Kuota upo shule ya msingi

Kuota upo shule ya msingi

Bora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎

Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
Ndoto za aina hii niliziota Sana nikiwa mdogo mpaka ikafikia nikawa naogopa usiku
 
Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.

Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu mambo yangu yakiwa yanaenda vibaya kama kipindi hiki.
Unahitaji msaada wa maombi mkuu, nitakupa namba uwasiliane na Muinjilisti fulani ni mwanamke. Anaweza akakusaidia.
 
Bora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎

Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
Haha, aisee pole sana hii kuna kipindi zilifululiza sana kwangu saiv sizioti tena
 
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Kaka pole sana, ukipata ufumbuzi usinisahau maana naona kama tumepanda boat moja
 
Ni kumbukumbu tu ambazo mtu alipitia kwenye maisha yake , na zote zimetunzwa kwenye ubongo, kama memories zako zipo vizuri unaweza ota mambo mengi tu hata ya utoto
Ndoto ni spiritual thing
Ni hali halisi ya kinachoendelea, kilichotokea na kitakachotokea

Soma biblia utaelewa
Mungu hutumia sn ndoto kusema na watu


Km.sio wa imani ya kikristo sorry
 
Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.

Binafsi nadoubt kwa sababu mambo yangu yakiwa yanaenda vizuri huwa sioti hivo,huwa naota hivo pale tu mambo yangu yakiwa yanaenda vibaya kama kipindi hiki.
I wish kungekuwa na option ya voice note...hapa duh...
Taarifa ipo very clear
Ayubu 33:14-17

Hapa kuandika ngoja nione , nitarudi
 
Ndoto ni spiritual thing
Ni hali halisi ya kinachoendelea, kilichotokea na kitakachotokea

Soma biblia utaelewa
Mungu hutumia sn ndoto kusema na watu


Km.sio wa imani ya kikristo sorry
Hizo ni imani tu ,sina imani yoyote ya Mungu wala shetani , hayo ni mambo ya imani wala hayana uthibitisho wowote , naota hizo ndoto za shule kila siku na mipango yangu inaenda kama ninavyotaka.
 
Back
Top Bottom