Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Poleni wamachinga wote. Nawapa pole lakini nawalaumu pia,mlijisahau sana, Mlibweteka. Ukiacha kulisha familia yako una faida gani kwa nchi?
Je, wewe mmachinga unataka maendeleo kweli huku hutaki kulipa kodi? Unataka mwanao aje asome shule nzuri,apate mkopo, serikali itatoa wapi pesa kama huingizii serikali kiasi chochote cha faida yako?.
Kwa sasa mitaani fremu zinapangishwa sana na nyingine zimepanda bei. Naamini baada ya chinga wote kuondoka itaanza operation ya wasiolipa kodi,mtaa kwa mtaa,kila mtu kwa sasa ukienda manispaa mbalimbali kumejaa wafanyabishara wanaochukua leseni,hii ni dalili nzuri ya serikali kuongeza pato lake.
Je, wewe mmachinga unataka maendeleo kweli huku hutaki kulipa kodi? Unataka mwanao aje asome shule nzuri,apate mkopo, serikali itatoa wapi pesa kama huingizii serikali kiasi chochote cha faida yako?.
Kwa sasa mitaani fremu zinapangishwa sana na nyingine zimepanda bei. Naamini baada ya chinga wote kuondoka itaanza operation ya wasiolipa kodi,mtaa kwa mtaa,kila mtu kwa sasa ukienda manispaa mbalimbali kumejaa wafanyabishara wanaochukua leseni,hii ni dalili nzuri ya serikali kuongeza pato lake.