<br />[/COLOR]<br />
<br />
sawa bana,.....unajua mkuu,...binadamu tuna hulka ya kuogopa vitu vingine ambavyo hatuvifahamu,...ucjali ntaoa_mimi sio muoga hata kidogo
<br />
Mimi siku yako ya kuoa lazima nikusainishe affidavit maana utakuwa umepitiliza muda wako wa kuoa.
Ila mkuu we jipange tuu haya mambo hayakwepeki.
Huyo anayekudanganya kuwa eti anatafuta njia ya kutoka ni muongo. Na inawezekana ni wale waliooa kwa majaribio