Hivi nani anasomaga haya maandiko ya Mwanakijiji.....nani anamuda wa kusoma haya?
Kwa taarifa yako, siku ya jumatano Tz Daima hugombaniwa kama njugu, kisa makala moto moto zikiwemo za Mkijiji!
Kwa kifupi ni kwamba husomwa sana, na zinapendwa mno kuliko unavo dhani, Upekee wake ni jinsi anavo anza habari zake na kuzileta kama simulizi.. humvuta msomaji hadi mwisho akivutiwa kuendelea kujua kulikoni? Lakini pia jinsi anavo mkoma nyani giledi live live!