo juu kutoka kwenye gazeti la taifa,

Tizama hizo facts ni nani anasema kuna video, na ni nani amesema wamewapa polisi na uwt, nafikiri kila mtu mwenye akili timamu hapa JF anaweza kuuuona ukweli ulipo, as opposed na mahambulizi yako ya ya majungu na fitina kama sio chuki kwangu, sasa ni vyema ukanyamaza maana maneno yote ni hayo juu, mimi sikusema nina video, wala nimeiona video, wala sijamlazimisha mtu kuamini anything, haya yote ni majungu yako, acheni kukurupuka na chuki tafuta facts kwanza kabla hujarukia wakulu!

Aibuuu hiii mtu mzima, hovyoooo!
 
Hee wakuu bado mnataka video?... ama kweli ndio maana mlitaka picha za marehemu Balali... duh!
Hivi mnafahamu kwamba video zenye kuonyesha tukio zima huwa hazikubaliwi kama ushahidi kortini?... Na sababu kubwa ni kwamba video zinaweza kuwa edited, manipulated, modified to extent that ikapotosha ushahidi mzima.
Mara nyingi video ambazo zinaweza kubalika ni zile zinazoonyesha mazingira ya sehemu husika, jinsi ushahidi ulivyokusanywa kama ushahidi wenyewe kama upo (maji yaliyomwagwa vitini) hii ni baada ya tukio lenyewe, ama report ya kitengo cha Criminal Investigation Department ambayo kutokana na utumiaji wa video hiyo wameweza kumbana mhusika akakubali kuhusika..
Video hutumiwa na vitengo vya polisi kumbana mhusika na ikisha toka hadharani (public) haiwezi tena kutumika kama ushahidi,(naomba kukosolewa na wanasheria) na hata kama korti zetu zinaruhusu video za namna hii. Kisha tunajaribu kutafuta kitu gani hapa?... wananchi kuhakikisha kuwa alikuwa Chenge?... je akiwa ndiye then what! maanake ni video hiyo hiyo inayotazamwa na vyombo vya usalama ambao wanaweza kuchukua hatua lakini sisi Wadanganyika sana sana tutacheka sana kumwona Chenge akivua digree zake na kubakia uchi wa nyama akinuizia elimu nzito ya sayansi ya mwafrika!..

Yale yale ninayozungumzia! Sasa tunaambiwa Chenge alikuwa uchi wa nyama! Mimi binafsi sijali kama hiyo video itaonyeshwa au la. Ninachosema ni kuwa ili kukata mzizi wa fitna wangeionyesha. Lakini kwa vile najua mind set yetu, I am not holding my breath! Kwa hilo la kutukuwa ushahidi mara inapotoka hadharani, mbona R. Kelly alishtakiwa kutokana na video iliyosambazwa kwenye intaneti? Najua kule ni marekani na hapa ni Tanzania. Ndiyo maana I am not holding my breath.
 
Aliyeingia bungeni usiku atajwa

na Martin Malera, Dodoma

1. KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kapteni John Chiligati, jana alimtaja mbele ya waandishi wa habari mbunge ambaye aliingia katika ukumbi wa Bunge jioni ya Jumatatu.

2. Tukio hilo linahusishwa na ushirikina kwa mujibu wa taarifa zisizo rasmi, ambazo zimekuwa zikisambaa kwa muda wa siku tatu zilizopita.

3. Ingawa hakumtaja kwa jina, Chiligati alisema kuwa mbunge huyo alikuwa waziri lakini sasa hana tena wadhifa huo.

4. Chiligati alisema kwamba, kwa kuwa Bunge lilikuwa linaanza vikao vyake siku inayofuata, mbunge huyo aliona ni busara kutafuta mahali pa kukaa jioni hiyo, ili asisumbuke asubuhi. Alikiri kuwa ni kweli aliingia ndani ya ukumbi wa Bunge na kupita katika kila kiti, akiangalia majina kwa lengo la kutafuta kiti kilichokuwa wazi.

5. Spika Samuel Sitta, naye alishathibitisha kuwa, zipo picha zinazomuonyesha mbunge huyo akiwa ameandamana na mtumishi mmoja wa Bunge, akipita katika viti kadhaa ndani ya ukumbi huo wakati ukiwa umefungwa.

6. Ingawa Sitta na Chiligati waliepuka kumtaja mbunge huyo kwa jina, lakini kiongozi ambaye alikuwa waziri na kujiuzulu katika siku za hivi karibuni ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge.
 
Jeshi la Polisi limesema kuwa unga unga uliokutwa kwenye baadhi ya viti vya Wabunge wiki iliyopita baada ya Mhe. Chenge kuvipitia "akitafuta mahali pa kukaa" utapelekwa kwa Mkemia Mkuu wa serikali Jijini Dar kwa uchunguzi zaidi. Hayo yamesemwa na Jeshi la Polisi leo na wameahidi kuwa matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa mara moja.

Hizi zote ni facts na sio dataz, sidhani kama mtu anahitaji kuwa professor kuamini kuwa I have nothing to na hizi facts, uache majungu na chuki bro!
Hapa JF hakuna wagon wala nonesense, hapa tuna dataz na facts always hatuna ujinga hapa!

Ahsante Mkuu!
 
Next time kabla hujakurupuka hapa JF na uzandiki na majungu na chuki zako, hakikisha kuwa una facts, kwa sababu sisi huwa tunaongea na facts na sio majungu na uazndiki na chuki kama zako, now look at the facts hapo juu kutoka kwenye gazeti la taifa,

Don't flatter yourself. Nitakuchukiaje wakati sikujui wala sina haja ya kukujua? Mimi nimepinga kinachoenezwa bila ushahidi unaoniridhisha. Wewe unatuletea dataz ambazo hatuwezi kuzithibitisha. Sasa nani anayeendekeza majungu, uzandiki na chuki? Mimi sijamtuhumu mtu. Si kila kinachoandikwa kwenye gazeti ni fact. Si Daily News, Daily Mirror au New York Times. Soma vizuri kilichoandikwa na hao waheshimiwa. Sitta amesema picha inaonyesha watu wawili WAKIPITA kwenye viti vya wabunge. Sasa kama walikuwa wakinyunyiza kitu na kitu gani ndicho kinachochunguzwa. Hivyo ndivyo nilivyoelewa. Hakuna mahali ambapo wanasema alikuwa uchi wa nyama kama ilivyodaiwa na baadhi yetu. Sasa baada ya uchunguzi , wakija sema kuwa hakuna dalili ya ulozi au sumu, utawaamini? Mpaka sasa hamna facts hapa inayothibitisha imani yako.

Mimi nimekuwa napinga imani za ulozi si kwa waheshimiwa tu, bali kila mahali lilipojitokeza. wakati tuko kurasa ya 65 na kuendelea kujadili suala hili, kuna jamaa ameleta ishu ya shule ya Rashid Kawawa, na hakuna aliyechangia! Ishu inayohusu taifa letu la kesho na hali ambayo wenzetu wengi wanakabiliana kila siku. Hiyo hatujali, bali suala la hili la ulozi linatutoa macho.

Naaam, uko sahihi kabisa kusema kuwa mimi ni mtu mzima. Na ni ovyoooo! Lakini bado haujani'convince' na hizo dataz zako. Wengine pengine, lakini siyo mimi.
 
Hizi zote ni facts na sio dataz, sidhani kama mtu anahitaji kuwa professor kuamini kuwa I have nothing to na hizi facts, uache majungu na chuki bro!
Hapa JF hakuna wagon wala nonesense, hapa tuna dataz na facts always hatuna ujinga hapa!

Ahsante Mkuu!

Kwa mtaji huu, hatufiki mbali. Kuna ushahidi gani kuwa huo unga unga aliuweka Chenge? Ni muda gani ulipita baada ya video kunaswa na ushahidi kuchukuliwa. Kuna ushahidi gani kuwa huo unga haukuweko kabla ya chenge kupita? Mkemia Mkuu akisema ni unga wa kawaida tuu au naye mtamwamini? Au kama kawaida, utadai kupata nyeti kutoka kwenye maabara Ocean Road kuwa ushahidi ulibadilishwa? Au Mkemia Mkuu amelambishwa visenti? Endelea kuleta hizo dataz lakini usitegemee kuwa wote tutazikubali kwa kuwa FMES amesema hivyo. baadhi yetu tutaendelea kuzichambua na kuzitafakari kama ambavyo hoja yeyote inayoletwa humu na mtu yeyote. Yasitukute ya Madison, Wisconsin!
 
Hakuna mahali ambapo wanasema alikuwa uchi wa nyama kama ilivyodaiwa na baadhi yetu.

Nomba uonyeshe facts au ushaidi wa haya maneno kusemwa na mimi kama huna basi ndio uzandiki wenyewe huo na chuki, ukweli huna mkuu on this kama unao uweke hapa, niliposema haya maneno yako?

Mpaka sasa hamna facts hapa inayothibitisha imani yako.

Mimi nimesema kuwa sina time na uchawi hata siku moja, lakini ninajua kuwa Mwakyembe anaumwa sasa hivi, na Amina Chifupa mekufa na huo huo uchwai, naona unajaribu tu kwa nguvu kulazimisha kisichokuwepo, nyamaza mkuu aibuu! facts zote hizo juu sio mimi mkuu ni Spika na maofisa wa bunge wakiosema mimi na Enigma tulileta dataz tu baadaye ukweli umethibitishwa na ni huo hapo juu, sasa unaweza kula mwawe kama hutaki!

Naaam, uko sahihi kabisa kusema kuwa mimi ni mtu mzima. Na ni ovyoooo! Lakini bado haujani'convince' na hizo dataz zako. Wengine pengine, lakini siyo mimi.

Mkuu ni wapi nimejaribu kuku-convince ninachooona hapa ni wewe kujaribu kujiweka kimbele kama kawaida yako, huku ukiwa huna hoja wala ukweli zaidi ya chuki na uzandiki, sijawahi hata siku moja kuja hapa kuajribu kum-convince mtu ambaye hawezi ona ukweli kuwa aliyesema kuwa kuna video ni Spika, na ushaidi ni uleee juu sasa unaponililia mimi ndio ukweli unajisema kuwa una lako mkuu hiovi huoni aibu wakati facts zote zile eeee juu!

Next time tafuta facts kwanza, nilijua kuwa toka mwanzo wa hii topic huko uliko unakufa kiroho na here you are aibuuuu mtu mzima, Mkuu nikukumbishe kuwa aliyeleta hizi dataz ni Enigma, sio mimi na Spika ameziunga mkono kuwa zipo mpaka video, sasa wewe una tatizo gani na mimi mkuuu? Acha chuki bro na fitina umeshakuwa hapa kwa muda mrefu sasa vipi bado tu hujaalemika tu!
Eti uko bongo damn!
 
wakati tuko kurasa ya 65 na kuendelea kujadili suala hili,

Duh! eti kurasa 65 tunajadili nini? Si unaona uwezo mdogo wa kuelewa hivi kweli hii topic inajadili uchawi wa Chenge tu? Mkuu macho yako kweli ni mazima?

usitegemee kuwa wote tutazikubali kwa kuwa FMES amesema hivyo. baadhi yetu tutaendelea kuzichambua na kuzitafakari kama ambavyo hoja yeyote inayoletwa humu na mtu yeyote.

Hili ndilo tatizo lako siku zote ni jina langu, ila huwezi fanya anything, ishu ilikuwa ya Joka Kuu sasa ulivyoweza kuigeuza na kujiweka wewe sielewi au wewe ndiye Joka Kuu, maana yeye namfahamu na wewe sio yeye sasa kilichokuwasha ni nini?

Yasitukute ya Madison, Wisconsin!

Ukisikia ujinga ndio huu bro, hilo la Wisconsin lilithibitishwa na MMJ kuwa ni street na sio State, hapa JF kuna wanaume kama mimi ambao tunaweka findings, halafu kuna watu kama wewe kazi kutleta anything na kujfanya kujua kumbe ni chuki tu uzandiki umekujaa, kwenye hii topic kuna dataz kibao aimethibitishwa kuwa ni kweli, hakuna hata moja, sasa najua ulikuwa unaumia tu huko pembeni unasubiri kutafuta something ndio tabia za watu wa iana yako waliojaa chuki na fitina na uzandiki, leo unaabika maana unajaribu kulzimisha hoja lakini huna nyamaza tu bro!

3. ''Tukio lipo na kamera sita zilikuwa zimezimwa, lakini moja ililinasa ingawa picha imefifia, sasa tumekabidhi kwa RPC na usalama wa taifa watachezesha kuanzia mwanzo wa tukio mpaka mwisho baadaye tutapata taarifa,'' alisema.
 
Nomba uonyeshe facts au ushaidi wa haya maneno kusemwa na mimi kama huna basi ndio uzandiki wenyewe huo na chuki, ukweli huna mkuu on this kama unao uweke hapa, niliposema haya maneno yako?



Mimi nimesema kuwa sina time na uchawi hata siku moja, lakini ninajua kuwa Mwakyembe anaumwa sasa hivi, na Amina Chifupa mekufa na huo huo uchwai, naona unajaribu tu kwa nguvu kulazimisha kisichokuwepo, nyamaza mkuu aibuu! facts zote hizo juu sio mimi mkuu ni Spika na maofisa wa bunge wakiosema mimi na Enigma tulileta dataz tu baadaye ukweli umethibitishwa na ni huo hapo juu, sasa unaweza kula mwawe kama hutaki!



Mkuu ni wapi nimejaribu kuku-convince ninachooona hapa ni wewe kujaribu kujiweka kimbele kama kawaida yako, huku ukiwa huna hoja wala ukweli zaidi ya chuki na uzandiki, sijawahi hata siku moja kuja hapa kuajribu kum-convince mtu ambaye hawezi ona ukweli kuwa aliyesema kuwa kuna video ni Spika, na ushaidi ni uleee juu sasa unaponililia mimi ndio ukweli unajisema kuwa una lako mkuu hiovi huoni aibu wakati facts zote zile eeee juu!

Next time tafuta facts kwanza, nilijua kuwa toka mwanzo wa hii topic huko uliko unakufa kiroho na here you are aibuuuu mtu mzima, Mkuu nikukumbishe kuwa aliyeleta hizi dataz ni Enigma, sio mimi na Spika ameziunga mkono kuwa zipo mpaka video, sasa wewe una tatizo gani na mimi mkuuu? Acha chuki bro na fitina umeshakuwa hapa kwa muda mrefu sasa vipi bado tu hujaalemika tu!
Eti uko bongo damn!

Niliisha kuambia kuwa una delusions of grandeur. Si kila kitu kinamzunguka FMES. Wachangiaji ni wengi humu ndani na si peke yako. Aliyezungumzia suala la chenge kuwa uchi wa nyama ni Mkandara. Mimi napinga hizi habari, whether amezileta Enigma, FMES au mwingine. Tatizo lako ni hako ka inferiority complex ambacho kinakufanya kuona kila anayepinga hoja unayoleta humu ana personal vendetta na wewe. Ndiyo maana hauchelewi ku'personalise' issues. Ujinga, uzandiki, Chuki, fitna, utu uzima ovyoo, kutokuelimika na mengine yanahusiana nini na hii mada na kuwa mimi naipinga? Wewe ukiwa yule yule ambaye haukawii kukimbilia kwa refa watu tukitaja neno upumbafu! mimi kuwa bongo, marekani, uhindini kuna husiana nini na mada hii? Your ignorance shows. Hauna ubavu wa kunielimisha.

Amandla.......
 
Niliisha kuambia kuwa una delusions of grandeur. Si kila kitu kinamzunguka FMES. Wachangiaji ni wengi humu ndani na si peke yako. Aliyezungumzia suala la chenge kuwa uchi wa nyama ni Mkandara.

Uliyemjibu sio Mkandara, ni mimi usiyeyushe hizo ndio mwenyewe unaziita inferior mind ni zako mwenyewe kujaribu kushambulia na kubadili badili maneno simama wewe!

Mimi napinga hizi habari, whether amezileta Enigma, FMES au mwingine. Tatizo lako ni hako ka inferiority complex ambacho kinakufanya kuona kila anayepinga hoja unayoleta humu ana personal vendetta na wewe. Ndiyo maana hauchelewi ku'personalise' issues.

Hili mkuu wala sina tatizo nalo, maana najua kuwa hapa JF kuna wenye akili sana ya kuweza kujua kati yangu na wewe nani ana shida ya inferior, hata mtu akifutailia kwa makini hiii topic atajua nani ana shida na inferior, tena hata kwenye real life hizi ndio zako mkuu you know it au mpaka tuseme?

Ujinga, uzandiki, Chuki, fitna, utu uzima ovyoo, kutokuelimika na mengine yanahusiana nini na hii mada na kuwa mimi naipinga?

Ishu nilikuwa nimejibu Joka Kuu na akanijibu, sasa kilichokusibu kama sio uzandiki nachuki ni nini mkuu?

Wewe ukiwa yule yule ambaye haukawii kukimbilia kwa refa watu tukitaja neno upumbafu! mimi kuwa bongo, marekani, uhindini kuna husiana nini na mada hii? Your ignorance shows. Hauna ubavu wa kunielimisha.

Sasa unaona uwezo wako mdogo wa kufikiri, sasa wewe huo ubavu wa kunielemisha mimi uko wapi? Mbona kila wakati unarukia matusi tu na kashafa kama una elimu kweli mbona siiioni? Acha hizo mkuu facts ziko clear hapa kuwa una matatizo ena makubwa sana!

Amandla.......

Haya ndio maneno ya kimapinduzi uchwara ya watu wa aina yako siku zote! Aibuu mtu mzima mkuu!
 
Vipi ukituonyesha ushahidi wa Mushi kufungiwa? Na amefungiwa na nani? Na amebishana na nani?

FMES naona umesikia sana raha mimi kufungiwa.
Ninaamini kuna wana jf wengine wenye kufikiria kama mimi watakaoendeleza mpambano.
Mimi namwendea Mkuu mwenyewe kule facebook face to face halafu nione kama facebook nao watanifungia
 
FMES naona umesikia sana raha mimi kufungiwa.

Mimi nimeona raha wewe kufungiwa? Wewe kwanza ni nani hasa maana haielweki, sasa aliyekufunguia ni nani hasa mbona husemi? Halafu umefungiwaje wakati uko hapa kama unavyosema mwenyewe?

Kwanza mimi sijui wewe ni nani? Halafu mimi sijalumbana na wewe sasa nimengiaje kwenye haya maneno yako? sasa kama unaenda huko wapi sijui mimi ukiniambia inanihusu nini hasa?
 
Sasa unaona uwezo wako mdogo wa kufikiri, sasa wewe huo ubavu wa kunielemisha mimi uko wapi? Mbona kila wakati unarukia matusi tu na kashafa kama una elimu kweli mbona siiioni? Acha hizo mkuu facts ziko clear hapa kuwa una matatizo ena makubwa sana!

Nimesema hauna ubavu wa kunielimisha. Hauna, period.Wameshindwa wengi tu, ama sivyo ningekuwa mhandisi na si Fundi Mchundo.

Anayemtukana mwenzie nani? Naona unataka kuelekea nisikokutaka. Siko hapa kukuvisha kilemba cha ukoka. Si hulka yangu. Nimeshaelezea msimamo wangu na sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe. Ila nakuhakikishia kuwa utapoleta dataz nisizokubaliana nazo, nitazipinga. Kama ambavyo nitampinga mwingine yeyote. Sio personal, ndivyo nilivyo.

Amandla.........(maneno ya mapinduzi uchwara!!!!!!! Lord have mercy!)
 
Mimi nimeona raha wewe kufungiwa? Wewe kwanza ni nani hasa maana haielweki, sasa aliyekufunguia ni nani hasa mbona husemi? Halafu umefungiwaje wakati uko hapa kama unavyosema mwenyewe?

Kwanza mimi sijui wewe ni nani? Halafu mimi sijalumbana na wewe sasa nimengiaje kwenye haya maneno yako? sasa kama unaenda huko wapi sijui mimi ukiniambia inanihusu nini hasa?

Hakuna shida mkuu...Mmekipata mlichokitaka...Mimi siongei tena hapa nitakuwa mtizamaji tu!
Ila nawasha moto kule Facebook mbele ya bosi wenu mliyeniban kwa kumwita jina ambalo linaweza kufutika kama akiproove hivyo!
Jf...Kweli siamini!
 
Sasa unaona uwezo wako mdogo wa kufikiri, sasa wewe huo ubavu wa kunielemisha mimi uko wapi? Mbona kila wakati unarukia matusi tu na kashafa kama una elimu kweli mbona siiioni? Acha hizo mkuu facts ziko clear hapa kuwa una matatizo ena makubwa sana!Nimesema hauna ubavu wa kunielimisha. Hauna, period.Wameshindwa wengi tu, ama sivyo ningekuwa mhandisi na si Fundi Mchundo.

Hayo ya uchundo waambie hawa wananchi sio mimi, huna cha uchundo wala lolote acha hizo bro!

Anayemtukana mwenzie nani? Naona unataka kuelekea nisikokutaka. Siko hapa kukuvisha kilemba cha ukoka. Si hulka yangu. Nimeshaelezea msimamo wangu na sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe. Ila nakuhakikishia kuwa utapoleta dataz nisizokubaliana nazo, nitazipinga. Kama ambavyo nitampinga mwingine yeyote. Sio personal, ndivyo nilivyo.
Amandla.........

Mkuu sasa ndio unaandika pumba tupu, sasa mimi kubisha kwako kunanihusu nini? Hii topic ina kurasa 65, wewe hapa mwishoni ndio unakuja kutafuta ujinga na kujaribu kuufanya ishu wakati wewe mwenyewe unaona hakuna ishu hapa ila ni matatizo yako mwenyewe? Mimi na wewe nani aliyekuwepo hapa mwanzo? Sasa leo nitishike na wewe? Eti una msimamo? upi huo? Unachobisha mimi sikioni kabisaa, aliyesema ana video ni Spika wa bunge, sasa sio ndio ninasema una uwezo mdogo sana wa kuelewa? Uchwi ni ishu ndogo sana kwenye hii topic ambako kuna ishu kibao lakini wewe kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri umeona uchawi tu, mkuu peleka hizo chuki zako mimi wala sina wasi wasi, nitaendelea kuakta ishus hapa kama kawa!
 
Hili mkuu wala sina tatizo nalo, maana najua kuwa hapa JF kuna wenye akili sana ya kuweza kujua kati yangu na wewe nani ana shida ya inferior, hata mtu akifutailia kwa makini hiii topic atajua nani ana shida na inferior, tena hata kwenye real life hizi ndio zako mkuu you know it au mpaka tuseme?

Sikuweza kujizuia! Shida ya inferior!!!!!! Your ignorance, as always, sir,shows!
 
Bush ameitwa majina mangapi?
Kama watu wanataka waitwe watakatifu kwanini wasi act accordingly?
Mimi kudai awakamate mafisadi ndio kosa?
JF kweli tunaenda wapi?
Na kama ni maneno ambayo ni mabaya...Ile email iliyosurface kwenye mtandao inayosema Tanzania Mafia ndiyo niliyoi quote!
Sikuanzisha mimi hizo tuhuma za umafia...Kiustaarabu hao mamods wangenieleza na si kunifungia ki hivi!
Yani kuna watu kama kina bubu wamenigeuka live huku nikifikiri tulikuwa pamoja!
Nakumbuka sana PM ya MWK kuwa umdhaniye ndiye.....
 
Back
Top Bottom