Ndugu yangu
Zakumi, heshima yako sana bro! loong time!:
- Romney ameshindwa kwa sababu zile zile zinazomfanya Giuliani Popular Mayor wa zamani wa New York ashindwe kwua Rais kila anapogombea,
- Republicans hawachagui Rais aliyewahi kuwa Gavana au Mayor wa East Coast, mikoa ambayo inafahamika sana kwa ku-support Gay Marriages, Food Stamps, Abortions na Unions. Hizi ni sumu kwa Conservatives na ndio maana Mayor wa sasa wa New York pia anaogopa kugombea Urais.
- Huwezi kushinda Urais wa USA as Republican bila 100% Support ya Conservatives, including watangazaji wa Radio Rush Limbaugh, The Great One Mark Levine na Sean kutoka ABC RADIO, hawa wote hawakuwa wanaamuunga mkono Romney.
- Again ni vigumu sana kwa Republican asiyetokea South States kushinda Urais wa USA, Romney Republican kutokea Boston, alikuwa ameshashindwa hata kabla ya uchaguzi kuanza, kulichomfikisha hapo alipofikia ni mapesa yake mengi sana, halafu pia Dini yake Romney nayo ni tatizo kubwa sana Wamarekani hawachagui a Mormon ambayo ndio dini yake kuwa Rais wao.
Media ya USA ilikuwa inajua toka day one kwamba Romney hashindi, lakini kwa sababu they had to make money wakaanza uongo mwingi wa kuwa Race is tight, ndio maana ya Capitalism ni kutengeneza faida popote pale kwa kugeuza geuza habari ingawa ukweli unafahamika.
- The best Candidate Republicans had kumshinda Obama, alikuwa ni Christie Chrstie Gavana wa New Jersey, ambaye hata kambi ya Obama ilishaanza kumshambulia bila kutangaza kwamba anagombea, lakini akaogopa uwezo wake mdogo wa kuchangisha pesa za uchaguzi, hivyo akakataa kugombea and that was it!!
Le Mutuz!!