Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
......acha hasira na ma-emotions wewe!! kama ni mawazo yako na yako mwenyewe basi si ungebaki nayo mwenyewe?? nani alikuomba uyalete hapa??
kila mara unapoingiza Nyerere kwenye mazungumzo basi kwa taarifa yako ua una-compromise sana credibility yako!!! si amini kama wewe si mwana sisiemu.....huwezi kuipinga SISIEMU wakati unakumbatia Nyerere. Kama hiyo inawezekana basi haupo smart enuff kufanya hivyo na ndicho kisa hasa Bongo upinzani ni Ziro!!!.
wow! who is emotional now?