Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Kupanda treni kwenda Moshi ni kujidhalilisha

Treni ipi ya Mwakyembe inafanya kazi!?

Nothing to be seen!
Unamatatizo mkuu, haijawah kusimama hata mara moja, asubuh trip tatu jion tatu

Tazara -mwakanga
Gerezan --pugu mnadani na ile ya inayopita mwananch hapo, zote tatu zinapiga trip 6 ..tatu asubuh tatu usiku
 
Leo hii nimepakia dogo ameenda moshi, wamefika saa tisa , bus imeondoka saa KUMI NA NUSU usiku/alfajiri...(mabus yanayopak nje ya stand)...hakuna bus ya kuondoka saa 6:00 ikafika huko muda huo, labda iwe ya Magu

Arusha ufike saa nane that means moshi umepita saa saba ... Thubutu...hii ilikua inawezekana kabla ya tochi tu
Mkuu watu humu wanajifanya wajuaji sana lakini kiukweli hakuna bus inafikaga moshi kwa Massa 5-7 wanayosema wao hiyo ilikuaga zamani
 
Unamatatizo mkuu, haijawah kusimama hata mara moja, asubuh trip tatu jion tatu

Tazara -mwakanga
Gerezan --pugu mnadani na ile ya inayopita mwananch hapo, zote tatu zinapiga trip 6 ..tatu asubuh tatu usiku
Usibishane na huyu jamaa anajifanya anajua kila kitu kumbe hata moshi hajawahi fika.
 
Usibishane na huyu jamaa anajifanya anajua kila kitu kumbe hata moshi hajawahi fika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inawezekana hata hapa dsm haishi
 
Wewe Ndio mshamba tren zipo kila Nchi Duniani

Masaa 16 hadi Moshi kwa elfu kumi na sita hapo abiria ana save zaidi ya elfu 15

Acheni kujifanya nyie mna jua sana
Tatizo sio kusave tatizo ni hadhi ya iyo 19k ya anako kaa msafiri,Muda na hadi kufika
 
Et ngarangara [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] acha basi kuwaza mambo usiyoyajua, ni nchi Gani Ulaya wanasafiria treni kama hiyo ya Dar To Moshi?
Au umekurupuka tu kiongozi,
Possibly unavyosikia Ulaya wanasafiria treni unajenga picha ya hizi ngarangara za huku...
 
Unamatatizo mkuu, haijawah kusimama hata mara moja, asubuh trip tatu jion tatu

Tazara -mwakanga
Gerezan --pugu mnadani na ile ya inayopita mwananch hapo, zote tatu zinapiga trip 6 ..tatu asubuh tatu usiku

And who is boarding that shitty garbage of a rugged ass locomotive?

Thats piece of crap!

Mkuu tuongelee real problems za usafiri nchi hii na tuache hizi sanaa za haya magogo kujitafutia umaarufu wa kipumbavu

Maana commercially that train dont make any profit!

Do not make any economic sense at all!

Hii nchi ni total welfare state
 
And who is boarding that shitty garbage of a rugged ass locomotive?

Thats piece of crap!

Mkuu tuongelee real problems za usafiri nchi hii na tuache hizi sanaa za haya magogo kujitafutia umaarufu wa kipumbavu

Maana commercially that train dont make any profit!

Do not make any economic sense at all!

Hii nchi ni total welfare state
Inaonekana hii treni imekuaharibia mambo yako kabisa maana unapinga mpaka unashangaza.
 
Sasa kama safari ya kwanza inasafiri masala 19?ode ma sipandi kweli
 
And who is boarding that shitty garbage of a rugged ass locomotive?

Thats piece of crap!

Mkuu tuongelee real problems za usafiri nchi hii na tuache hizi sanaa za haya magogo kujitafutia umaarufu wa kipumbavu

Maana commercially that train dont make any profit!

Do not make any economic sense at all!

Hii nchi ni total welfare state
Mkuu, ni zinapakia haswa ...hadi mlangon wana ning'inia , zinapakia kweli kweli
 
Hii mada mbona imegeuka ugomvi? Aisee sijaelewa kinachobishaniwa hasa ni nini
 
Inaonekana hii treni imekuaharibia mambo yako kabisa maana unapinga mpaka unashangaza.

Nashangaa how stupid our politicians have become!

Hizi treni ni hasara juu ya hasara na watu hawatapakia

Heri hata za Dar watapakia maana distances ni fupi fupi

Moshi ni total garbage

No one will pakia that shit in a long run...

Ziwe treni za mizigo labda...na zitabeba nini toka Moshi na kahawa ilishakufa 20years ago???

Tatizo kubwa zaidi ni watu nyie tuliowasomesha mtusaidie kuangalia mambo haya kwa jicho la ukaguzi bali ndio mnageuka kulamba matako hawa good for nothing politicians who do not know anything!

Im so disappointed in you!
 
Mkuu, ni zinapakia haswa ...hadi mlangon wana ning'inia , zinapakia kweli kweli

Za Dar walao unaweza kusema labda!

Mimi bjnafsi sijazishuhudia,mpaka uweke evidence hapa sio maneno!

Ila treni ya kwenda Moshi??????

Itakufa tu kama wanategemea abiria,labda mizigo!

Na mizigo kutoka Moshi kuja Dar hakuna nowadays maana kahawa ilishakufa long time ago!

Nothing is coming outta Moshi anymore!

Nothing!
 
Za Dar walao unaweza kusema labda!

Mimi bjnafsi sijazishuhudia,mpaka uweke evidence hapa sio maneno!

Ila treni ya kwenda Moshi??????

Itakufa tu kama wanategemea abiria,labda mizigo!

Na mizigo kutoka Moshi kuja Dar hakuna nowadays maana kahawa ilishakufa long time ago!

Nothing is coming outta Moshi anymore!

Nothing!
Yani kabisa nikakae nipige picha ?hahaha sifanyi huo ujinga
 
Mada hii imenifanya nijue wapinzani wa Mh Rais magufuli ni wa aina ila nikakumbuka kauli moja Rais magufuli amewahi kuisema yaan adui hata mvua kama inanyesha ukipita mbele yake atasema unamtimulia vumbi baada ya reli kukamilika kwa matengenezo sasa mmekuja suala la muda kwa kusahau kuwa Tuko soko hulia utakuwa ni uamuzi wako wewe wapo ambao kusave iyo elfu kumi na tano ni bora zaidi kuliko huo muda unaona wewe utakao upoteza hivyo kila mtu inategemea na kipaumbele gani kwenye maisha ya kati ya muda na fedha
 
Back
Top Bottom