Kutoka Dodoma!

Kutoka Dodoma!

FMES,
Tangu nisome makala yako jana imenipa kutafakari mambo mengi sana. Nafikiri tusikate tamaa kiasi hicho. Tegemeo letu limebaki moja yaani KARATA ya Mwisho. Hii nafikiri anayo Kikwete. Sasa inategemea Kikwete ataicheza wakati gani. Hii imenikumbusha ile story ya THE GODFATHER. Mzee Don Carleon alikuwa kaishiwakabisa nguvu. Hata jamaa zake wengine walikuwa wamenunuliwa na wapinzani wake. Siku ya MAZISHI ya SANTINO mwanae au SONNY ndipo alipofanya maajabu (Samahani kama ntakuwa nimechanganya). Wakati mazishi yakifanyika, watu wake walikuwa BUSSY waki-eliminate adui zake wote. Mazishi yanaenda, baba yuko KAZINI kwa sana!! Sasa inategemea Kikwete ana akili kiasi gani. Kama HANA AKILI basi kweli TUMEKWISHA. Kama kama wanamu-underestimate basi inabidi tuseme SOON UFISADI UTAISHA maana wameshajiweka wao wote kwenye KAPU MOJA. Nasema hivi kwa sababu moja kubwa sana. Mlisema kuwa yule BOSS Othman nani sijui ni Mpelelezi na ni RAFIKI WA KIKWETE. Hosea kapanda na hivyo aliyekuja ni mtu wa Kikwete na atakuwa kazini kukusanya DATAs. Riport zote za uchunguzi wa UFISADI ziko kwake. Wauza unga ziko kwake nk nk. Anaweza subiri LAST MINUTE akacheza ule mchezo walimfanyia Boss wa Fat yaani RAGE kule Tabora. Walimuweka ndani na sasa imeonekana HANA HATIA ila ubunge hana wala KITI hana. Nafikiri Muungwana kwa kutumia hizo riport zote anaweza KIHAKI na KISHERIA kuwakamata na kuwafungulia mashitaka Mamvi, ANBEN, Dialo. Mramba, Msabaha, R Azziz, Chenge, Mwanyika, Mamvi Son, nk nk.
KIKWETE KAZI KWAKO. UKIFANYA MCHEZO JAMAA WATAKUMALIZA. Siye tuko na wewe maana BETTER THE DEVIL YOU KNOW, ingawa huyu shetani FISADI, mhhh hadi unasema labda nijaribu mwingine...

JK asiwaangushe wananchi. Kwa kuwa HANA sababu ya kuwaogopa mafisadi, nina uhahkika akiwafikisha kwenye sheria hao hapo juu he will be a trailblazer for other African leaders and he will almost certainly win the AFRICAN LEADERS ACHIEVEMENT PRIZE by Mo Ibrahim. Prize Money worth more than Tsh 5,000, 000, 000 and 200,000,000 every year for life.
 
Mkuu wangu pamoja na yote yanayoendelea, hii habari kwangu ni kichefuchefu, can u imagine badala ya kuwa-wean out watu kama kina Kingunge,Msekwa, kutoka kwenye siasa na kuleta kina Kilango wapya bado tunawang'ang'ania tu kina Msekwa. What can we get out of them.

Mkuu maneno ni mazito, lakini ukweli ni kwamba hawa jama kina lowassa na wenziwe, wanatumia dhana moja tu, nayo ni ujinga wetu wananchi, na ukitizama kwa makini events za wiki jana na leo unauona ver clear ujinga wetu wananchi,

Ni mpaka jana baada ya wananchi wengi kupiga kelele sana against maneno ya mama Anna Abdallah, na hasa our media, ndio message imefika huko kwa kundi la lowassa kuwa okay wawanchi wameshituka, ndo maana wamemuambia asigombee tena UWT, ukweli ni kwamba hawa kina lowassa na wenziwe wanategemea sana ujinga wetu wananchi, period!
 
Sikonge,
Mkuu kweli umechanganya... Aliyefanya madudu yote ni mwanae Michael (Al Pacino) na usafi ulifanyika siku mwanaye Michael alipobatizwa...walipoka Kanisani mchezo umekwisha...
Siku ya mazishi ya mzee ndio siku alofahamu wabaya wake... kumbuka mzee Colleone alimwachia Usia kuwa yeyote toka kundi lako atakayekuja kushauri kuweka Muafaka na maadui basi huyo ndiye MNAFIKI...
Kikwete kisha fuatwa na wanafiki kibao na cha kuchekesha anawaamini wote!... yaani naona kama vile bungeni kuna mchezo wa Julius Kaizari... wenye uchungu na nchi pamoja na kumtakia mema ndio wanaitwa maadui..
 
FMES,
Tangu nisome makala yako jana imenipa kutafakari mambo mengi sana. Nafikiri tusikate tamaa kiasi hicho. Tegemeo letu limebaki moja yaani KARATA ya Mwisho. Hii nafikiri anayo Kikwete. Sasa inategemea Kikwete ataicheza wakati gani. Hii imenikumbusha ile story ya THE GODFATHER. Mzee Don Carleon alikuwa kaishiwakabisa nguvu. Hata jamaa zake wengine walikuwa wamenunuliwa na wapinzani wake. Siku ya MAZISHI ya SANTINO mwanae au SONNY ndipo alipofanya maajabu (Samahani kama ntakuwa nimechanganya). Wakati mazishi yakifanyika, watu wake walikuwa BUSSY waki-eliminate adui zake wote. Mazishi yanaenda, baba yuko KAZINI kwa sana!! Sasa inategemea Kikwete ana akili kiasi gani. Kama HANA AKILI basi kweli TUMEKWISHA. Kama kama wanamu-underestimate basi inabidi tuseme SOON UFISADI UTAISHA maana wameshajiweka wao wote kwenye KAPU MOJA. Nasema hivi kwa sababu moja kubwa sana. Mlisema kuwa yule BOSS Othman nani sijui ni Mpelelezi na ni RAFIKI WA KIKWETE. Hosea kapanda na hivyo aliyekuja ni mtu wa Kikwete na atakuwa kazini kukusanya DATAs. Riport zote za uchunguzi wa UFISADI ziko kwake. Wauza unga ziko kwake nk nk. Anaweza subiri LAST MINUTE akacheza ule mchezo walimfanyia Boss wa Fat yaani RAGE kule Tabora. Walimuweka ndani na sasa imeonekana HANA HATIA ila ubunge hana wala KITI hana. Nafikiri Muungwana kwa kutumia hizo riport zote anaweza KIHAKI na KISHERIA kuwakamata na kuwafungulia mashitaka Mamvi, ANBEN, Dialo. Mramba, Msabaha, R Azziz, Chenge, Mwanyika, Mamvi Son, nk nk.
KIKWETE KAZI KWAKO. UKIFANYA MCHEZO JAMAA WATAKUMALIZA. Siye tuko na wewe maana BETTER THE DEVIL YOU KNOW, ingawa huyu shetani FISADI, mhhh hadi unasema labda nijaribu mwingine...
Hii ndiyo tunataka iwe plan B!
Umenena...Kama ccm hawana clue...Basi hiyo mmepewa na Sikonge!
Ila Sikonge inaweza pia ikawa wishfull thinking..Kwani kwasababu wengi tulikuwa na imani na Kikwete...Na sasa hatuamini macho yetu!
Kweli kuishi kwingi...!
 
Ushahidi Wa Kuwakamata Hao Aliowataja Sikonge Hapo Juu Upo!
Nyie Wabunge Hatutaki Tuamini Kuwa Huo Uchawi Umefanya Kazi Huko Bungeni!
Wakamatwe Mara Moja!
 
Mkuu maneno ni mazito, lakini ukweli ni kwamba hawa jama kina lowassa na wenziwe, wanatumia dhana moja tu, nayo ni ujinga wetu wananchi, na ukitizama kwa makini events za wiki jana na leo unauona ver clear ujinga wetu wananchi,

Ni mpaka jana baada ya wananchi wengi kupiga kelele sana against maneno ya mama Anna Abdallah, na hasa our media, ndio message imefika huko kwa kundi la lowassa kuwa okay wawanchi wameshituka, ndo maana wamemuambia asigombee tena UWT, ukweli ni kwamba hawa kina lowassa na wenziwe wanategemea sana ujinga wetu wananchi, period!


Nakubaliana na wewe kuwa ujinga umetutawala, mpaka sasa wengi wa tunaowajadili hapa kama wangekuwa kwenye "civilized countries" wasingeweza hata kuingia kwenye vikao kama bunge, NEC etc etc wangekuwa wanapitapita mahakamani au kwenye magereza. we have a big problem kuwalea na kuwatukuza wahalifu wakubwa, na kuwaua vibaka. So sad man. Hili linauma sana. Kweli kama hiyo team ya mafisadi ikipeta, lazima tukubali kuwa nchi yetu ni kapu la wajinga. Lakini at least sasa inaonekana kuwa si hivyo. naona kama wamefika siku ya 39 ya 40 just around the corner.
 
Walete plan B tuendelee kukata issue FMES TUNASUBIRI MAMBO!
 
If you are prepared then you are able to feel confident
Is jk prepared?
Confindence?
Remained to be seen as long as yuko meza moja na mafisadi na so far the slogan hapa ni...Walks like a duck,talks like a duck..Hell yeah its a gaddamn DUCK!
 
jamani hivi Pinda jana amesemaje kuhusu Epa na ishu zote za mafisadi... kama kunamtu anainfo anisaidie
 
Wakuu wangu heshima mbele kama kawa, ninaomba kuweka mpya kutoka Dodoma:-

1. Leo asubuhi Mbunge Chenge, alichukuliwa na polisi na kuepelekwa kituo cha polisi Dodoma mjini, kwa mahojiano ya muda wa karibu masaaa matatu kuhusiana na kitendo alichokifanya majuzi cha kujaribu kuweka "Uchawi" kwa baadhi ya wabunge wenziwe ndani ya bunge, kitendo ambacho kilikamatwa na vinasa picha vya jengo vilivyomo ndani ya jengo la bunge, Dodoma.

2. Mheshimiwa Mkapa, kwa mara ya kwanza leo amehudhuria kikao cha siri cha NEC, kinachoendelea toka jana usiku, mjini Dodoma, ameonekana akiwa hoi na amechoka sana, wachunguzi wa siasa hawaelewi ni kwa nini baada ya Mkapa kukataa kwa makusudi kuhudhuria vikao mbali mbali vya cc na NEC vilivyopita, safari hii ametokea bila ya taaarifa kuhudhuria kikao hiki, ambacho kimeitwa ghafla sana.

3. Gavana wa Benki kuuu Bwana Ndulu, kwa mara nyingine aliiitwa mbele ya kikao hiki kutoa maelezo mazito sana, kuhusiana na ishu za EPA, na zingine za ufisadi, according to the dataz ni kwamba alishambuliwa sana kwa maswali ya wajumbe huko ndani.

4. Hali ya Mbunge Shujaaa Mwakyembe, sio mbaya sana lakini sio nzuri pia, sasa hvii ninapooandika yumo njiani kuepelekwa Dar, kwenda kuangaliwa zaidi kiafya na wataaalamu wa juu wa afya nchini, inasemekana kuwa chanzo ni sangoma ya Chenge.

5. Kwa niaba ya wananchi wengi hapa, tumewasiliana na Mbunge Kimaro, ili aweze kuja na kutupa yanayojiri kulingana na haitma yake kiuongozi na all the ishus za siasa za taifa kwa ujumla, tunategmea kupata jibu rasmi baadaye kuhusu kupatikana kwake na siku, then tutawasilaina na wakulu wengine hapa na hasa mkulu MMMJ.

Ahsante Wakuu, na Mods naomba ikisha expire iepelekwe popote, ni kuhabarishana tu kinachoendelea kwenye siasa za taifa letu!!

Hawa polisi waliomhoji Chenge kwa uchawi wako tayari sasa kutoa report?
 
Hawa polisi waliomhoji Chenge kwa uchawi wako tayari sasa kutoa report?

Spika aliwapa masaa 72 kumpa ripoti ya uchunguzi wao, masaa yaliyokaribia kuisha wakasema kuwa wanapeleka unga kwenye maabara ya serikali, sasa sijui vipi kama ulisharudishwa kule ule unga, au?
 
Spika aliwapa masaa 72 kumpa ripoti ya uchunguzi wao, masaa yaliyokaribia kuisha wakasema kuwa wanapeleka unga kwenye maabara ya serikali, sasa sijui vipi kama ulisharudishwa kule ule unga, au?

..hii issue imetoweka kama ilivyotokea.

..haitorudi,na ikirudi itakuwa haina uhai.
 
Yaani polisi walikuwa wanasubiri deadline imalizike ndipo wapeleke unga kwa Mkemia?
Are they serious? Hapa nakubaliana na Dar si Lamu. Hili swala limeshazimwa.
 
[

Sio kosa letu JF, sisi ni kuripoti yanayojiri tu, uamuzi ni wa wananchi.

Kweli kabisa Field Marshall ES,

Uamuzi ni wa wananchi wasomaji na wote walioisikia hii habari. Kazi nyingine iko kwa viongozi wetu ambao nao wataonyesha kama wanatunza ahadi zao au la.
 
Mkuu Wangu Jasusi,

Hiyo bongo siku hizi inaitwa changa la macho, si Chenge alishasafishwa na NEC kuwa alikuwa anahama toka kiti alichokuwa anakaa zamani alipokuwa waziri na kuhamia mbele, au hukusikia hilo?
 
Back
Top Bottom