Kuota upo shule ya msingi

Kuota upo shule ya msingi

Yap
Wengine wanaota wanasex
Wengine wanakula
Wengine wanapigwa
Wengine wanakimbizwq, engine nyoka ..etc
Hizi ni za kawaida ila kuna ndoto ngumu ukiambiwa hutaamini
Ndo ujue ulimwengu wa roho una taarifa zote
Mwilini ni matokeao tu ....
Hizo ndoto ngumu ndio nyingi hua naota
 
Mimi kila wiki lazima niote nachakata mbususu, yaani naota mdada ana shanga za kilo 10 kiunoni, anakatika balaa huku akisema mzee poker ongeza mapigo, namimi naichakata na kuipepeta haswa. Nami pia naombeni msaada.
Hilo ni jini mahaba Hilo ,
Unahitaji kumrudia Mungu na kuwa Una fanya maombi ya vita ya kulifukuza
 
Hii ndoto ukiiota ujue unafata msoto mmoja mkubwa sana .
Walisema watu humu tafsiri ya hii ndoto miaka ya nyuma nikaipuuza ila yaliyonipata sitasahau

Nashukuru sijafa
 
Kuna ile unaota;
Unafanya mtihani drs 7 au frm4 katika ya mtihani unaskia "muda umeisha weka kalamu chini" afu wewe hakuna hta ulichokifanya.
AU mnafanya mtihani wa hesabu afu yale maswali hakuna hta hesabu moja unaielewa unaona mchele mchele tu.
Pia ipo ile unakimbilia kufanya mtihani then unafika unakuta wenzio wanatoka kwamb washamaliza .
Hizi ndoto siyo bure huwa kuna maana ila labda hatuijui.
 
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Mzee hapo hutoki bila gia kubwa. Ukianza kuota upo primary ni hatari sana chukua hatua haraka sana kwani kuna roho za kichawi zinahusika na lengo ni kukukwamisha kabisa. Usiwe na huruma kwa wachawi hata chembe.
 
Bora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎

Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
🤣🤣🤣 Utatuvunja mbavu mkuu
 
Kwenye mazingira unayoishi kuna fursa ngapi ambazo hutaki kuzigusa kwa sababu ya ego ya kutaka kukaa ofisini?

Tafuta chochote cha kufanya hata kama ni cha muda mfupi ili kuvunja hilo ganda la kukaa tu ,harakati huleta fursa , kuendelea kukaa tu ni kujilemaza.
 
Umespend muda mrefu shule kipindi ubongo unakua na kujijenga, ma file kibao yamehifadhiwa kwenye ubongo wako.

Wala sio jambo la ajabu.
Sometimes Huwa ni trauma, kama aliteseka sana shuleni, au aliishi maisha ya kutokuonekana lazima subconscious itafte namna ya kuresolve... So inakuja Kwa namna ya ndoto.

Kuna clip Moja ipo mtandaoni jamaa wa miaka 47 alipitia wakati ngumu sana alipokuwa mdogo, so kakua anaota scenario hizo hizo mpka alipo Anza therapy. Akaanza kukua kwenye ndoto. Ilimchukua miaka mpk kuanza kuota umri wake.
 
Sometimes Huwa ni trauma, kama aliteseka sana shuleni, au aliishi maisha ya kutokuonekana lazima subconscious itafte namna ya kuresolve... So inakuja Kwa namna ya ndoto.

Kuna clip Moja ipo mtandaoni jamaa wa miaka 47 alipitia wakati ngumu sana alipokuwa mdogo, so kakua anaota scenario hizo hizo mpka alipo Anza therapy. Akaanza kukua kwenye ndoto. Ilimchukua miaka mpk kuanza kuota umri wake.
Ni kweli na shuleni ndio tunakobeba most of our traumatic events kipindi bongo zetu hazijakomaa vizuri, vitu kama bullying, rejection, hofu (mitihani) , adhabu, comparison
etc

Zote hizo zimehifadhiwa na zinafunuliwa subconsciously kwenye ubongo.
 
Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Kuota Upo Shuleni imamaanisha Unarudishwa nyuma kimaisha

Pia omba ukombozi wa Nafsi
 
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
kwa ujumla ndoto za shuleni ni mbaya na hazina uzuri wowote uwe umefanya mtihani au umeshindwa tafsiri zake zote ni mbaya na ndoto hizi humtokea sanna mtu ambae amepigwa kijicho(hasad) tofautisha hasad na uchawi, kwamba kuna watu walitamani neema zako ziondoke kwako na sababu hukua mtu wa ibada na hukua na kinga yoyote basi husda hio ikaingia kwenye maisha yako na hii ikafanya uharibikiwe, na hii ndoto hizi huwapata watu wengi ila kwa bahati mbaya hawajui tu ila sio ndoto nzuri
 
Ni kweli na shuleni ndio tunakobeba most of our traumatic events kipindi bongo zetu hazijakomaa vizuri, vitu kama bullying, rejection, hofu (mitihani) , adhabu, comparison
etc

Zote hizo zimehifadhiwa na zinafunuliwa subconsciously kwenye ubongo.
Hakika
"Until you make the unconscious conscious, it will always control your life and you'll call it fate"~ Carl Gustave Jung

Imenichukua muda sana kuacha kuota ndoto za primary mpka kipindi nipo chuo Bado nilikua naota, scenario za darasa la sita na saba, au characters wanakuwa Hawa wa chuo ila tuko wadogo
 
Back
Top Bottom