Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Mbu hatukukimbizi ila waruhusiwa kuchangia maana the way unavyoishi na mchumba uliye nae inadetermine the way utakavyokuja kuishi na mkeo. Kama mnakwaruzana hapa na pale, mnasaidiana, mnashauriana, mnaliwazana ndo mtakavyokuja kuishi ndani ya ndoa.
Usiogope kuingia kisa unayoyasikia humo ni mabaya au ni ya ajabu
Yapo na kila mtu ana namna anavokabiliana na masuala ya ndoa hata kama ni ngumu kwake ila anajua namna anavyosolve mambo yake ndani ya ndoa yake.
...si nasikia baada ya pingu ya maisha makucha yanatoka, ama?