Kuolewa kuna raha zake!

Kuolewa kuna raha zake!

Aliolewa juzi utamjua tu lol

Asanteeeeeeeeeeeeeee!!!!!! Hahahahahaaaa!!!! Loh! The Boss nimekupenda bureeeeeeeeeeeeeeee!!!! Wala usinidai pesa, Maana nimesoma nikashindwa cha kucomment ila umenisaidia kuongea na kumaliza kila kitu.

Mleta Mada wellcome to Merrage Foundation.
 
Who told u kuwa hakuna ndoa salama. Huo utafiti wako umeufanya kwenye ndoa zipi na wapi na ulichukua sample zako kwa kulinganisha na nini?
Na hizo tafiti za walio na hatari ya kupata bp na ukimwi ulichukulia wapi
Na uliowahoji wote walikiri ni sababu ya ndoa zao kuwa mbaya

Ndoa salama zipo, ila most of all haziko salama , nina maana gani, jana nimeona kituko cha ajabu nimemkuta mke wa mtu yuko na katoto ka mtaani nikabaki nashangaa, nikamuuliaza huogopi akanijibu mumewe hayupo kasafiri , leo asubuhi hii nimemkuta mumewe na mwanamke kampakia kwenye gari, wakati alimuaga mkewe amesafiri ameenda morogoro kikazi, sasa hapo Mr rock usalama uko wapi? kama kila mmoja anahangaika kivyake?
 
Ndoa salama zipo, ila most of all haziko salama , nina maana gani, jana nimeona kituko cha ajabu nimemkuta mke wa mtu yuko na katoto ka mtaani nikabaki nashangaa, nikamuuliaza huogopi akanijibu mumewe hayupo kasafiri , leo asubuhi hii nimemkuta mumewe na mwanamke kampakia kwenye gari, wakati alimuaga mkewe amesafiri ameenda morogoro kikazi, sasa hapo Mr rock usalama uko wapi? kama kila mmoja anahangaika kivyake?
Lisa nakubaliana na wewe na hayo uliyoyaona ni machache kuthibitisha kuwa usalama haupo kwenye ndoa
Ninachomaanisha kila ndoa ina ups and down zake na mwenye kuifanya ndoa ya fulani iwe salama sio mimi na wewe ila ni wao wenyewe wanandoa wanatakiwa kuiweka ndoa yao salama
Hakuna kitu kibaya kama kuangalia fulani ndoa yake ina mapungufu haya na haya na so nikioa au kuolewa ndoa yangu nayo itakuwa kama hii
Jiamini na wewe muombe Mungu wako akupe baraka zake kuweza kutengeneza ndoa imara na salama
 
Last edited by a moderator:
haaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaahaaaaaaaaaa thats Tuko banah,upo weye?
Samawati unajua kama mumeo anapitaga JF, na unafaham ID anayotumiaga?

Maana ulivyojieleza nahisi kama wewe mke wangu!...
 
Last edited by a moderator:
wanaoalalamikia ndoa mara nyingi ni wale ambao ndoa zao zimeshindikana ndo wanakuja kulalama na misemo chungu nzima,otherwise ndoa ni raha tu,mnashauriana,mnaliwazana,ebu cheki mkiwa na waoto inavyokuwa raha mustarehe.
 
Pole.
Ila vumilia utaolewa tu.
Mie hamu ya ndoa ishanitumbukia nyongo.

mie mbona tayari mpenzi, ila tu hajawahi kunifanyia vituko vya kikubwa zaidi tu ya ule wivu wa kawaida wa kuchungwa chungwa kama mtoto (japokuwa imenibidi nimzoee tu maana ni wangu).
 
Ndoa ni kama karata, unapoiingia tarajia asali na shubiri.

Karibu krk chama waonekana una kamba mguuni.
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.



faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??
Tupooooooooooo!
Mh ila hapo kwenye red hapo mh,nadhani ndo huwa mna paongelea zaidi mnapotamka neno usalama na sio zaidi.
Jifunzeni kuwa financially independent girls sio mpango huo oh.
 
Back
Top Bottom