Kuolewa kuna raha zake!

<br />
<br />
mkuu hakuna kituy ambacho ni static na huwezi ukasema kuna mtu perfect hata mmoja yaani mtaoana muwe kama malaika. Ni namna utakavyoiweka na kuitengeneza ndoa yako mkimuomba na mungu atangulie. Haya yanayotokea kati yenu ni mapito tuu mnatakiwa kupambana nayo myashinde.

actually kuoa au kuolewa ni better.....
But kusema ni raha zaidi,that depends......
 
kaka ninae,...anaonekana yuko poa lakn ngoja kidogo mkuu,..si umeona watu humu ndani wanavyoleta matatizo kila kukicha_wengine wakuja kuambiwa hawapendwi baada ya kupita miaka 5,.....uuuuuuuuuuuuh!...puuuuuuuuuuuuuf
<br />
<br />
Mkuu haya mambo ndio sio ya kuingia kwa pupa ila muda wake ukifika utaingia tuu wala hutawaza sijui kuna matatizo au sijui kuna nini. Na mama atakapoanza kudai wajukuu utaingia tuu bila kupenda.
Afu mkuu mambo mengine ya ndoa yanatakiwa yaishie huko huko kuyaleta kwenye mtandao ni njia moja ya kusolve ila mambo ya kile chumba cha mke na mume mhhhh kuyatoa nje ni issue sanam
 
halafu Igwe wewe mara unaogopa kupapaswa mara unaogopa ndoa......... hiyo miaka 5 utakuwa umepata raha.........we ingia humo yakianza unakuja huku kuomba maushauri

halafu si umeona,nikambiwa ntaachwa eti sababu sipendi kupapaswa,....sasa nikioa halafu nikaachwa si ndio msala sasa_maake imani/dini zetu wengine haziruhusu kuachana baada ya ndoa,....aaaaaaaaaaaah!..mm bado nipo nipo sana my lovely sister
 
actually kuoa au kuolewa ni better.....<br />
But kusema ni raha zaidi,that depends......
<br />
<br />
Mkuu angalia hapo juu Igwe hajaona hiyo.
TB raha ipo na kwa wale ambao wanaitafuta wataipata na ukiitaka utaipata
 
Kila Kilichoanzishwa na MUNGU ni chema mbele zake na kwa mwanadamu, MUNGU ndiye wa kwanza kufungisha ndoa ya kweli (mwanamke na mwanamme) Ila wanadamu wameingiza mambo yao ktk ndoa na kusababisha migogoro mingi ambayo ni kinyume na Matarajio ya MUNGU, ndiyo maana siku hizi kwa baadhi ya wanandoa wanaona ndoa ni chungu na hata kupelekea wengine kutokutaka ndoa. Ila mtume Paulo alisema kama unaweza kuvumilia kaa mwenyewe na wala usioe(olewa), ila kwa sababu ya tamaa ni vyema kila mtu akaoa
 
halafu si umeona,nikambiwa ntaachwa eti sababu sipendi kupapaswa,....sasa nikioa halafu nikaachwa si ndio msala sasa_maake imani/dini zetu wengine haziruhusu kuachana baada ya ndoa,....aaaaaaaaaaaah!..mm bado nipo nipo sana my lovely sister
<br />
<br />
Mkuu hata ndoa yenyewe hujaingia ushaanza kuwaza kuachwa. We utakuwa senior bachelor full na itabidi siku ya kuoa unasign affidavit kabisa
 
kuoa na kuolewa ni baraka sana. Ila watu wanakosea kwani wengi ni kutaka 'iwe karibu na mengine wanasahau ndipo kimbembe kinaanza'
 
Kuolewa raha ndio maana watu wanalalamika lakini wamo tu hawatoki! Kuna maisha yaso na mikwaruzano??? Mimi toka mdogo nimekwaruzana na ndugu zangu nilozaliwa nao tumbo moja wengine mpaka tushatwangana mangumi; kitu ambacho mume wangu hajawahi na sidhani kama atakuja kufanya.

Kuolewa raha jamani! Kunapunguza upweke. Embu nambie rafikizo, au nduguzo wote wakiwa na wenza wao wewe bado huko single uoni kuwa unakuwa una bore watu kutaka wawe close na wewe wakati wako na wapenzi wao. Mfano mimi mdogo wangu tulikuwa so close kabla hatujaolewa; sasa hivi hana time na mimi anakata wiki hata hajanipigia simu. Ila na mimi wala sijali kwani niko busy na wangu. Sasa nambie ningekuwa single ni upweke kiasi gani???

What I enjoy most kwenye ndoa ni company. Ila siri ni kuolewa na mtu unayempenda crazly si juu juu maana hapo lazima ndoa itakuwa ndoano.
 
kuolewa raha ndio maana watu wanalalamika lakini wamo tu hawatoki! Kuna maisha yaso na mikwaruzano??? Mimi toka mdogo nimekwaruzana na ndugu zangu nilozaliwa nao tumbo moja wengine mpaka tushatwangana mangumi; kitu ambacho mume wangu hajawahi na sidhani kama atakuja kufanya.

Kuolewa raha jamani! Kunapunguza upweke. Embu nambie rafikizo, au nduguzo wote wakiwa na wenza wao wewe bado huko single uoni kuwa unakuwa una bore watu kutaka wawe close na wewe wakati wako na wapenzi wao. Mfano mimi mdogo wangu tulikuwa so close kabla hatujaolewa; sasa hivi hana time na mimi anakata wiki hata hajanipigia simu. Ila na mimi wala sijali kwani niko busy na wangu. Sasa nambie ningekuwa single ni upweke kiasi gani???

What i enjoy most kwenye ndoa ni company. Ila siri ni kuolewa na mtu unayempenda crazly si juu juu maana hapo lazima ndoa itakuwa ndoano.

kumbe tayari.....lol
 
QUOTE=Kimbweka;2318526]Kila Kilichoanzishwa na MUNGU ni chema mbele zake na kwa mwanadamu, MUNGU ndiye wa kwanza kufungisha ndoa ya kweli (mwanamke na mwanamme) Ila wanadamu wameingiza mambo yao ktk ndoa na kusababisha migogoro mingi ambayo ni kinyume na Matarajio ya MUNGU, ndiyo maana siku hizi kwa baadhi ya wanandoa wanaona ndoa ni chungu na hata kupelekea wengine kutokutaka ndoa. Ila mtume Paulo alisema kama unaweza kuvumilia kaa mwenyewe na wala usioe(olewa), ila kwa sababu ya tamaa ni vyema kila mtu akaoa[/QUOTE]<br />
<br />
Mkuu watu wanaoa au kuolewa bila ile dhana nzima ya ndoa ni nini. Wengine wanaoa au kuolewa ili kukamilisha tuu lile neno kuwa hawa ni mke na mume bila kujua anaenda kufanya nini kwenye ndoa.
Wengine wanaoa au kuolewa ili apate mtu wa kumfulia na kumpikia na kupata sex kila anapotaka. Kumbe dhana nzima ya ndoa sio hiyo ni zaidi ya hilo. Ndo maana watu wa aina hiyo wanaoana na baada ya muda ni nigogoro mitupu
 
halafu si umeona,nikambiwa ntaachwa eti sababu sipendi kupapaswa,....sasa nikioa halafu nikaachwa si ndio msala sasa_maake imani/dini zetu wengine haziruhusu kuachana baada ya ndoa,....aaaaaaaaaaaah!..mm bado nipo nipo sana my lovely sister

dear broda......huna haja ya kuogopa namna hiyo...........jitose mtoni kaogelee ukiona unazama piga kelele utaokolewa bana......angalia usije acha watoto kila mtaa ukisema bado upo upo..............kumbuka hata glass zikiwekwa pamoja haziachi kugongana....na hivyo kwenye ndoa mikwaruzo hapa na pale yapo nikutafuta namna ya kutatua......hofu ondoa
 
<br />
<br />
Mkuu hata ndoa yenyewe hujaingia ushaanza kuwaza kuachwa. We utakuwa senior bachelor full na itabidi siku ya kuoa unasign affidavit kabisa


sawa bana,.....unajua mkuu,...binadamu tuna hulka ya kuogopa vitu vingine ambavyo hatuvifahamu,...ucjali ntaoa_mimi sio muoga hata kidogo
 
dear broda......huna haja ya kuogopa namna hiyo...........jitose mtoni kaogelee ukiona unazama piga kelele utaokolewa bana......angalia usije acha watoto kila mtaa ukisema bado upo upo..............kumbuka hata glass zikiwekwa pamoja haziachi kugongana....na hivyo kwenye ndoa mikwaruzo hapa na pale yapo nikutafuta namna ya kutatua......hofu ondoa

haya bana,...
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??

Samawati unajua kama mumeo anapitaga JF, na unafaham ID anayotumiaga?

Maana ulivyojieleza nahisi kama wewe mke wangu!...
 
Back
Top Bottom