Walio karibu na Makonda wamwambie ni kosa kubwa kuwa maarufu kuliko Rais. Aache kabisa harakati

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Huenda anafanya kwa Lengo zuri. Huenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko Rais ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na Makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko Rais. Kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe hivyo makamu wa sasa wa raisi mwanzo. Nilishangaa Profesa hajui protokali. Ila akarudishwa sasa katulia kamwachia mama steling

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu hata kwenye eneo lako. Hata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko Rais wa chama chako kwenye eneo lako.

Heride alipanga amuue Yesu alipozaliwa baada ya kuona nyota yake. Alijua akiwa maarufu atachukua cheo chake.
Kuna makosa yalifanywa na maraisi uko nyuma.
Aliruhusu Rais wa Zaire mwaka 1960. Waziri mkuu Lumumba ndio akasikilizwa. Nchi haikutawalika tena
Obote aliruhusu Iddi Amin awe maarufu kuliko yeye. Alipoenda tu yeye akauchukua uraisi.

Aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na zuma alipotaka kushugulikiwa swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamwamini na wakamshugulikia Mbeki yeye na Zuma akampokonya urais.

Ilitokea kwa Lowasa na JK. Kilichomponza Ni kuogopwa na kuwa maarufu kuliko Jk. Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Rais.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri.

Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa. Ata dini haikupaswa kumzidi umaarufu

Kumsaidia raisi ni kufafanua hoja zenye utata kama bandari, kufafanua mambo Ambayo Raisi kafanya kama kujenga madarasa, Miradi inayoendelea kutekelezwa na serikali. Kuwaponda wapinzani na kutoa kasoro zao. Kufafanua uzuri wa kikokotoo cha wastafu kwa taifa.. Faida za Hamkosi na Maslahi ya watu wanayoshugulikiwa na serikali ila kamwe. Narudia kamwe
1. Asihoji au kuagiza chochote kwenye mkutano wa hadhara.
2. Asikubali kabisa kupokea kero ya watu hadharani na kuzijibu moja kwa moja. Majibu yawe ntafikisha kwa Raisi ili lipatiwe ufumbuzi.
Dunia nzima hakuna taasisi yenye wivu kama uraisi.
Sudan kusini Raisi na Waziri mkuu walikuwa na ushawishi sawa ikagawanyika. Kongo kinshasa makamanda karibu 20 walikuwa na ushawishi sawa.

Ethiopia pia viongozi wa majimbo walikuwa na ushawishi mkubwa kwenye majimbo yao kuliko waziri mkuu wakamgeuka waziri vita vikaanza.

Siku makonda akikengeuka akiwa maarufu basi kazi ipo. Yasije ya Mrema na Mwinyi.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko Rais.
 
Mwenye nchi ashamaliza kuwa maarufu ndani sasa zamu ya nje wamjue, muache kijana awafunge midomo wajuaji au watesi wa mpendwa wake hayati JPM. Nyuma ya pazia hakuna angeweza kunyanyua midomo kama afanyavyo mwenezi na vile usingizi uliwajaa CCM wengi wao wakiwa wanavizia kudandia makundi sasa vuruga vuruga wa mipango kapewa kazi Chini ya kapeti.

Uwanja ungekuwa msafi ilikuwa mwenezi ni Mwendo wa kutupa madongo Kwa wapinzani sasa ground iko rough mno hakuna budi kuisawazisha ili akianza kutupa mawe Kwa jirani awe na pa kuzungumzia na kwake alivyopaosha, huu ni mkakati wa uongozi wa juu haswa mwenyekiti Kwa maslahi mapana ya kujiwekea mizizi Kwa kuwafyekelea mbali watakaothubutu kumpinga mwenezi na vile wajuba washasoma mchezo Mwendo wa tumesikia na tunatii hadi kieleweke kwenye game mfano mzuri alianza na PM ikawa ni king'ora murua.
 
Uwenda anafanya kwa Lengo zuri. Uwenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko raisi ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko raisi.
kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe ivyo makam mwanzo.

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu ata kwenye eneo lako. Ata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko raisi wa chama chako kwenye eneo lako.

Aliruhusu raisi wa Zaire mwaka 1960 Lumumba ndio akasikilizwa
Obote aliluhusu iddi Anmini awe maaruf.u kuliko yeye.
aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na alipotaka kushugulikia swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamshugulikia yeye na Zuma akampokonya uraisi

Ilitokea kwa Rowasa na Jk.
Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Raisi.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. K

Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri. Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko raisi.
MBOWE akaruhusu LISSU kuwa maarufu saivi panafukuta jotro Chadema na panafuka Moshi......

Ila kasri la Mbowe kijijini kwao ni amezingi sana,
Piiiiiipooooooozzziii.....
Hata na hivyo No fear No hate
 
Uwenda anafanya kwa Lengo zuri. Uwenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko raisi ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko raisi.
kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe ivyo makam mwanzo.

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu ata kwenye eneo lako. Ata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko raisi wa chama chako kwenye eneo lako.

Aliruhusu raisi wa Zaire mwaka 1960 Lumumba ndio akasikilizwa
Obote aliluhusu iddi Anmini awe maaruf.u kuliko yeye.
aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na alipotaka kushugulikia swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamshugulikia yeye na Zuma akampokonya uraisi

Ilitokea kwa Rowasa na Jk.
Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Raisi.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. K

Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri. Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko raisi.
Walio jikoni wametulia, wameridhika na utendaji wa kijana. Hata hivyo kijana anafanya kile wengi wanahitaji, hasa wananchi wa hali ya chini.
 
Uwenda anafanya kwa Lengo zuri. Uwenda anataka kukisaidia chama lakini Lazma ajue kujizuia. Kuwa maarufu kuliko raisi ni kama uhaini kisiasa.

Walio karibu na makonda wamwambie hatakiwi kuwa Maarufu kuliko raisi.
kisiasa huo ni kama uhaini

Ama ajizuie au atazuiwa soon. Au....

Alitaka awe ivyo makam mwanzo.

Huo ndio siasa za dunia zilivyo. Dunia nzima hutakiwi kuwa maarufu kuliko kiongozi wa Juu ata kwenye eneo lako. Ata ukiwa mbunge hutakiwi kusikilizwa au kuwa na ushawishi kuliko raisi wa chama chako kwenye eneo lako.

Aliruhusu raisi wa Zaire mwaka 1960 Lumumba ndio akasikilizwa
Obote aliluhusu iddi Anmini awe maaruf.u kuliko yeye.
aliruhusu hilo Thabo Mbeki, kwa Jacob Zuma. Na alipotaka kushugulikia swala lake la rushwa wanachama wa ANC wakamshugulikia yeye na Zuma akampokonya uraisi

Ilitokea kwa Rowasa na Jk.
Pia Nyerere na Sokoine au John Okelo na Karume.

Nawakumbusha tena mwambieni asiwe maarufu kuliko au kumkaribia Raisi.

Sasa anaagiza, anahutubia, anasindikizwa. K

Kama anafanya kwa bahati mbaya sielewi kabisa. Hana washauri. Uingereza Mfalme alichagua hadi uongozi wa kanisa.

Labda kama ana plan B. Lakini kama anataka kuwa chini ya mama basi Ajue tu Asiwe maarufu kuliko raisi.
Kosa lisirudiwe tena kutendeka, JPM alikuwa maarufu zaidi ya CCM, hata akaaminika na kupewa urais. Kilichotokea ni kuigeuza na kuiendesha nchi kama kampuni yake binafsi.
 
Back
Top Bottom