Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,261
tatizo wakiingia madarakani hawa wataannza kushughulikia wabaya wao pamoja na kulipa fadhila, mara miaka 5 imeisha...
Devils, who cares. Sichagui mashetani mimi. Unamuliza mlokole Safari lager na Tusker ipi nafuu.
Weka option ya wote hawafai
Wote hawafai
Mwaka 2002 kwenye uchaguzi kama huo JK alikuwa mtu wa 18 kati ya nafasi 20 zilizokuwepo na mwaka 2005 alishinda uchaguzi mkuu kwa kishindo na kuteuliwa na chama chake na baadaye na wananchi wote kwa zaidi ya 80%. anatakiwa a-maintain uadilifu wake, ajenge mtandao wa watu wa kumsaidia kila kona na ajisogeze karibu zaidi na watu. Lowassa kwa sasa hana nafasi tena, kwanza anaumwa hata kutembea tabu, kutoa mkono shidaMi nahisi lowassa atapeta ccm, umeona kura alizopata membe kwenye nec?
Weka option ya wote hawafai