Kuota upo shule ya msingi

Kuota upo shule ya msingi

Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Kuna Watu hawaelewi unazungumzia Nini...!

Mimi ni mganga, niliota sana hizo Ndoto na nikapuuzia, nilichokuja kupitia Mungu anajua...!

Mwisho wa siku niliamua kukabidhi Maisha yangu Kwa Mungu 1,000% nikashinda Vita, ila si rahisi, tafuta Kanisa uende ukaombewe..!

Watu watakushari hapa Kwa hisia zao tu..... Usijekukosea Ukaenda Kwa Mganga, coz Wachawi ndiyo Waganga Wakienyeji, Waganga ndiyo Wachawi wenyewe, na Wachawi Wana Nguvu kuliko Waganga..... utakuja kulia na hakutakua na wakukufuta Machozi.
 
Bora nyie wenzangu mnaoota mkiwa mmeshaanza shule, mwenzenu mara kwa mara naota bado nikiwa tumboni 😔
 
Kuna Watu hawaelewi unazungumzia Nini...!

Mimi ni mganga, niliota sana hizo Ndoto na nikapuuzia, nilichokuja kupitia Mungu anajua...!

Mwisho wa siku niliamua kukabidhi Maisha yangu Kwa Mungu 1,000% nikashinda Vita, ila si rahisi, tafuta Kanisa uende ukaombewe..!

Watu watakushari hapa Kwa hisia zao tu..... Usijekukosea Ukaenda Kwa Mganga, coz Wachawi ndiyo Waganga Wakienyeji, Waganga ndiyo Wachawi wenyewe, na Wachawi Wana Nguvu kuliko Waganga..... utakuja kulia na hakutakua na wakukufuta Machozi.
Kweli mkuu! waganga wanawapiga sana watu wanakuja kushituka dakika za mwisho!
 
Kuna Watu hawaelewi unazungumzia Nini...!

Mimi ni mganga, niliota sana hizo Ndoto na nikapuuzia, nilichokuja kupitia Mungu anajua...!

Mwisho wa siku niliamua kukabidhi Maisha yangu Kwa Mungu 1,000% nikashinda Vita, ila si rahisi, tafuta Kanisa uende ukaombewe..!

Watu watakushari hapa Kwa hisia zao tu..... Usijekukosea Ukaenda Kwa Mganga, coz Wachawi ndiyo Waganga Wakienyeji, Waganga ndiyo Wachawi wenyewe, na Wachawi Wana Nguvu kuliko Waganga..... utakuja kulia na hakutakua na wakukufuta Machozi.
Mkuu,nilifanikiwa kwa njia ya maombi na nikaandika Uzi huu kuelezea
Kuna Watu hawaelewi unazungumzia Nini...!

Mimi ni mganga, niliota sana hizo Ndoto na nikapuuzia, nilichokuja kupitia Mungu anajua...!

Mwisho wa siku niliamua kukabidhi Maisha yangu Kwa Mungu 1,000% nikashinda Vita, ila si rahisi, tafuta Kanisa uende ukaombewe..!

Watu watakushari hapa Kwa hisia zao tu..... Usijekukosea Ukaenda Kwa Mganga, coz Wachawi ndiyo Waganga Wakienyeji, Waganga ndiyo Wachawi wenyewe, na Wachawi Wana Nguvu kuliko Waganga..... utakuja kulia na hakutakua na wakukufuta Machozi.
 
Unaweza kunieleza japo kwa ufupi
Mkuu kama bado unaziota hizo ndoto za shule...

Au ukiona tu siku umeota ndoto upo shule siku ya mtihani then katika kufanya ule mtihani mambo/maswali yakawa magumu na ukashidwa kumaliza maswali au muda wa mtihani umeisha wewe ndio unaanza kujibu swali la kwanza...

Maana yake kuna fursa inakuja aidha unaijua na umeiomba hivyo unaisikilizia itiki au huijui kabisa... Ila hautaipata kwasababu haujajiandaa kikamilifu kukumbana na majukumu yatokanayo na hiyo fursa.

Kama ni issue ya interview basi upo shallow sana hivyo hautatoboa na watakao toboa ni wale waliojiandaa kikamilifu.

Kwahiyo mkuu ukiona unaota upo shule unapiga pepa harafu linakutoa jasho jua fursa ipo ila wewe binafsi haujajiandaa physically, kama ni interview jua kabisa upo shallow na haujajinao kisawasawa na material husika, hivyo roho yako katika ulimwengu wa roho inakujuza kua haujajiandaa na hii fursa...

Na mara zote fursa huwa inakuwa bahati na kumpata kwa yule aliejiandaa.
 
Kuna Watu hawaelewi unazungumzia Nini...!

Mimi ni mganga, niliota sana hizo Ndoto na nikapuuzia, nilichokuja kupitia Mungu anajua...!

Mwisho wa siku niliamua kukabidhi Maisha yangu Kwa Mungu 1,000% nikashinda Vita, ila si rahisi, tafuta Kanisa uende ukaombewe..!

Watu watakushari hapa Kwa hisia zao tu..... Usijekukosea Ukaenda Kwa Mganga, coz Wachawi ndiyo Waganga Wakienyeji, Waganga ndiyo Wachawi wenyewe, na Wachawi Wana Nguvu kuliko Waganga..... utakuja kulia na hakutakua na wakukufuta Machozi.
Mkuu nilifanikiwa kupitia maombi na nikasimulia kwenye huu Uzi

 
Lilikuwa ni tatizo la
Ukweli Mchungu......!

Ukweli Mchungu......!
Ni kweli lilikuwa tatizo la kiroho ila nilifanikiwa kujinasua na nikasimulia hapa
 
Back
Top Bottom