Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,445
pole sana mpenzi, mwenzio nakesha nikiomba hayo yasinikute...!
Pole.
Ila vumilia utaolewa tu.
Mie hamu ya ndoa ishanitumbukia nyongo.
pole sana mpenzi, mwenzio nakesha nikiomba hayo yasinikute...!
Hata YESU alisema"KESHENI MKIOMBA" tehmwenzio nakesha nikiomba hayo yasinikute...!
Nimeonja unyumba mara 4,
Aliolewa juzi utamjua tu lol
Aliolewa juzi utamjua tu lol
Who told u kuwa hakuna ndoa salama. Huo utafiti wako umeufanya kwenye ndoa zipi na wapi na ulichukua sample zako kwa kulinganisha na nini?
Na hizo tafiti za walio na hatari ya kupata bp na ukimwi ulichukulia wapi
Na uliowahoji wote walikiri ni sababu ya ndoa zao kuwa mbaya
Lisa nakubaliana na wewe na hayo uliyoyaona ni machache kuthibitisha kuwa usalama haupo kwenye ndoaNdoa salama zipo, ila most of all haziko salama , nina maana gani, jana nimeona kituko cha ajabu nimemkuta mke wa mtu yuko na katoto ka mtaani nikabaki nashangaa, nikamuuliaza huogopi akanijibu mumewe hayupo kasafiri , leo asubuhi hii nimemkuta mumewe na mwanamke kampakia kwenye gari, wakati alimuaga mkewe amesafiri ameenda morogoro kikazi, sasa hapo Mr rock usalama uko wapi? kama kila mmoja anahangaika kivyake?
wacha kutisha watu weweWenzio tuna mipango ya kuacha wewe unakuja na story za kudanganya watu Mkuu IGWE wala usijaribu kutia pua utajitafutia balaa bure.
kulala bila nguo.
Pole.
Ila vumilia utaolewa tu.
Mie hamu ya ndoa ishanitumbukia nyongo.
Hata YESU alisema"KESHENI MKIOMBA" teh
Hivi, kwenye kupika hujawahi kuungua..?? Kama uliwahi, je uliacha kupika..??? KUJIENDEKEZA TU..Pole.
Ila vumilia utaolewa tu.
Mie hamu ya ndoa ishanitumbukia nyongo.
Kheee, we Munkari, kumbe ni mzoefu kiasi hiki..??! kumbe wengine mmeanza zamani!mh! Mbona hata kwetu nalala bila nguo?
Tupooooooooooo!Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!
Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.
Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.
Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.
faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!
Waume zetu mpoooo??