Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,762
- 4,978
Kwa ajili yako utakuwa unafikiri wachaga wote wana mabenzi.....
Ujinga bado unakusumbua
Ujinga bado unakusumbua
Safi sana mkuu!Hahaha hapana sie wazee wajanja wa town tunaenda sawa na vijana wa kizazi cha supra na carolight.
Kwa hiyoTunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152
Jamaa mshamba hajui kwamba kwenye treni unaweza kununua kijiroom na mbebe huku unasukuma beerAcha kuwa na mawazo ya mgando
Usafiri wa treni una raha yake
Ila bado wapo wale wakatao tumia private car
Ova
Sio masaa 16 mkuu
Ni masaa 48 siku mbili kavu
Nani apakie hayo mavi!?
HAO NI WALE WALANGUZI WA TIKETI PALE UBUNGO NA WENYE VIAICE ULE ULAJI WA DECEMBA KWISHA. Nashauri waongeze behewa maradufu na injini mbili maana mwezi huu wasafiri ni wengi kwenda huko. Kitu kizuri ni kuwa wameanzia KITUO KAMATA PALE KARIAKOO ambapo mabasi yanaishia na kuondoka kwa maeneoMENGI ya jiji. MMEANGALIA USUMBUFU WA KWENDA AU KUTOKA STESHENI KUTOKA MAENEO MBALIMBALI? HIYO SGR INGEANZIA HAPO AU VIPI JAMANI KWA WANYONGE TU.WENGINE HAMHUSIKIWale waliokuwa wanatabiri sijui wako wapi eti wachaga hawawezitumia treni ona sasa hadi aibu poleni sana na mtoa Mada ukiwemoo.
Hahaha hapana sie wazee wajanja wa town tunaenda sawa na vijana wa kizazi cha supra na carolight.
Safi sana mkuu!
Hahaha kumbe ananidanganya😪Unadanganywa kirahisi hivi
Hahaha kumbe ananidanganya![]()
Pamoja.HAO NI WALE WALANGUZI WA TIKETI PALE UBUNGO NA WENYE VIAICE ULE ULAJI WA DECEMBA KWISHA. Nashauri waongeze behewa maradufu na injini mbili maana mwezi huu wasafiri ni wengi kwenda huko. Kitu kizuri ni kuwa wameanzia KITUO KAMATA PALE KARIAKOO ambapo mabasi yanaishia na kuondoka kwa maeneoMENGI ya jiji. MMEANGALIA USUMBUFU WA KWENDA AU KUTOKA STESHENI KUTOKA MAENEO MBALIMBALI? HIYO SGR INGEANZIA HAPO AU VIPI JAMANI KWA WANYONGE TU.WENGINE HAMHUSIKI
Mtoa mada huwajui Wachaga.Tunarudi nyuma miaka 25. Nimejiuliza yale Mabenzi, Vogue, Wachagga waliokuwa wanayatumia kwenda kwao December yameenda wapi?
Hadi kufikia usafiri wa kizamani namna hii?
View attachment 1284152
Ina maana amipozaliwa alirukia umri wa wazee. Huyu hakucheza hata kidali poo. Iko kazi.....Basi kuna hatua ya kufikiria uliiruka ktk ukuaji sasa inakurudia....
Kigoma itumie 24hrs alafu moshi hapo ukipiga mluz wanasikia itumie masaa 48 ????
Watu walioondoka jana jion leo 7:30 wamefika, jion inanyua kuja huku, kesho asubuh iko hapa, jion inaondoka tenaTreni iliyo stop trip mwaka 1994 ndio niliyopakia mwaka 1992 kuja Dar kwa mara ya kwanza!
Ilitumia 3 days kufika!
Kwa muda wa kiungwana ni 48hrs kama nakua generous sana!
Hutaki acha