Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,557
- 2,336
Lingowe ni wapiMasaa 16 si anayeenda lingowe ameshafika kitambo.
Lingowe ni wapiMasaa 16 si anayeenda lingowe ameshafika kitambo.
Hao Jamaa ni pinga pingaKweni kuna mtu amelazimisha mpande treni? Si kuna njia nyingine za usafiri? Sasa watu mnatokwa mapovu ya nini?
Kila mtu ana haki ya kufanya anachokipenda sasa iweje nyie muwaone wanaopanda treni wajinga?
Kweni mnawasaidia kwa lolote?
Achani kujifanya wajuaji bhana
Nimeshangaa mtu anakomaa anatoa na matusi kisa serikali imefufua hiyo reli sasa sijui imemumbania mambo yakeHao Jamaa ni pinga pinga
Kama una haraka unapanda ndege sasa usitake kuwalazimisha kila mtu apande ndege au apande basi wakati kila mtu anaweza chagua anachoona kinamfaa.Si tun Ndege kiongozi?
Boing na Airbus?
Au sio za wanyonge
Hata akila Mara 2 lakini kwa bei inayoeleweka na Chakula kinachoeleweka.Usisahau atakula mara ngapi kwa masaa hayo na atakunywa mara ngapi? Bila kusahau na muda alioupoteza. Utakuta nauli ni nafuu lakini katumia zaidi ya aliyepanda basi.
"Cheap is expensive".
Huyu jamaa ni kichekesho haeleweki hata point yake ni ipiNa hayo mabasi ya luxury unayoyasifia ni yapi? Hapa Tanzania kuna bus la luxury? Lipi hilo? Mkuu unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo na exposure ndogo bora unyamaze tuu. Eti full entertainment.. kuna bus lenye full intertainment bongo..??🤣🤣
Labda kigoma ya dodomaKigoma itumie 24hrs alafu moshi hapo ukipiga mluz wanasikia itumie masaa 48 ????
Mwili mpya sura za kizee,mabehewa ndio mapya ila vichwa ni chakavu vile vya kizamaniKwahiyo unadhan treni za hapa dsm hiz za Mwakyembe hazifanyi kazi ???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hiyo treni ya kwenda Moshi ni mpya, behewa zimeanza kubeba abiria kwa mara ya kwanza hapa nchini jana
Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152
Kwasasa tochi ni nyingi zinaingia ar saa 10 zile ambazo zimeondoka dar 11 alfajiri route ya nrb hiyoAcha Uongo
Mabasi mengi yanafika Arusha saa 9 jioni
tusiojulikana tumekutafuta sana ,asante kwa infoSafi Mkuu tarehe 22 ukipanda utanikuta bufe ukiona midevu mingi ndio mimi
Mbona hujaweka bei za vyakula ndani ya treni? Mbona hujaongelea gharama za muda utaoupoteza ndani ya treni? Au muda kwako hauna thamani?Hata akila Mara 2 lakini kwa bei inayoeleweka na Chakula kinachoeleweka.
Hivi ushawahi safiri hiyo njia kwa bus alafu ukale chips za 7000 pale Kilimanjaro hotel au Liverpool alafu ukaridhika kabisa?
Kwahiyo baada ya kufufuliwa hiyo treni ndo Leo watanzania mnajifanya mnajua dhamani ya muda?Mbona hujaweka bei za vyakula ndani ya treni? Mbona hujaongelea gharama za muda utaoupoteza ndani ya treni? Au muda kwako hauna thamani?
Kama ni mtalii tu na haujawahi kupanda treni basi panda us tarehe zile class za juu, bei zake unakifahamu? Lakini kama maisha ni magumu sana na ni lazima "ukahesabiwe" basi huna budi ustahamili tu hayo masaa na njaa yake na adhabu za kusafiri kwa muda mrefu.
Hongera sana.
Kama walikuwa wanatumia magari binafsi ilikuwa inakuwaje inapofika tarehe 21 mabasi ya kwenda moshi yanajaa, mpaka coaster zinazofanya daladala hupewa kibali cha kusafirisha abiria.Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152
Kwahiyo baada ya kufufuliwa hiyo treni ndo Leo watanzania mnajifanya mnajua dhamani ya muda?
Wewe ambao muda wako unadhamani kwa masaa 16 unaingiza kiasi gani? Mpaka unaona wanaopanda treni wotee wajinga.
Kama una haraka sana si unapanda ndege unawahi sasa kwanini mnaumia sana na hawa wanaopanda treni? Hebu jaribuni kuheshimu machaguzi ya watu.
Hardly ni masaa 13 na nusu tu. Inatoka Dar saa kumi kamili moshi inafika saa 11 na nusu alfajiri. Wakizoea njia itakuwa ni masaa 12 tu tena inatembea usiku.Itakaa njiani kwa Saa 16.
Wataipaki tu
Mkuu wengine ni utalii tu hata mimi nitafanya safari ya kwenda Moshi just kuexperience usafiri wa treni,mara ya mwisho kupanda treni ilikuwa mwaka 1984.
Mnafiki wewe!
Basi luxury unafananisha na hayo mabanda ya mbuzi?
Punguza unafiki