Kama ni lazima kuipigia CCM, na hakuna option kwa wagombea wa vyama vingine, definetly i will vote for EDO Lowassa... I wish angekuwa upande wa pili wa shilingi...
Wengi humu ndani hawamjui edo, eti fisadi! nani asiejua kuwa deal la richmond lilikuwa la miraji kikwete n co.? Edo aliamua kuokoa jahazi nchi isiyumbe...
Vijisent vya edo vinajulikana kuwa soon baada ya azimio la zanzibar yeye alichangamka kwa kupata mkata mnono kwa kuwa pangishia SA High Commission pale masaki kwa rate za ulaya!! kuanzia hapo akaanza ujasiriamali mdogo mdogo maana TZ fursa kibao! wenzake bado walikuwa kwenye ombwe la ujamaa madem na misifa kibao...yeye kwakuwa ni visionary leader na mungu kamjaalia familia yenye nidhamu ikawa rahisi kuprogress kwa haraka kwenye ujasiriamali...Edo hayupo kwenye deal la EPA, Meremeta, Deep Green, Twiga, Mikataba ya kifala ya madini; Edo ni Msafi PERIOD.
Bado Wtz tunakumbuka jinsi chinga zee la ng'ombe wa USWIS alivyoingiza nchi kwenye mikataba mibovu ya madini, kuuza viwanda karibu vyote tena vya maana kama TCCC, TBL, WAZO, NBC, Tanga Cement nk...Dunia kote huwa wanabinafsisha production siyo mali zisizo hamishika kama majengo, lakini MKAPA aliuza kila kitu kwa bei ya chee. In return WB na IMF wakamsapoti kidogo kwakuwa alikubaliana na mashrti yao ya kipumbavu...
Sorry to say JK alirithi nchi yenye matatizo kibao lakini yeye badala ya kumuexpose Chinga akang'ang'ania kutalii huku Edo akiendelea kufunika udhaifu wake! Mara JOKA LA MDIMU likamtengenezea fitna ooh Edo amepanga kukupindua na ushoga mwingiii!
Leo hii bado tuko kwenye ombwe la kuboresha mikataba mibovu inayoendelea kuigharimu nchi, Eti MEMBE nae anataka kuwa raisi tena kutoka kulekule!!! lengo likiwa kuongeza ng'ombe wengi USWIS!...Watanzania wa leo si wajana, tunatambua pumba na mchele. Mapungufu ya Edo yanavumilika ukilinganisha na Faida ya yeye kuwa madarakani kama Rais... Edo ni kiongozi mweye kudeliver!!!!