Kuolewa kuna raha zake!

[/COLOR]<br />
<br />
sawa bana,.....unajua mkuu,...binadamu tuna hulka ya kuogopa vitu vingine ambavyo hatuvifahamu,...ucjali ntaoa_mimi sio muoga hata kidogo
<br />
<br />
Mimi siku yako ya kuoa lazima nikusainishe affidavit maana utakuwa umepitiliza muda wako wa kuoa.
Ila mkuu we jipange tuu haya mambo hayakwepeki.
Huyo anayekudanganya kuwa eti anatafuta njia ya kutoka ni muongo. Na inawezekana ni wale waliooa kwa majaribio
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??[/QUOTE]

Tupooooooo.
 
<br />
<br />
mimi siku yako ya kuoa lazima nikusainishe affidavit maana utakuwa umepitiliza muda wako wa kuoa.
Ila mkuu we jipange tuu haya mambo hayakwepeki.
Huyo anayekudanganya kuwa eti anatafuta njia ya kutoka ni muongo. Na inawezekana ni wale waliooa kwa majaribio

usijali kiongozi wangu ,......tuko pamoja
 
Wenzio tuna mipango ya kuacha wewe unakuja na story za kudanganya watu Mkuu IGWE wala usijaribu kutia pua utajitafutia balaa bure.
Wenzio na nani????? Sema wewe mwenyewe ndio una mpango huo kama imekushinda wewe usifikiri na wenzako ndio hivyo hivyo
 
<br />
<br />
Nitakushikia bango wewe na bendera kila siku imeandikwa Igwe oa mpaka utachoka

ahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!.....kaka ntaoa,..halafu nampigia cm mpnz wangu hapokei sijui kesha ona post zangu humu hivyo anaona namchombeza,...ngoja nipige tena
 
Mwambie hapo maana naona kaweka watu wote wana mpango huo wakati ni yeye tuu ana mpango huo
 
ahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!.....kaka ntaoa,..halafu nampigia cm mpnz wangu hapokei sijui kesha ona post zangu humu hivyo anaona namchombeza,...ngoja nipige tena
<br />
<br />
Hahahhahaah kashaona kijana huna mpango unampotezea tuu muda wake na maisha yake.
 
karibuni kwenye harusi yangu dec hii,kama bwanaharusi hajaghairi lakini!!!

mhhhhh sijui hata niseme nini...lol
utfanya nije tu nimuone bwana harusi alivyo..lol
maana wewe si mwanamke wa utani utani lo
ni mwanamke hasa lol
 
Back
Top Bottom