Kuolewa kuna raha zake!

Kuolewa kuna raha zake!

&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mkuu waambie hawa akina Igwe, Eiyer, na wenzake kuwa mambo huko ni mazuri bana. Hasa mkikutana mnaoelewana na kusikilizana. Na ndoa ikijaliwa watoto. Yaani mtaona raha yake bana.
<br />
<br />
Mbona mnazungumzia upande mmoja wa shilingi?Mbona hamzungumzii ngumi,kuzira kupiga mechi,kulala vitanda tofauti kununiana kama ile "segimenti"ya origino komedi ya ndoa ndoano!
 
hahahahahaaahh Mr. Rocky kuna haja ya kumwingiza ndoani kwa nguvu huyu Mbu ili apate uzoefu eti eh?..................................
Kabisa maana anazungumzia miguu yote ikiwa nje hataki kuingia. Hapo huo uzoefu ataupata wapi wakati hata kuchungulia kukoje hataki

...lol...mambo yenyewe kila siku kutishana hapa. Samawati anaelezea uzuri wa ndoa mnampinga ati kwakuwa ndoa yake changa...sasa nishike lipi niache lipi?
 
<font color="#b22222"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><br />
...lol... hii sasa shughuli,<i> hehe hehe! </i>Na wale wanaotupa mafundisho ya ndoa na maisha ya kiroho je?<br />
Haya bana, acha nichangie <i>kimya kimya</i>...lol...</span></font></font>
<br />
<br />
Afadhali hata wao wanatumia misahafu. Na wana kauzoefu kwa kuwa walimu wa mafundisho hayo. Sasa wewe hata ndoa huna na wala huna mpango huo utatoaje mafunzo
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Japo mimi ni HE, ila ndoa ni nzuri kiujumla wake pia kuna baraka & thawabu nyingi kwa every attempt ya tendo kwa wanandoa. Japo vijana wengi hatupendi kuwa committed aidha ubanwe na mkeo au ubanwe na mumeo, yaani tunapenda tuwe huru. Ni muhimu kuwa na ndoa kudumisha na kuzalisha kizazi chenye ulezi ulio bora, mikwaruzano ipo popote pale, kwenye taasisi za dini ipo, kwenye maofisi ipo, kwenye biashara ipo, kwenye siasa ipo...yaani mikwaruzano ipo everywhere as long as kuna mtu zaidi ya mmoja.
 
dooh kumbe ndio maana watu tunashikwa utafikiri tumeandikwa label kuwa tunatafuta kuoa haraka iwezekanavyo?*?
Vijana msio na uwezo wa kulinda na uhakika au hamna uwezo jihadhari-mmeyasikia wenyewe -kwenye red,hamna cha ma Love au maneno matamu,tafuta hayo kwanza!
Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.


................................ ukajua hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??[/QUOTE]
 

...lol...mambo yenyewe kila siku kutishana hapa. Samawati anaelezea uzuri wa ndoa mnampinga ati kwakuwa ndoa yake changa...sasa nishike lipi niache lipi?

Mwaya tusikukomaze bure.........ni raha tupu mpenzi hebu ingia tu ufaidi!

Ila kweli sie nasi tumezidisha kutu nyoyoni. Kila kukiccha tunalalamika ndoa chungu, hapa tumepewa tumaini tunagoma kupokea mweee!!

Mwaya Sama hebu naomba dondoo mwenzetu unafanya fanyaje mpaka inakuwa hvyo?? Hebu tuelimishane mpenzi
 
QUOTE=Mbu;2318837]<span style="font-family: book antiqua"><font size="3"><font color="#b22222"><br />
...lol...mambo yenyewe kila siku kutishana hapa. Samawati anaelezea uzuri wa ndoa mnampinga ati kwakuwa ndoa yake changa...sasa nishike lipi niache lipi?</font></font></span>[/QUOTE]<br />
<br />
Shika kile ambacho wewe na mpenzio au mkeo tarajiwa mnafanya katika maisha yenu. Usimuige samawati wala rocky ila ishi kama wewe. Wala usimfuatishe fulani wanavocheka kila siku wakiwa pamoja.
Wanasema kuta zile nne za chumba cha wanandoa kinaficha mengi. So usione mtu anacheka ukajua yote ni mazuri ni kuvumiliana na kumvumilia mwenzako na kufundishana kila siku ndo kutaifanya ndoa yako idumu.
Mkianza kulaumiana na kudundana na kususiana sio mnajenga bali mnaibomoa na haitachukua muda kusambaratika
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Aisifuye mvua imemnyea.
Samawati uko sahihi kusifia raha unayopata kwenye ndoa yako. Hii itawatia moyo wale wanaosuasua kuingia kwa kuogopa kasheshe za ndoa.Kila jamii inaheshimu na kutia moyo watu waoane. Ukiona yamekushinda kwenye ndoa yako siyo vema kuwakatisha tamaa wengine.Binafsi naona ni vema kuingia kwenye ndoa ikiwezekana kuliko kuogopa kuingia kwa sababu umetishwa.
 
Afadhali hata wao wanatumia misahafu. Na wana kauzoefu kwa kuwa walimu wa mafundisho hayo. Sasa wewe hata ndoa huna na wala huna mpango huo utatoaje mafunzo

...lol.......hhhahhhaaa, habari kubwa hii...haya bana.
acha nihamie kijiwe changu kule sredi za sport....

Faidini peke yenu ila mjue uchoyo huo 'mungu hapendi!' LOL!
 
<span style="font-family: book antiqua"><font size="3"><font color="#b22222"><br />
...lol...mambo yenyewe kila siku kutishana hapa. Samawati anaelezea uzuri wa ndoa mnampinga ati kwakuwa ndoa yake changa...sasa nishike lipi niache lipi?</font></font></span>
<br />
<br />
Mbu asikuambie mtu ndoa si mchezo,hao wanapiga blabla tu!
 
Eiyer usitegemee kuwa ndoa itakuwepo bila kuwa na vitu kama hivyo. Kuna wenye bahati kwao hayo hayapo ni love mwanzo mwisho na maelewano
Ila kuna nyingine ni balaa kudundana, matusi, kejeli na mambo kama hayo.
Ila yote hayo yapo huwezi ukasema kuwa hayawezi kuwepo na sometime ndo yanadumisha ndoa.
Ndoa ni tamu na ndoa ukiwa unakubali kukosolewa na kuwa kama mwanafunzi kila siku utaifurahia
 
Aisifuye mvua imemnyea.<br />
Samawati uko sahihi kusifia raha unayopata kwenye ndoa yako. Hii itawatia moyo wale wanaosuasua kuingia kwa kuogopa kasheshe za ndoa.Kila jamii inaheshimu na kutia moyo watu waoane. Ukiona yamekushinda kwenye ndoa yako siyo vema kuwakatisha tamaa wengine.Binafsi naona ni vema kuingia kwenye ndoa ikiwezekana kuliko kuogopa kuingia kwa sababu umetishwa.
<br />
<br />
Is not that simple!!Sumu haiojaribiwi kwa kuilamba!
 
<br />
<br />
Mbona mnazungumzia upande mmoja wa shilingi?Mbona hamzungumzii ngumi,kuzira kupiga mechi,kulala vitanda tofauti kununiana kama ile "segimenti"ya origino komedi ya ndoa ndoano!


Unless mtu ameamua kuziishi hizo segment... Ukiamua hauishi humo...
 
hahahah anajitoa ufahamu, hata jamaa akimkung'uta/m cheat yeye atulizane tu ila jamaa atakuja kukiona cha moto akishakamilisha jukumu lake hiyo dec....hahahaha mbinu hiyo shosti.
bonge la mbinu ngoja nilifanyie kazi sjui ntaweza maana namie mpana mno.....
 
Mbu hatukukimbizi ila waruhusiwa kuchangia maana the way unavyoishi na mchumba uliye nae inadetermine the way utakavyokuja kuishi na mkeo. Kama mnakwaruzana hapa na pale, mnasaidiana, mnashauriana, mnaliwazana ndo mtakavyokuja kuishi ndani ya ndoa.
Usiogope kuingia kisa unayoyasikia humo ni mabaya au ni ya ajabu
Yapo na kila mtu ana namna anavokabiliana na masuala ya ndoa hata kama ni ngumu kwake ila anajua namna anavyosolve mambo yake ndani ya ndoa yake.
 
<br />
<br />
Mbu asikuambie mtu ndoa si mchezo,hao wanapiga blabla tu!

...Umeona ee?....
"You have two choices in life: you can stay single and be miserable, or get married and wish you were dead."
Namuonea gere Samawati na Mumewe, miaka tisa na nusu si mchezo...lol...
 
Eiyer usitegemee kuwa ndoa itakuwepo bila kuwa na vitu kama hivyo. Kuna wenye bahati kwao hayo hayapo ni love mwanzo mwisho na maelewano <br />
Ila kuna nyingine ni balaa kudundana, matusi, kejeli na mambo kama hayo. <br />
Ila yote hayo yapo huwezi ukasema kuwa hayawezi kuwepo na sometime ndo yanadumisha ndoa. <br />
Ndoa ni tamu na ndoa ukiwa unakubali kukosolewa na kuwa kama mwanafunzi kila siku utaifurahia
<br />
<br />
How can i knw about mine?Can u predict????
 
Back
Top Bottom