Private Message...
ilikuwa a very memorable day kiukweli...
duh hadi kwa Nancy unaendaga?
nimekuvulia kofia lol
dah hii thread yako utafanya wwatu wapate 'guilty conscious ' tele
kila mtu atajiuliza naongelewa mimi au? lol
kuna siku zamani hapa JF kuna mdada alinishindisha pm kutoka saa saba mchana hadi saa tatu usiku
yaani pm zake zinakuja tatu tatu duh lol
Da Mkubwa na wewe unaendaga PM??
Mie nilidhani wakubwa wenzangu tunajadili hapa hapa kijiweni??
cc: Fixed Point
Babu DC!!
Teh teh teh Bossman bana.....
You know what they say about the shoe....if it fits......?
... Dawg, you sound like a wounded soldier!
...or, like they've it hapa nyumbani; ukiona manyoya ujue...
Nimefurahia tu ila siendagi huko mimi bro.
Duh! Na wewe Nancy umemjuaje?
Au na we unaendaga? Hahahahaaaa Bossman bana......hakuna mtu nnayemwogopa humu kama wewe.
You are a bad muthafunker.
umenitisha!!!!!! ukimwaga siri ntaweka uso wangu wapi humu jf?????
Uuuuwiiiii.... Yaaani ndio umeamua kunianika!!!
Tatizo, ni vile ulivyokuwa unajibu hizo PM, ndio kulinifanya nihamasike kutuma tatu tatu..! Lol
Na mods wanataka kuweka PM zote hadharani, itabidi kununulia I'd zetu mask.
Kwani alikueleza nini kaka?
Haiwezekani ibaki kwenye kumbu kumbu kama hakukugusa mahali ambapo ulikuwa hujapavumbua..lol??
Babu DC!!
Ahsante sana dada kwa kunipa uhakika...
Siko alone...
Babu DC!!
Kwani na wewe ni teja wa PM??
Nahisi kuna confessions za kufa mtu zitamwaga hapa leo hii...
Ngoja nikacheze na wajukuu kwanza..lol!!
Babu DC!!
ha haaa wewe bana,hujambo lakini?
ndo umefichwa pm?
Hebu dadavua basi kamanda,
Huko kwenye privacy, watu wanaongeleaga mambo gani hasa???
Babu DC!!