mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
Hili la machinga limeshaisha ndugu kapange fremu ,machinga wameondolewa na Serikali ambapo kuna wachumi zaidi yako.Ungesoma uchumi usingeuliza swali hili.
Hakuna mtz asiyelipa kodi.
Hili la machinga limeshaisha ndugu kapange fremu ,machinga wameondolewa na Serikali ambapo kuna wachumi zaidi yako.Ungesoma uchumi usingeuliza swali hili.
Hakuna mtz asiyelipa kodi.
Mimi na umachinga wapi na wapi wakati tza ni tajiri na raslimali tele,njoo tufukue madini utajiri nje njeHili la machinga limeshaisha ndugu kapange fremu ,machinga wameondolewa na Serikali ambapo kuna wachumi zaidi yako.
Ni kawaida ya mtu akitaka kujustify hoja yake, kuongea hayo, je na mimi nikisema kuna duka lilikuwa limebanwa kweli na wamachinga sehemu hata ya kuingilia lakini baada ya machinga kuondolewa sasa anauza balaaa!!!kwani wamepigwa marufuku kufanya biashara?ni jambo la mpito tu watakubaliana na hali tu na maisha yataenda tu kama kawaidaAwatoshi kama machinga.
Nakupa case study.Kuna duka la jumla kabla ya machinga mauzo kwa siku milioni 25 hadi 30 baada ya machinga milioni 5 awapati kwa siku.
Hili duka linalipa income tax, viwanda vinalipa income tax effect ya machinga inaaffect production kiwandani na mauzo duka la jumla, uathiri mzunguko wa uchumi,means bodaboda atakosa kazi,mama lishe atouza chakula,nk
Mkuu kwani wamepigwa marufuku kufanya biashara?kwani unavyotetea hoja zako ni kama kwamba wameambiwa hivyo wanavyouza ni halamu!!!vitu sio haramu bali maeneo wanayouzia ndio haramuBiscuit,maji,juice,ngano,mikate,maandazi,ice cream,vinaingiza hela nyingi Sana kwa siku
Huwezi mtenganisha machinga na stand,KILA penye stand yafaa machinga watengenezewe mazingira.Mkuu kwani wamepigwa marufuku kufanya biashara?kwani unavyotetea hoja zako ni kama kwamba wameambiwa hivyo wanavyouza ni halamu!!!vitu sio haramu bali maeneo wanayouzia ndio haramu
hio mzee wa kaz wakisimama tu j wee wala hawaongei.kkil mtu atafafuta pa kupitamoIla kwa dar bila operation ya "MGUU WA KICHWA, MGUU WA SHINGO" WEKA UGOKO, NISHUSHE NONDO"jamaa hawatoki wote, kwani wanajifanya manunda sana!!leo ukipita mbagala kama hakuna kinachoendelea vile, Nadhani ili wasitumie pesa nyingi za kufanya operations, nyingi!!wafanye hivi"saa 10 alfajiri i unasambaza jwtz, mitaa ile korofi, halafu wao wanakuwa wamesimama tu kwenye maeneo hayo, hawasemi chochote kile!!ikifika saa 6 mchana, wanaondoka!!tayari umeshamaliza.
Leo kariakoo mgambo wametembeza kichapo, kwa wale manunda!!!kumbe mgambo akipewa heshima yake anaeza kuwa zaidi ya mwanajeshi daaa, walikuwa wanavunja mabanda mitaa ya karume bwana machinga wakaanza kulishambulia gari lao maalum la kuwahifadhi waleta fujo!bwana kuna jamaa walimkamata wameponda kichwa kama wanaua nyoka!!!
Yaani mkuu wa mkoa akitumia mbinu hii atapiga gori zuri sana.Ila kwa dar bila operation ya "MGUU WA KICHWA, MGUU WA SHINGO" WEKA UGOKO, NISHUSHE NONDO"jamaa hawatoki wote, kwani wanajifanya manunda sana!!leo ukipita mbagala kama hakuna kinachoendelea vile, Nadhani ili wasitumie pesa nyingi za kufanya operations, nyingi!!wafanye hivi"saa 10 alfajiri i unasambaza jwtz, mitaa ile korofi, halafu wao wanakuwa wamesimama tu kwenye maeneo hayo, hawasemi chochote kile!!ikifika saa 6 mchana, wanaondoka!!tayari umeshamaliza.
Hizo ni mbinu za kimedaniIla kwa dar bila operation ya "MGUU WA KICHWA, MGUU WA SHINGO" WEKA UGOKO, NISHUSHE NONDO"jamaa hawatoki wote, kwani wanajifanya manunda sana!!leo ukipita mbagala kama hakuna kinachoendelea vile, Nadhani ili wasitumie pesa nyingi za kufanya operations, nyingi!!wafanye hivi"saa 10 alfajiri i unasambaza jwtz, mitaa ile korofi, halafu wao wanakuwa wamesimama tu kwenye maeneo hayo, hawasemi chochote kile!!ikifika saa 6 mchana, wanaondoka!!tayari umeshamaliza.
Nikajua ungesema kutupiwa viragoNashauri neno 'kutimuliwa' lisitumike maana linaleta hali fulani ya kama uhasama na kutojali hivi. Nashauri 'kupangwa upya' au linalofanana na hilo litumike. Hawajatolewa bila kuonyeshwa maeneo mengine ya kwenda
Hahaaa hilo jina lako!!!! Hongera. Hivi wewe ni mbantu me au keMada yako iko supported na weak fundamentals..
Bado hujaniambia ni kwa namna gani hii sera ya kuwatimua wamachinga itaongeza uchumi..
Kafanye research upya
Tatzo unaangaria watu wachache ndio tatzoWanatia hasira sana!!kwani jiwe aliwapa jeuri mno!!!na kujiona kuwa wao ndio wachangiaji wakubwa wa uchumi kuliko hata bakhresa!!