Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,265
- 105,432
Serikali haijui kitu kinaitwa contingency plan.Nililifikiria hili hata kabla ya kulisikia kutoka mdomoni mwa Mwanakijiji, nilivyomsikia Mwanakijiji katumia maneno hayohayo nikaona we are on the same page.
Mwanakijiji kambana vizuri sana kwa mifano ya Nguza.
Hapa either waahirishe uchaguzi, au wakubali mgombea binafsi.Mahakama ikishaamua kwamba kuanzia sasa mgombea binafsi ruksa, maana yake huwezi kuweka uchaguzi bila mgombea binafsi.
Ukiitishwa uchaguzi bila ya mgombea binafsi, CCM wanajiweka katika position ya watu baadaye kukata rufaa, halafu mashauri yarudi mahakamani kule kule.
Kifupi Marmo kaonekana kapwaya, kachoka, hana jipya zaidi ya kutumia ubabe wa kiserikali tu. Mwanakijiji ameonekana kuwa informed and engaging.
CCM wanahaha.
Mwanakijiji kambana vizuri sana kwa mifano ya Nguza.
Hapa either waahirishe uchaguzi, au wakubali mgombea binafsi.Mahakama ikishaamua kwamba kuanzia sasa mgombea binafsi ruksa, maana yake huwezi kuweka uchaguzi bila mgombea binafsi.
Ukiitishwa uchaguzi bila ya mgombea binafsi, CCM wanajiweka katika position ya watu baadaye kukata rufaa, halafu mashauri yarudi mahakamani kule kule.
Kifupi Marmo kaonekana kapwaya, kachoka, hana jipya zaidi ya kutumia ubabe wa kiserikali tu. Mwanakijiji ameonekana kuwa informed and engaging.
CCM wanahaha.