Si kweli.
Ajali nyingi kwa takwimu kabisa duniani kwanza ni magari halafu treni na mwisho kabisa ni ndege. Naweza kukupa ushahidi ukipenda.
Tanzania kuwa wengi hawana uwezo wa usafiri wa ndege, hilo ni sahihi kabisa, lakini, kuhusu gharama za mabasi na treni, hapo bado kuna mashaka. Mimi sijauona urahisi wa kupanda kwa 17,000 ukakaa masaa 17 kufika uendako na ukikata 28,000 ukakaa masaa 8 kwa basi, kwangu bado kuna unafuu kwenye basi kwani kunaokoa muda na matumizi yake ni madogo. Unaweza kustahamili masaa 8 bila matumizi ya chakula lakini ni ngumu zaidi kustahamili masaa 17 bila kula. Labda uwe huna kabisa.
Kuhusu "mabehewa ya mbuzi ya elfu moja na mia nane na" huo ni uongo wako tu.
Mabehewa mapya na reli imekarabatiwa upya.
Mbuzi siku hizi hata ndege wanapakiwa, hilo si ajabu. Pengine wewe hujawahi kupanda ndege lakini kuna mbuzi na ng'ombe wameshaikwaa.
Kuhusi wachagaa hilo nakuwachia wewe uliyeenda kuwapokea biria zaidi ya 200 na kuwaona kati ya wote hao hakukuwa wachagga.
Pole nikupe wewe. Mimi natumia treni miaka yote na ndiyo usafiri wangu wa kwanza kuliko yote. Penye treni hunipandishi gari wala ndege.
Faizafoxy unafeli unapofananisha usafiri wa treni Canada na Tanzania
Baada ya yote,umekubaliana na mimi kabisa kwamba mabasi yanashinda hapa kwa mbali kabisa!
Kuhusu ajali Faizafoxy unafeli
Ajali ya magari haizuii watu kuendelea kutumia magari compared na population inayopakia na kua salama
Na unashindwa kuelewa magari ndio yanatumia na largest population on earth hivyo percentage yake ya kuua watu ni kubwa per capita!
Ingekua population inayotumia magari ni relatively small compared na ile ya usafiri zingine halafu watu wanakufa kwa idadi kubwa zaidi hapo kungekua na tatizo
Idadi ya wapakia ndege na treni worldwide compared na magari ni mbingu na ardhi.Idadi ya population kwenye magari ni way too big
Mabehewa yaliyokarabatiwa,hii ni debate!Kwa kiwango gani?Nobody knows na wewe pia hujui,umebeba neno “kukarabatiwa” na ku-run with it.
Treni zetu ni mabanda ya mbuzi,thats a fact dada!
Ndege wanyama wana special facility huwezi waona kabisa...Treni kwenye behewa hilo hilo kuna uzio umewekwa kwa ajili ya mbuzi
Mkuu tumeshaelewana,mabasi make more long term economic sense,labda waniletee SGR au bullet train kabisa,then hapo no ubishi