Hizo ndoto ngumu ndio nyingi hua naotaYap
Wengine wanaota wanasex
Wengine wanakula
Wengine wanapigwa
Wengine wanakimbizwq, engine nyoka ..etc
Hizi ni za kawaida ila kuna ndoto ngumu ukiambiwa hutaamini
Ndo ujue ulimwengu wa roho una taarifa zote
Mwilini ni matokeao tu ....
Hilo ni jini mahaba Hilo ,Mimi kila wiki lazima niote nachakata mbususu, yaani naota mdada ana shanga za kilo 10 kiunoni, anakatika balaa huku akisema mzee poker ongeza mapigo, namimi naichakata na kuipepeta haswa. Nami pia naombeni msaada.
OohHizo ndoto ngumu ndio nyingi hua naota
Solution ipo wapOoh
Sawa
Ila uzuri solution ipo
Biblia (neno la Mungu)ndo jibuSolution ipo wap
Sawa mamaa😍Biblia (neno la Mungu)ndo jibu
Hakuna ndoto isiyo na tafsiri na ujumbe..
Shida ni kuelewa tu
Mzee hapo hutoki bila gia kubwa. Ukianza kuota upo primary ni hatari sana chukua hatua haraka sana kwani kuna roho za kichawi zinahusika na lengo ni kukukwamisha kabisa. Usiwe na huruma kwa wachawi hata chembe.Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,
Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌
Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback
Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔
Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,
Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa
Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
God speaks to us in many ways
🤣🤣🤣 Utatuvunja mbavu mkuuBora wewe unaota upo shule, wenzako tunaota tunakimbizwa na sungusungu wa kijiji halafu kila ninapijificha wananifuma.! 😎
Wakati mwengine Simba, mbwa Yaani hekaheka mpaka kunakucha
Sometimes Huwa ni trauma, kama aliteseka sana shuleni, au aliishi maisha ya kutokuonekana lazima subconscious itafte namna ya kuresolve... So inakuja Kwa namna ya ndoto.Umespend muda mrefu shule kipindi ubongo unakua na kujijenga, ma file kibao yamehifadhiwa kwenye ubongo wako.
Wala sio jambo la ajabu.
Ni kweli na shuleni ndio tunakobeba most of our traumatic events kipindi bongo zetu hazijakomaa vizuri, vitu kama bullying, rejection, hofu (mitihani) , adhabu, comparisonSometimes Huwa ni trauma, kama aliteseka sana shuleni, au aliishi maisha ya kutokuonekana lazima subconscious itafte namna ya kuresolve... So inakuja Kwa namna ya ndoto.
Kuna clip Moja ipo mtandaoni jamaa wa miaka 47 alipitia wakati ngumu sana alipokuwa mdogo, so kakua anaota scenario hizo hizo mpka alipo Anza therapy. Akaanza kukua kwenye ndoto. Ilimchukua miaka mpk kuanza kuota umri wake.
Kuota Upo Shuleni imamaanisha Unarudishwa nyuma kimaishaHalafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,
Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa
Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
kwa ujumla ndoto za shuleni ni mbaya na hazina uzuri wowote uwe umefanya mtihani au umeshindwa tafsiri zake zote ni mbaya na ndoto hizi humtokea sanna mtu ambae amepigwa kijicho(hasad) tofautisha hasad na uchawi, kwamba kuna watu walitamani neema zako ziondoke kwako na sababu hukua mtu wa ibada na hukua na kinga yoyote basi husda hio ikaingia kwenye maisha yako na hii ikafanya uharibikiwe, na hii ndoto hizi huwapata watu wengi ila kwa bahati mbaya hawajui tu ila sio ndoto nzuriNilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,
Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌
Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback
Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔
Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,
Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa
Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
HakikaNi kweli na shuleni ndio tunakobeba most of our traumatic events kipindi bongo zetu hazijakomaa vizuri, vitu kama bullying, rejection, hofu (mitihani) , adhabu, comparison
etc
Zote hizo zimehifadhiwa na zinafunuliwa subconsciously kwenye ubongo.