Kupotea na kutoweka kwa Mtoto wa Rais Thabo Mbeki eneo la Mazimbu Morogoro. Nani walihusika?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,231
6,471
Ktk pitapita zangu viunga vya YouTube nakutana na kisa hiki.

Ikumbukwe South Africa walikuwa na kambi ya wapigania Uhuru eneo la Mazimbu Morogoro.

Aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki 1999 Hadi 2008 alikuwa na Mtoto mmoja tu wa pekee aitwaye Kwanda Mbeki. Alimzaa na Mwanafunzi wa secondary akiwa na miaka 16 tu. Alitozwa adhabu ya ng'ombe watano Kama adhabu ya kumbebesha Mwanafunzi mwenzie tena Mtoto mimba, ikaisha kimila hivyo japo hawakuoana.

Thabo Mbeki aliendelea na shule hadi elimu ya juu pasipo kumuona Mtoto wake Kwanda kutokana na kuikimbia Africa ya kusini kimasomo na kiusalama. Mbeki alipata elimu yake ktk nchi mbalimbali huku mtoto akikulia kwa Mama yake Mbeki au Bibi yake Mtoto huyu mwanaume.

Sasa bwana mtoto huyu baada ya kukua alianza kuandamwa na mikosi ya kutekwa Mara tatu na watu wasiojulikana bila kufanikiwa.

Bibi hakuwa akijua babaye mtoto yupo wapi na yupo hai au laah. Akaamua kumtorosha mtoto Kwanda kumpeleka Zambia kwa msaada wa chama cha ANC na baadae tena Swaziland baada ya kuona watekaji wanamfuatilia. Baadye baada ya miaka mitatu alitoroshwa Swaziland na kuletwa Morogoro Tanzania.

Mtoto aliishi ktk kambi ya Mazimbu Morogoro kuanzia 1983 hadi 1989 alipochukuliwa na watu waliokuwa wakizungumza Kiswahili kizuri Sana na Kingereza chenye lafudhi ya waswahili. Iko hivi, watu hao waliripoti kambini na kuongea na uongozi wa kambi na kuomba ofisi ya muda na kuomba kuitiwa Kijana huyo wa Mbeki. Walimhoji kwa Siri mtu huyu ambaye sio Mtoto tena kwa masaa matatu na kuondoka naye kwa gari walilokujanalo.

Tangu siku hiyo hakuonekana tena. Alikuwa mtoto wa pekee wa Rais wa baadae wa South Africa Thabo Mbeki. Kisa hiki kinamtesa Rais huyu mstaafu hadi leo.

Kisa hiki kilikuja kujulikana na kupelelezwa bila kupata majibu baada ya Mandela kuwa Rais 1994 na Kuunda tume ya ukweli na Maridhiano yaani Truth and Reconciliation Commission. Mambo Mengi majibu na muafaka ulipatikana isipokuwa hili la kijana wa Mbeki. Rais Mbeki alikuja kuoa lakini maskini ya Mungu hakuwahi kumpata Mtoto ktk ndoa yake. Dunia ina Mengi na Mengi hayo ni yetu binadamu pia.

Kina na nani na walitumwa na nani kumteka na kumtowesha Mtoto huyu wa Rais ajaye ktk Taifa lilojaa ulinzi na inteligensia kali?
 
Ktk pitapita zangu viunga vya YouTube nakutana na kisa hiki.
Ikumbukwa South Africa walikuwa na kambi ya wapigania Uhuru eneo la Mazimbu Morogoro.

Aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki 1999 Hadi 2007 alikuwa na Mtoto mmoja tu wa pekee. Alimzaa na Mwanafunzi wa secondary akiwa na miaka 16 tu. Alitozwa adhabu ya ng'ombe watano Kama adhabu ya kumbebesha Mwanafunzi mwenzie tena Mtoto mimba, ikaisha kimila hivyo japo hawakuoana.

Thabo Mbeki aliendelea na shule hadi elimu ya juu pasipo kumuona Mtoto wake kutokana na kuikimbia Africa ya kusini kimasomo na kiusalama. Mbeki alipata elimu yake ktk nchi mbalimbali huku mtoto akikulia kwa Mama yake Mbeki au Bibi yake Mtoto huyu mwanaume.
Sasa bwana mtoto huyu baada ya kukua alianza kuandamwa na mikosi ya kutekwa Mara tatu na watu wasiojulikana bila kufanikiwa.
Bibi hakuwa akijua babaye mtoto yupo wapi na yupo hai au laah. Akaamua kumtorosha mtoto kumpeleka Zambia kwa msaada wa chama Cha ANC na baadae tena Swaziland baada ya kuona watekaji wanamfuatilia. Baadye baada ya miaka mitatu alitoroshwa Swaziland na kuletwa Morogoro Tanzania.

Mtoto aliishi ktk kambi ya Mazimbu Morogoro kuanzia 1983 hadi 1989 alipochukuliwa na watu waliokuwa wakizungumza Kiswahili kizuri Sana na kingereza chenye lafudhi ya waswahili. Iko hivi, watu hao waliripoti kambini na kuongea na uongozi wa kambi na kuomba ofisi ya muda na kuomba kuitiwa Kijana huyo wa Mbeki. Walimhoji kwa Siri mtu huyu ambaye sio Mtoto tena kwa masaa matatu na kuondoka naye kwa gari walilokujanalo.

Tangu siku hiyo hakuonekana tena. Alikuwa mtoto wa pekee wa Rais wa baadae wa South Africa Thabo Mbeki. Kisa hiki kinamtesa Rais huyu mstaafu hadi leo.

Kisa hiki kilikuja kujulikana na kupelelezwa bila kupata majibu baada ya Mandela kuwa Rais 1994 na Kuunda tume ya ukweli na Maridhiano yaani Truth and Reconciliation Commission. Mambo Mengi majibu na muafaka ulipatikana isipokuwa hili la kijana wa Mbeki. Rais Mbeki alikuja kuoa lakini maskini ya Mungu hakuwahi kumpata Mtoto ktk ndoa yake. Dunia ina Mengi na Mengi hayo ni yetu binadamu pia.


Kina na nani na walitumwa na Nani kumteka na kumtowesha Mtoto huyu wa Rais ktk Taifa lilojaa ulinzi na inteligensia Kali?
Tuambie faida za mkataba wa bandari tutapata nini,muda wa kuwekezaji ni muda gani ,jibu hoja za bandari achana na taarabu.
 
Kama ni kweli bas Mbeki anajua kila kitu kuhusu mwanae huyo sema hakutaka kuweka wazi, utajuaje huenda hata ni nchimbi
Wasiwasi upo hapo, kuwa kapewa uraia na kupewa ajira serikalini, nadharia ya pili makaburu walikuwa na mkono mrefu, Sasa kwanini iwe kwa mtoto na sio baba? Kwanini iwe kwa Mtoto wa Mbeki pekee na sio wapigania Uhuru wengine?. Dunia ina Siri nyingi mno.
 
Ukute yule mtoto ndio Waziri wetu wa Mambo ya Ndani..
Mmmmmhhhhh, ukiambiwa ni mstaafu mkubwa wa Jeshi? Hatujawasaidia watu kusini mwa Africa kupigania Uhuru wao tu, Kuna Mengi na Siri nzito vijiji vya jirani na kambi zao. Kitanda hakizai haramu jumlisha na wa kuja.
 
Ktk pitapita zangu viunga vya YouTube nakutana na kisa hiki.

Ikumbukwa South Africa walikuwa na kambi ya wapigania Uhuru eneo la Mazimbu Morogoro.

Aliyewahi kuwa Rais wa South Africa Thabo Mbeki 1999 Hadi 2007 alikuwa na Mtoto mmoja tu wa pekee aitwaye Kwanda Mbeki. Alimzaa na Mwanafunzi wa secondary akiwa na miaka 16 tu. Alitozwa adhabu ya ng'ombe watano Kama adhabu ya kumbebesha Mwanafunzi mwenzie tena Mtoto mimba, ikaisha kimila hivyo japo hawakuoana.

Thabo Mbeki aliendelea na shule hadi elimu ya juu pasipo kumuona Mtoto wake Kwanda kutokana na kuikimbia Africa ya kusini kimasomo na kiusalama. Mbeki alipata elimu yake ktk nchi mbalimbali huku mtoto akikulia kwa Mama yake Mbeki au Bibi yake Mtoto huyu mwanaume.

Sasa bwana mtoto huyu baada ya kukua alianza kuandamwa na mikosi ya kutekwa Mara tatu na watu wasiojulikana bila kufanikiwa.

Bibi hakuwa akijua babaye mtoto yupo wapi na yupo hai au laah. Akaamua kumtorosha mtoto Kwanda kumpeleka Zambia kwa msaada wa chama cha ANC na baadae tena Swaziland baada ya kuona watekaji wanamfuatilia. Baadye baada ya miaka mitatu alitoroshwa Swaziland na kuletwa Morogoro Tanzania.

Mtoto aliishi ktk kambi ya Mazimbu Morogoro kuanzia 1983 hadi 1989 alipochukuliwa na watu waliokuwa wakizungumza Kiswahili kizuri Sana na Kingereza chenye lafudhi ya waswahili. Iko hivi, watu hao waliripoti kambini na kuongea na uongozi wa kambi na kuomba ofisi ya muda na kuomba kuitiwa Kijana huyo wa Mbeki. Walimhoji kwa Siri mtu huyu ambaye sio Mtoto tena kwa masaa matatu na kuondoka naye kwa gari walilokujanalo.

Tangu siku hiyo hakuonekana tena. Alikuwa mtoto wa pekee wa Rais wa baadae wa South Africa Thabo Mbeki. Kisa hiki kinamtesa Rais huyu mstaafu hadi leo.

Kisa hiki kilikuja kujulikana na kupelelezwa bila kupata majibu baada ya Mandela kuwa Rais 1994 na Kuunda tume ya ukweli na Maridhiano yaani Truth and Reconciliation Commission. Mambo Mengi majibu na muafaka ulipatikana isipokuwa hili la kijana wa Mbeki. Rais Mbeki alikuja kuoa lakini maskini ya Mungu hakuwahi kumpata Mtoto ktk ndoa yake. Dunia ina Mengi na Mengi hayo ni yetu binadamu pia.

Kina na nani na walitumwa na nani kumteka na kumtowesha Mtoto huyu wa Rais ktk Taifa lilojaa ulinzi na inteligensia kali?
Inasemakana ni TISS walimchukua pale kambini na jamaa yupo bongo anaishi kwa identity fake.
 
Mmmmmhhhhh, ukiambiwa ni mstaafu mkubwa wa Jeshi? Hatujawasaidia watu kusini mwa Africa kupigania Uhuru wao tu, Kuna Mengi na Siri nzito vijiji vya jirani na kambi zao. Kitanda hakizai haramu jumlisha na wa kuja.
Kama mtoto huyo aliishi Kambi za Mazimbu 1983-1989 maana yake hakupigana vita vya Kagera.Na kama Mbeki alimzaa akiwa na miaka 16 maana yake huyo kijana kwasasa anamiaka 65.,Walimteka akiwa na miaka 34 umri mkubwa kuingia Jeshini mpaka kuwa nahicho cheo kikubwa.Ila anything Posible
 
Huyo hapo
1692007070958.jpg
 
Mnaosema aanzishe hoja za bandari mbona nyie wenyewe hamtoki mkauliza hadharani tujue kweli mna uthubutu
 
Back
Top Bottom