Kushindwa Kwa Romney: Nini Sababu?

Nafasi hipo kubwa. Kama uchumi utabakia kuwa mbaya katika second term, basi watakuwa na nafasi kubwa. 2000, GWB alitumia slogan ya compassionate conservatism ambayo ilikuwa nzuri.

Kama Romney angeweza kupita kwenye primaries kwa kutumia compassionate conservatism, angeweza kuchukua urais. Lakini kwenye primaries alijifanya kuwa unofficial chairman of tea party. Na baada ya kupata nomination akawa anajaribu kurudi kati bila mafanikio makubwa.......

Uchumi si lazima uwe mbaya. Mwaka 2000 uchumi haukuwa mbaya lakini W akambwaga Bw.Gore. Fatigue ya one party baada ya miaka 8 huchangia watu kutaka kubadili chama.
 
Jambo jingine ambalo tumeliona pia katika uchaguzi wa Tanzania ni kuwa hata katika uchaguzi huu wa Marekani voters turn out haikuwa kubwa kama ilivyodhaniwa. Watu milioni 14 hawakujitokeza kupiga kura. Wenyewe wanaita "voters apathy". Kwenye uchaguzi ambapo tofauti ya mshindi na mshindwa ni kama kura milioni 2 ni wazi kuwa upigaji kura pia umeathirika. Sijui bado mgawanyiko wa hawa ni vipi especially kwenye States ambazo tofauti ni asilimia ndogo.
 
Jambo jingine ambalo tumeliona pia katika uchaguzi wa Tanzania ni kuwa hata katika uchaguzi huu wa Marekani voters turn out haikuwa kubwa kama ilivyodhaniwa. Watu milioni 14 hawakujitokeza kupiga kura. Wenyewe wanaita "voters apathy". Kwenye uchaguzi ambapo tofauti ya mshindi na mshindwa ni kama kura milioni 2 ni wazi kuwa upigaji kura pia umeathirika. Sijui bado mgawanyiko wa hawa ni vipi especially kwenye States ambazo tofauti ni asilimia ndogo........

Mwanakijiji:

Nina swali kwako. Katika hotuba ya jana Obama alisifu wafanya kampeni wake walichokifanya katika kampeni hakijatokea duniani.

Na sifa hizi zinatoka pia kwa conservatives. Wanasema kuwa kampeni ya Obama ilikuwa well organized na walitambua jinsi ya kuhamasisha wapigaji kura wao.

Swali langu je umewahi kupata undani wowote, hususa wa ki-structure, jinsi campaign staff ya Obama ilivyoundwa?
 
Uchumi si lazima uwe mbaya. Mwaka 2000 uchumi haukuwa mbaya lakini W akambwaga Bw.Gore. Fatigue ya one party baada ya miaka 8 huchangia watu kutaka kubadili chama......

Kuna ukweli mkubwa katika point yako. Katika term ya kwanza, administration inakuwa na displine sana na kashfa zinakuwa chache. Term ya pili, kwa sababu hakuna uchaguzi tena, baadhi ya watu wanakosa nidhamu.

Naamini kuwa hata Tanzania inasumbuliwa na fatique ya one party.
 
Katika vitu vilivyochangia Obama ashinde pamoja na sera yake ya bima ya afya (Obama Care) ambaye kaipigania mpaka mahakamani, masikini na wale wenye maisha ya kati walivutiwa na sera hii, Marekani ni taifa lilopiga hatua kubwa kimaendeleo lakini walikuwa hawana bima ya afya kwa wananchi wake.
 
Marekani ni taifa lilopiga hatua kubwa kimaendeleo lakini walikuwa hawana bima ya afya kwa wananchi wake.

...........

Ni kweli kabisa.Wananchi wake hawategemei zawadi za khanga na vitenge. Wanafikiri kwa akili zao, si kwa akili za 'Kibwege'
 
Tujifunze nini? na wewe unataka kugombea Urais wa Merekani?
 
Kambi ya Obama ilionekana kuungwa mkono na watu wa asili tofauti ukilinganisha na kambi ya Romney. Ni wazi kushindwa kwa Romney kumetokana na kuungwa mkono na wazungu wengi tena wazee ambao idadi yao katika ujenzi wa nchi ni mdogo. Sera zake za ndani hasa za uchumi was fine ila sera za nje hazikushawishi wapiga kura.
 
Ndugu yangu Zakumi, heshima yako sana bro! loong time!:

- Romney ameshindwa kwa sababu zile zile zinazomfanya Giuliani Popular Mayor wa zamani wa New York ashindwe kwua Rais kila anapogombea,

- Republicans hawachagui Rais aliyewahi kuwa Gavana au Mayor wa East Coast, mikoa ambayo inafahamika sana kwa ku-support Gay Marriages, Food Stamps, Abortions na Unions. Hizi ni sumu kwa Conservatives na ndio maana Mayor wa sasa wa New York pia anaogopa kugombea Urais.

- Huwezi kushinda Urais wa USA as Republican bila 100% Support ya Conservatives, including watangazaji wa Radio Rush Limbaugh, The Great One Mark Levine na Sean kutoka ABC RADIO, hawa wote hawakuwa wanaamuunga mkono Romney.

- Again ni vigumu sana kwa Republican asiyetokea South States kushinda Urais wa USA, Romney Republican kutokea Boston, alikuwa ameshashindwa hata kabla ya uchaguzi kuanza, kulichomfikisha hapo alipofikia ni mapesa yake mengi sana, halafu pia Dini yake Romney nayo ni tatizo kubwa sana Wamarekani hawachagui a Mormon ambayo ndio dini yake kuwa Rais wao.

Media ya USA ilikuwa inajua toka day one kwamba Romney hashindi, lakini kwa sababu they had to make money wakaanza uongo mwingi wa kuwa Race is tight, ndio maana ya Capitalism ni kutengeneza faida popote pale kwa kugeuza geuza habari ingawa ukweli unafahamika.

- The best Candidate Republicans had kumshinda Obama, alikuwa ni Christie Chrstie Gavana wa New Jersey, ambaye hata kambi ya Obama ilishaanza kumshambulia bila kutangaza kwamba anagombea, lakini akaogopa uwezo wake mdogo wa kuchangisha pesa za uchaguzi, hivyo akakataa kugombea and that was it!!


Le Mutuz!!
 
Last edited by a moderator:
mbona 2010 kamtoa jasho yule mumeo mdhururaji?
mumeo pamoja na suti anazohongwa na sura nzuri mbona bado alichakachua kura?.......

Every vote counts. Sasa wale wasiotaka "siasa" badala yake wanachagua mgombea kwa muonekano wake, lazima wafikiriwe kama Dr.Slaa anataka kura zao

*Sayansi ndio iliyosema kuwa wapo watu wanaochagua kwa muonekano, sio maneno yangu
.
 
Ziara ya rural Kenya Obama learnt his lesson well- plight of the common man , here ,there, everywhere.
 
Last I checked Ronald Reagan was a former governor of California and a massively popular two-term president who won two landslide presidential elections and one of which he won 49 out of 50 states!
 
Back
Top Bottom