Kuota upo shule ya msingi

Kuota upo shule ya msingi

Ukiwa mtu wa kuamini sana hivyo vitu lazima ukwame aisee!
Sio suala la kuamini
Suala ni kwamba
"Life is spiritual " utake , uamini , usiamini haibadiriki utachagua ww
Mwilini ni matokeo tu ya kule kimefanyika rohoni....

Inshrt hakuna kitu kinatokea bila taarifa unless ur not sensitive in spirit au huna maarifa
 
Basi km ww huna usiwabishie walionazo
Kila mmoja abaki na anacho amini
Ila ht wachawi wanajua
Onyesha nilipo bisha ? Naongea sayansi na vitu vilivyo thibitika na sio imani, amini unavyo amini ila haindoi ukweli kuziota hizo ndoto ni jambo la kawaida.

Wala sijaku kureply wewe kwa chochote ,kiherehere chako tu
 
Kuota upo shule ya msingi pekee haitoshi sababu ulipaswa useme

1. Ulikuwa unafanya nini
2. Ulikuwa na nani?
3. Asubuhi, mchana au jioni
4. Ulikuwa darasani, nje ya darasa
5. Mwanafunzi wa shule hiyo? Ulisomaga hapo?
hauko sahihi. Ndoto ya shulen au ya kuyaona mambo yaliyopita iwe mazingira au watu Au hata marafiki wa zamani hua ina maana moja.

maana yake ni kuna hali itajirudia halihiyo hujionyesha humo kwenye ndoto. Na hisia zitakazo kupata kwenye ndoto hua ni sawa na za tukio lakutimia kwa ndoto hiyo.
 
Onyesha nilipo bisha ? Naongea sayansi na vitu vilivyo thibitika na sio imani, amini unavyo amini ila haindoi ukweli kuziota hizo ndoto ni jambo la kawaida.

Wala sijaku kureply wewe kwa chochote ,kirehehere chako tu
Ss sayansi na spiritual things wapi na wapi mkuu???Mungu ni zaidi ya sayansi😆

Btw comments zako umesema ni vitu vya kawaida ndo maana nimesema usibishe
Sio vitu vya kawaida ndo maana ht ye anapata shida ...
 
hauko sahihi. Ndoto ya shulen au ya kuyaona mambo yaliyopita iwe mazingira au watu Au hata marafiki wa zamani hua ina maana moja.

maana yake ni kuna hali itajirudia halihiyo hujionyesha humo kwenye ndoto. Na hisia zitakazo kupata kwenye ndoto hua ni sawa na za tukio lakutimia kwa ndoto hiyo.
Hayuko sahihi kivipi?
Soma vzr comment yake hajatoa maana hapo kauliza maswali...
Pia ndoto huwa haina maana moja inategemea na aliyeota , kaota yupo hayo mazingira na watu gani, anafanya nn, etc
Mtu anaweza ota yuko shule ila yuko darasani kabisa anasoma,
Mwingine anaota yuko yale mazingira tena hajavaa ht uniform, mwingine anaota kavaa na uniform, Mwingine anaota yuko hapo lkn anafukuzwa na mnyama...hawa wote utasema sbb kaota yuko shule basi maana ni moja?

Nooo soma biblia yako vzr ....na pia bila Roho Mtakatifu huwezi pata tafsiri na ujumbe maana ni vitu 2 tofauti
 
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Ndiko ulikofungiwa kiroho. Jitakase, fanya ibada.
 
Ss sayansi na spiritual things wapi na wapi mkuu???Mungu ni zaidi ya sayansi😆

Btw comments zako umesema ni vitu vya kawaida ndo maana nimesema usibishe
Sio vitu vya kawaida ndo maana ht ye anapata shida ...
Mimi naziota na sipati shida , mkiambiwa mthibitishe mnambwela , amini unavyo amini ni haki yako .

Mambo ya ndoto yanaelezeka kisayansi na ni hali ya kawaida kabisa ,hayo ya kwako ya imani ,yaseme kwa waumini wenzako na sio kwa kila mtu.
 
mkubwa ndoto za shule ya msingi hazihusiki na changamoto zako.

tafsiri ya ndoto hizo ni kwamba hali iliyokua imekutokea nyuma ita kurudia . Na hua unaonyeshwa ndan ya ndoto husika. Mfano kama utashinda njaa ni lazima utaota upo shulen una teseka flan mida ya msosi .. au kama utakwama nauli pia utaona kuna changamoto upande wa kusafir kufika shule nk .

ila hisia za kwenye ndoto hua ni sawa na zitakazo kuja kukukuta kwenye uhalisia.

ndoto ya saa 7 usiku kushuka chini huchelewa sana kutimia inaweza kaa wik kadhaa au siku kadhaa . Ndoto ya saa 8 usiku inaweza kutimia mchana kuelekea jioni. ndoto ya saa 9 usiku ni wastan itatimia mchana ya saa kumi itawah kabla ya mchana . kisha ya saa kumi namoja itawah zaid au itakayo kata mda unao amka.

hii huanza kutimia mda ho huo baada ya kuamka.

...# ila shart kuu ni had ushtuke kisha ule mda ulio shtuka ndo uutumie ku calclate tukio litatokea mda upi zaid.
 
Hapo utasota sana kwenye suala la kiuchumi, Kuna kipindi nilikua naota hivyo hata kwa week mara 5, nikaja hapa jf kuomba ushauri, Kuna jamaa akanielekeza nifuatilie maombi ya mwakasege YouTube namna ya kuiombea hiyo ndoto ipotee, nilifanya kama alivyonielekeza mpaka Leo hii karibia mwaka wa 7 hiyo ndoto haijawahi kunisumbua.

Huyo mshkaji nimesahau kabisa Hadi I'd yake na sidhani kama yupo active tena hapa.
 
Ndoto za kuota upo shule zipo karibu duniani kote na huo uzoefu mamilioni ya watu wanaupata ila afrika kwa sababu ya umaskini zinatafutiwa sababu za kiimani
 
Kuota upon shule ya msingi unapitia magumu let say unajiandaa na mitigani, ama unatembea umbali mrefu kuwahi shule. Inamaana ya kurudishwa nyuma kimaendeleo either kwa hila za kibinadamu ama kimipango ya Mungu.
Kujirudiarudia ndoto hii maana yake Kuna nguvu zinakurudisha nyuma kimaendeleo. Nguvu hizo huenda zikawa za kibinadamu Yani uchawi.
 
Sio suala la kuamini
Suala ni kwamba
"Life is spiritual " utake , uamini , usiamini haibadiriki utachagua ww
Mwilini ni matokeo tu ya kule kimefanyika rohoni....

Inshrt hakuna kitu kinatokea bila taarifa unless ur not sensitive in spirit au huna maarifa
Basi sawa.
 
Hizo ndoto kuziota ni jambo la kawaida kabisa , hata kama umefanikiwa mambo yako unaweza ziota tu.


Tafuta tu sababu nyingine ya kupambana, kama asilimia kubwa ya watu duniani wanavyofanya ila kuhusu hizo ndoto hazina maana y
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,

Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌

Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback

Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na uhakika napenya ila majibu holla,nikasema nimpigie huyo HR na tulikuwa tunawasiliana vizuri,hakupokea simu zangu tena na hapo naona anapost social media kama kawaida🤔

Halafu nakuwa naota sana zile ndoto nipo shule ya msingi mara nipo kijijini kwetu na nilikuwa sioti hizo ndoto kabla ya hapo,

Yaani kila kitu kimestuck kabisaaa

Huwa mnatokaje kwenye huu mkwamo?
Kama upo serious tafuta kitabu kinaitwa spiritual darkness kimeandikwa na bily graham
 
Back
Top Bottom