Yani kabisa nikakae nipige picha ?hahaha sifanyi huo ujinga
Ni mawazo yako,ni utalii pia hata Mimi nilitamani Sana ili nione mandhari ya nchi yetu.Pia itawasaidia wengi kurudi home kwa nafuu,pia ni rahisi kuzamia kwenye treni kama huna nauli kuliko basi.Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152
Ni mawazo yako,ni utalii pia hata Mimi nilitamani Sana ili nione mandhari ya nchi yetu.Pia itawasaidia wengi kurudi home kwa nafuu,pia ni rahisi kuzamia kwenye treni kama huna nauli kuliko basi.
And who is boarding that shitty garbage of a rugged ass locomotive?
Thats piece of crap!
Mkuu tuongelee real problems za usafiri nchi hii na tuache hizi sanaa za haya magogo kujitafutia umaarufu wa kipumbavu
Maana commercially that train dont make any profit!
Do not make any economic sense at all!
Hii nchi ni total welfare state
Utaliii?
Nauli ndogo unafika baada ya 16hrs?
Really?
Kuna commercial progress hapo in a long run?
Utalii ukiisha then?
Ishu hapa ni 16hrs na ubovu na uzamani wa matreni hayo!
Niache kukaa kwenye kochi na full entertainment zote halafu ni 8hrs nafika Moshi nikapakie banda la mbuzi kwa 16hrs?
You gotta be serious!
Sio wote wanaoweza nauli ya busUtaliii?
Nauli ndogo unafika baada ya 16hrs?
Really?
Kuna commercial progress hapo in a long run?
Utalii ukiisha then?
Ishu hapa ni 16hrs na ubovu na uzamani wa matreni hayo!
Niache kukaa kwenye kochi na full entertainment zote halafu ni 8hrs nafika Moshi nikapakie banda la mbuzi kwa 16hrs?
You gotta be serious!
Sawa mkuu.Leo hii nimepakia dogo ameenda moshi, wamefika saa tisa , bus imeondoka saa KUMI NA NUSU usiku/alfajiri...(mabus yanayopak nje ya stand)...hakuna bus ya kuondoka saa 6:00 ikafika huko muda huo, labda iwe ya Magu
Arusha ufike saa nane that means moshi umepita saa saba ... Thubutu...hii ilikua inawezekana kabla ya tochi tu
Si tun Ndege kiongozi?Kweni kuna mtu amelazimisha mpande treni? Si kuna njia nyingine za usafiri? Sasa watu mnatokwa mapovu ya nini?
Kila mtu ana haki ya kufanya anachokipenda sasa iweje nyie muwaone wanaopanda treni wajinga?
Kweni mnawasaidia kwa lolote?
Achani kujifanya wajuaji bhana
Wewe Ndio mshamba tren zipo kila Nchi Duniani
Masaa 16 hadi Moshi kwa elfu kumi na sita hapo abiria ana save zaidi ya elfu 15
Acheni kujifanya nyie mna jua sana
Fikiria basi hata kidogo mkuu.Mada hii imenifanya nijue wapinzani wa Mh Rais magufuli ni wa aina ila nikakumbuka kauli moja Rais magufuli amewahi kuisema yaan adui hata mvua kama inanyesha ukipita mbele yake atasema unamtimulia vumbi baada ya reli kukamilika kwa matengenezo sasa mmekuja suala la muda kwa kusahau kuwa Tuko soko hulia utakuwa ni uamuzi wako wewe wapo ambao kusave iyo elfu kumi na tano ni bora zaidi kuliko huo muda unaona wewe utakao upoteza hivyo kila mtu inategemea na kipaumbele gani kwenye maisha ya kati ya muda na fedha
Na hayo mabasi ya luxury unayoyasifia ni yapi? Hapa Tanzania kuna bus la luxury? Lipi hilo? Mkuu unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo na exposure ndogo bora unyamaze tuu. Eti full entertainment.. kuna bus lenye full intertainment bongo..??🤣🤣
Sio wote wanaoweza nauli ya bus
Imetumia Saa 19 njiani!!"Ukitoa uhai/pumzi kitu kingine chenye THAMANI ni muda hapa duniani" Pascal Mayalla December 2019
- kwahiyo binafsi yangu siwezi itumia hiyo train kuanzia 1600 hadi next day 1100.
Ni ulimbukeni na upotezaji wa muda nitapanda bus tu.
Kwani ni wachaga wote wanamiliki hayo magari???Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152