KERO Shule ya Msingi VETA, Mbeya inatoza wanafunzi michango na vyakula

KERO Shule ya Msingi VETA, Mbeya inatoza wanafunzi michango na vyakula

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kugembemaguha

Member
Joined
Mar 15, 2026
Posts
5
Reaction score
1
Kero yangu ni kuhusu michango inayotozwa wanafunzi wa Shule ya Msingi VETA iliyopo Mbeya Mjini

Wanafunzi wanatakiwa kuchangia:
  • Shilingi 5,000 kila mwezi;
  • Shilingi 1,000 kila wiki;
  • Shilingi 20,000 (mchango mwingine);
  • Mchele kilo 10; na
  • Maharage kilo 7.

Naomba kufahamu, je, michango hii imeidhinishwa rasmi na mamlaka husika, au ni utaratibu wa shule wenyewe?
 
Bodi ya shule ipo. Afisa elimu kata yupo, Diwani yupo.
Ebu waone hao.
Pia uwe unahudhuria vikao vya wazazi
 
Kwasasa shule zaserikali zimeamua kujipambanua kupandisha ufaulu na katika hatua wanazochukua moja wapo niwatoto kupata mlo wamchana shuleni,mitihani yakujipima kila wiki namasomo yaziada.ila hapo kwene mchele kilo 10 na maharage kilo 7 nikwamwezi ama..kijijini kwangu kama huna maharage,chenga zamchele na mahindi basi utachangia 17,000 kwa mwezi kama unavyo hivyo bas utachangia 5000 tu yampishi
 
Back
Top Bottom