Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
aisee nitashukuru sana huku bongo vumbi tupu!hakuna maslahi kabisa bwana..kila mtu kafulia ukikaa vibaya unaliwa mzigo na hela unatoa! maisha gani hayo..ndo maana tunaishia kushinda humu jf ! bora nikabebe box mbele ni mbele tu !halafu kila nikipanga kushinda na wewe PM
kuna kitu kinatokea nashindwa sijui why
nataka nikutafutie kazi ya kwenda kubebba box
halafu nikusindikize ikibidi....