Rais Samia awapa ajira za kudumu watumishi 2100 waliokuwa wanafanya kazi kwa mikataba TANROADS

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,051
49,736
Hongera sana Watumishi wa TanRoads Kwa kupata kazi za Kudumu na bila shaka mtakumbuka fadhila za Mama mwaka 2025 maana Kuajiri watu wengi hivyo Kwa mara Moja Huwa ni Kwa Walimu na Manesi tuu.Kwenye swala la Ajira Samia hana mpinzani.

Pia hongera sana bwana Besta ,always watu wa dini Ile Huwa na huruma maana ungeweza kuacha na kusema mbona wengine wameacha lakini ukachukua initiative ya kiungwana.

Maana sio Haki Taasisi Kuajiri na kutumia 70% ya Watumish Kwa mikataba then ikija Ajira wanapata watu wengine kabisa tofauti na hao ambao wanafanya kazi taasisi mda mrefu.

My Take
CEOs wengine wanifunze Kwa Bwana Besta hususani TARURA,RUWASA, TANESCO, Halmashauri nk ambako wamekuwa wanatumia sehemu kubwa ya Wafanyakazi wa mikataba ila linapokuja Suala la Ajira wanapata watu wengine badala ya ku recruit staff wa mikataba waliopo kazini mda mrefu.

============

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) tangu mwezi June mwaka jana 2023; imechukua hatua mbalimbali ikiwemo kutoa ajira za kudumu kwa Wafanyazi waliokuwa na ajira za mikataba ili kuboresha utendaji kazi kwenye Taasisi hiyo.

Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mha. Mohamed Besta wakati akifungua Mkutano 19 wa Baraza la Wafanyakazi wa TANROADS unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo tarehe 13 hadi 14 Februari 2024 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.

Amesema wakati anaingia mwezi June 2023; Taasisi hiyo ilikuwa na Wafanyakazi 755 ambao walikuwa wameajiriwa kwa kudumu na wengine 2100 wakiwa wameajiriwa kwa masharti ya muda yaani mikataba, sasa kwa kushirikiana na Menejimenti wamechukua hatua Madhubuti ambapo wameweza kuomba na kupata kibali cha kuajiri wale ambao waliokuwa na mikataba na sasa wemekuwa Waajiriwa wa kudumu kwenye Taasisi hiyo.

Amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ni kwamba kadri hali inavyoendelea kuwa nzuri, itaendelea kuboresha maslahi ya Wafanyakazi kwa mujibu wa Uchumi wa Nchi yetu.

Amewashukuru Wafanyakazi hao kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakiuonesha katika nyakati zote za utendaji kazi hasa kwa kuwekeza nguvu, ujuzi na utaalamu wao katika kipindi ambacho Serikali kupitia TANROADS ilikuwa ikitatua changamoto zilizotokana na Mvua kubwa za El- nino ambazo katika baadhi ya Mikoa iliyoharibika miundombinu ya barabara.

Mtendaji huyo Mkuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa TANROADS amesisitiza “Nawashukuru sana kwa ushirikiano ambao mnaoendelea kunipa hata katika mazingira magumu tuliyonayo sasa ya Mvua za El-nino mmeendelea kufanya kazi usiku na mchana ninawaomba tuendelee kuushi kwa pamoja tuishi kama Ndugu sisi ni familia, katika uongozi wa siku hizi kazini pawe mahala mazuri pa kuishi wafanyakazi wenzako wakuone ni sehemu ya Maisha yao kwamba mnaweza kutatua changamoto mbalimbali za kazi na hata za Kijamii’’.
 
No thanks.
Hizo ajira hazikufanyika kwa ushindani, leo wamepita mlango wa nyuma wanazihalalisha watoto wa wallala hoi zama za kukosa zimewadia
 
No thanks.
Hizo ajira hazikufanyika kwa ushindani, leo wamepita mlango wa nyuma wanazihalalisha watoto wa wallala hoi zama za kukosa zimewadia
Acha wivu wewe,Kila mara TanRoads wanapotangaza Ajira za Mkataba zinakuwa za ushindani ,the only difference ni kwamba Ajira za mikataba zinasimamiwa na taasisi husika na sio Utumishi.

Lengo la Ajira sio tuu kukuajiri wewe kwa kuwa ni jobless Bali Kuajiri utaalamu na uzoefu.

Kwa nini utangaze Ajira public za kidumu wakati una staff wa mikataba ambao miaka yote ndio hao hao wanaendesha taasisi na walioatikana Kwa transparency manner?

Kuna wakati Serikali inakuwa Haina Fedha so wanatangaza Ajira za mikataba ndio kusema Wakipata Fedha wanawapa priority hai wa Mikataba Kwa sababu walifanya kazi Wakiwa na benefits kidogo kulinganisha na wale permanent.
 
Acha wivu wewe,Kila mara TanRoads wanapotangaza Ajira za Mkataba zinakuwa za ushindani ,the only difference ni kwamba Ajira za mikataba zinasimamiwa na taasisi husika na sio Utumishi.

Lengo la Ajira sio tuu kukuajiri wewe kwa kuwa ni jobless Bali Kuajiri utaalamu na uzoefu.

Kwa nini utangaze Ajira public za kidumu wakati una staff wa mikataba ambao miaka yote ndio hao hao wanaendesha taasisi?

Kuna wakati Serikali inakuwa Haina Fedha so wanatangaza Ajira za mikataba ndio kusema Wakipata Fedha wanawapa priority hai wa Mikataba Kwa sababu walifanya kazi Wakiwa na benefits kidogo kulinganisha na wale permanent.
Huwezi kuwa Mahiri wa kila field/sekta kiasi cha kudharau kila mchango wa members waoelewa zaidi yako. Ungejua kinachofanyika kwenye hizo ajira za Mkataba ungekaa kimia tu upepo upite mkuu. Ukiwa wa Mkataba ukaaacha anavutwa mtu mwingine kimia kimia kuziba pengo nk
 
Acha wivu wewe,Kila mara TanRoads wanapotangaza Ajira za Mkataba zinakuwa za ushindani ,the only difference ni kwamba Ajira za mikataba zinasimamiwa na taasisi husika na sio Utumishi.

Lengo la Ajira sio tuu kukuajiri wewe kwa kuwa ni jobless Bali Kuajiri utaalamu na uzoefu.

Kwa nini utangaze Ajira public za kidumu wakati una staff wa mikataba ambao miaka yote ndio hao hao wanaendesha taasisi?

Kuna wakati Serikali inakuwa Haina Fedha so wanatangaza Ajira za mikataba ndio kusema Wakipata Fedha wanawapa priority hai wa Mikataba Kwa sababu walifanya kazi Wakiwa na benefits kidogo kulinganisha na wale permanent.

"Lengo la Ajira sio tuu kukuajiri wewe kwa kuwa ni jobless Bali Kuajiri utaalamu na uzoefu"

Very deep.
 
Huwezi kuwa Mahiri wa kila field/sekta kiasi cha kudharau kila mchango wa members waoelewa zaidi yako. Ungejua kinachofanyika kwenye hizo ajira za Mkataba ungekaa kimia tu upepo upite mkuu. Ukiwa wa Mkataba ukaaacha anavutwa mtu mwingine kimia kimia kuziba pengo nk
Sijadharau Wala Mimi sio mahiri Kwa Kila sekta.

Wewe unataka kupotosha na kusema walioajiriwa hawakustahili Kwa sababu tuu Ajira hazikutangazwa public.

Na Mimi nimetoa sababu hapo kwamba Ukiwa una pesa kidogo inaajiri watu wa mkataba anao wanakuwa na less benefits kuliko hao permanents na mchakato wa kupata Huwa uko wazi.
 
Hongera sana Watumishi wa TanRoads Kwa kupata kazi za Kudumu na bila shaka mtakumbuka fadhila za Mama mwaka 2025 maana Kuajiri watu wengi hivyo Kwa mara Moja Huwa ni Kwa Walimu na Manesi tuu.Kwenye swala la Ajira Samia hana mpinzani.

Pia hongera sana bwana Besta ,always watu wa dini Ile Huwa na huruma maana ungeweza kuacha na kusema mbona wengine wameacha lakini ukachukua initiative ya kiungwana.

Maana sio Haki Taasisi Kuajiri na kutumia 70% ya Watumish Kwa mikataba then ikija Ajira wanapata watu wengine kabisa tofauti na hao ambao wanafanya kazi taasisi mda mrefu.

My Take
CEOs wengine wanifunze Kwa Bwana Besta hususani TARURA,RUWASA, TANESCO, Halmashauri nk ambako wamekuwa wanatumia sehemu kubwa ya Wafanyakazi wa mikataba ila linapokuja Suala la Ajira wanapata watu wengine badala ya ku recruit staff wa mikataba waliopo kazini mda mrefu.

============

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) tangu mwezi June mwaka jana 2023; imechukua hatua mbalimbali ikiwemo kutoa ajira za kudumu kwa Wafanyazi waliokuwa na ajira za mikataba ili kuboresha utendaji kazi kwenye Taasisi hiyo.

Hayo yameelezwa na Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mha. Mohamed Besta wakati akifungua Mkutano 19 wa Baraza la Wafanyakazi wa TANROADS unaofanyika kwa siku mbili kuanzia leo tarehe 13 hadi 14 Februari 2024 katika ukumbi wa St. Gaspar Jijini Dodoma.

Amesema wakati anaingia mwezi June 2023; Taasisi hiyo ilikuwa na Wafanyakazi 755 ambao walikuwa wameajiriwa kwa kudumu na wengine 2100 wakiwa wameajiriwa kwa masharti ya muda yaani mikataba, sasa kwa kushirikiana na Menejimenti wamechukua hatua Madhubuti ambapo wameweza kuomba na kupata kibali cha kuajiri wale ambao waliokuwa na mikataba na sasa wemekuwa Waajiriwa wa kudumu kwenye Taasisi hiyo.

Amesema dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita ni kwamba kadri hali inavyoendelea kuwa nzuri, itaendelea kuboresha maslahi ya Wafanyakazi kwa mujibu wa Uchumi wa Nchi yetu.

Amewashukuru Wafanyakazi hao kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakiuonesha katika nyakati zote za utendaji kazi hasa kwa kuwekeza nguvu, ujuzi na utaalamu wao katika kipindi ambacho Serikali kupitia TANROADS ilikuwa ikitatua changamoto zilizotokana na Mvua kubwa za El- nino ambazo katika baadhi ya Mikoa iliyoharibika miundombinu ya barabara.

Mtendaji huyo Mkuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa TANROADS amesisitiza “Nawashukuru sana kwa ushirikiano ambao mnaoendelea kunipa hata katika mazingira magumu tuliyonayo sasa ya Mvua za El-nino mmeendelea kufanya kazi usiku na mchana ninawaomba tuendelee kuushi kwa pamoja tuishi kama Ndugu sisi ni familia, katika uongozi wa siku hizi kazini pawe mahala mazuri pa kuishi wafanyakazi wenzako wakuone ni sehemu ya Maisha yao kwamba mnaweza kutatua changamoto mbalimbali za kazi na hata za Kijamii’’.

Hongera sana kwao hii inakuwa chachu kwa wakurugenzi wengine, maana inatoa fursa kwa wafanyakazi kupata mkopo na kujiendeleza kimaisha mikataba inawabana sana....!!!! Haya TRC muige wenzenu hawa
 
Daah wakati wengne tumefukuzwa na tulimpa mama 2015 sasa sijui itakuwaje 😢😢😢Tunatamani sana kulipa fadhila Mi nishasema mpka nipate ndo ntakiri Mama anaupiga Mwingi Aisee ✋
 
Back
Top Bottom