Psalm_27
Senior Member
- Aug 27, 2026
- 122
- 130
May be! yaani unapita sehemu unaona bar, sasa ile kuona tu watoto wazuri dopamine inaitikia, halafu unabaki kujiuliza niende au akili nyingine inasema acha!Jini mahaba huyo.
May be! yaani unapita sehemu unaona bar, sasa ile kuona tu watoto wazuri dopamine inaitikia, halafu unabaki kujiuliza niende au akili nyingine inasema acha!Jini mahaba huyo.
Dah! Pole mkuu. Kumbe ni mchana ukiwa matembezini kabisa?May be! yaani unapita sehemu unaona bar, sasa ile kuona tu watoto wazuri dopamine inaitikia, halafu unabaki kujiuliza niende au akili nyingine inasema acha!
Watu wa Iambi wachawi nyieNimeziota sana hizo ndoto za shule ya msingi, hasa hasa yale maeno tuliyokuwa tukicheza mpira shule. Lakini mambo yanaenda namshukuru Mungu.
Nilifanikiwa kutoka kwenye huo mtego na nilisimulia hapaUmepigwa kipapai mzee
Hatari sana mkuu!Dah! Pole mkuu. Kumbe ni mchana ukiwa matembezini kabisa?