chris mahali
New Member
- Nov 29, 2012
- 2
- 0
edward ngoyai lowass yupo juu
Kwa walivyo tufanyia minaomba hata 2015 wasifike
Zitakuwa tayari zinasubiri muda ufike tu.Mh.John Komba aanze kabisa
kutunga nyimbo mwanana za katika kipindi kigumu cha
maombolezo
Hakuna hatari mbaya zaidi kama nchi yoyote duniani kuwa na rais mwongo, mfitini na mnafiki. Huyo ndiye Membe. Anayefaa ni EL ambaye tatizo lake kubwa ni kusingiziwa ufisadi ulioshindikana kuthibitishwa. Kisa? Ana maamuzi, siyo tu ya kiuongozi lakini pia hata ya kuamua kufanya ujasiriamali, uwekezaji na ufugaji unaomletea kipato kizuri sana na kuwafanya wavivu wasiokuwa wabunifu na wambeya kumchukia na kumwita fisadi.
None of themwale wa kura za maruhani tunavote vipi?
Lowasa ni fisadi mkuu, ana kashfa nyingi zinazomzunguka, huyu jamaa hafai kabisa kuwa kiongoz wa nchi. kwa upande wa Membe mi sijasikia kashfa yoyote toka kwake na pia simjui kiundani zaidi, huyu angalau ana nafuu kidogo.
Simpendi Membe kama ambavyo simpendi MKWEEREJoka la mdimu tu lile he is another dhaifu in disguise hatutak prezdaa mpiga domo tunataka mtendaji ths tmy
Naomba muweke na option ya wote hawafai, kuna voters wanaoona wote hawafai mnawanyika haki ya kuvote