Kuolewa kuna raha zake!

Kuolewa kuna raha zake!

tupogo
kuna movie inaitwa sex and the city
nyingine inaitwa
desperate house wives
married vs unmarried women
 
we acha tu kulalia kifua chako, hasa kale kabaridi ka saa kumikumi kunakucha, jamani rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.

faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??

Mmmmmmh yaani hizi faida ulizoziweka wala hazina Mashiko. They are NOT big deal, eti sijui ULINZI etc MONEY can do all of the above. Labda ile ya kwanza. Najua kila kitu kina faida na hasara. Kuolewa ni muhimu NO matter what happened.

Tunahitaji kuolewa kwani uzinzi sio mzuri kwenye macho ya binaadamu pia kwa MUNGU.
Tunahitaji kuolewa haipendezi kuzaa ovyo, au kila mtoto ana baba yake.
Tunahitaji kuolewa ili kukusanya nguvu pamoja kwa ajili ya kuijenga familia, tofauti baba/mama wakiwa kila mtu kivyake.
Tunahitaji kuolewa, ni heshima kwenye jamii. Unaonekana uko matured enough, unaaminika kwenye jamii pia ni rahisi kupewa majukumu mengine.
Tunahitaji kuolewa, kwa ajili ya kupata faraja kutoka kwa wenzi wetu, unakuwa na mtu ambaye unaweza ukamshirikisha raha au magumu unayoyapitia na mkakaa pamoja kutafuta suruhisho.

Na mengine mengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
daaahhh pole saba bwanah ila ndo hivyo kukomaa ndg yangu bila hivyo kuna kuadhirika mjini hapa,nakutakia majukumu mema mkuu.
Nipo nipo mkuu... Majukumu yananitafunia mda...
 
Aliolewa juzi utamjua tu lol

kwi kwiiiiiiiiiiiiii ..yani wewe umenichekesha sanaaaa. Naweza kukubaliana na wewe coz to me hizo faida alizoweka sio nzito kivilee na nyingine unaweza kuzipata hata kama haujaolewa.
 
Wako watu wanaosema ndoa ndoano
kwamba ndoa ni msalaba na mengine ya kuponda.
Acheni niwatajie baadhi ya raha za kuolewa!

Ukiolewa kwanza unapata kibali cha kuwa na mpenzi wako kihalali.
Raha zako ni halali! Huhukumiwi na mtu yeyote tena.

Pia unapokuwa na mume una uhakika wa ulinzi kwa maana una pa kukimbilia.
Hakuna mtu atakutishia kwa lolote. Una uhakika wa kupata msaada wakati wowote.

Ukiwa na mume unaweza kujijaribia mambo mengi kama huyo mume ni mtu mwenye
uelewa na mwenyewe msaada. Waweza kuondoka kazini ukaenda masomoni na ukajua
hutaishiwa au kupungukiwa.


faida ziko nyingi sana ............. kwa wanawake wenye kufurahia ndoa hebu nanyi elezeeni mnavyofurahia
ndoa zenu!

Waume zetu mpoooo??
Tupoooooooooooooo....shauri ya nyinyi.. shauri ya kuwapa rahaaaaa...ndoa hip hip ... hureeeeeeee. Mmmmh wewe mama wewe natamani hii mada waione na wale wanawake wote humu wanaopinga kwamba dunia ya leo hakuna watu wanaofurahia ndoa. Waje wapate ushahidi ambayo nimekuwa nikiwaambia kila siku kwamba unapoona wewe ndoa yako ina matatizo fahamu tatizo lilianzia kwako kung'angania ubavu usio wako.
 
Mmmmmmh yaani hizi faida ulizoziweka wala hazina Mashiko. They are NOT big deal, eti sijui ULINZI etc MONEY can do all of the above. Labda ile ya kwanza. Najua kila kitu kina faida na hasara. Kuolewa ni muhimu NO matter what happened.

Tunahitaji kuolewa kwani uzinzi sio mzuri kwenye macho ya binaadamu pia kwa MUNGU.
Tunahitaji kuolewa haipendezi kuzaa ovyo, au kila mtoto ana baba yake.
Tunahitaji kuolewa ili kukusanya nguvu pamoja kwa ajili ya kuijenga familia, tofauti baba/mama wakiwa kila mtu kivyake.
Tunahitaji kuolewa, ni heshima kwenye jamii. Unaonekana uko matured enough, unaaminika kwenye jamii pia ni rahisi kupewa majukumu mengine.
Tunahitaji kuolewa, kwa ajili ya kupata faraja kutoka kwa wenzi wetu, unakuwa na mtu ambaye unaweza ukamshirikisha raha au magumu unayoyapitia na mkakaa pamoja kutafuta suruhisho.


Na mengine mengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ndiyo yale yale ya Wabunge kupinga hoja halafu unaishia kwa kuikubali. Hahahahahahahahahhaa
 
Vizazi vya Halali vina baraka yake !! Chakula mnachokula kina ladhaa yake, Maisha na mumeo ya mwelekeo wake maarufu !!
Nyumba mnayoishimo ina nuru na raha yake !! Good appearance ..
 
Mbona views zenu zinafanana kasoro lugha tu. Lol.

Mmmmmmh yaani hizi faida ulizoziweka wala hazina Mashiko. They are NOT big deal, eti sijui ULINZI etc MONEY can do all of the above. Labda ile ya kwanza. Najua kila kitu kina faida na hasara. Kuolewa ni muhimu NO matter what happened.

Tunahitaji kuolewa kwani uzinzi sio mzuri kwenye macho ya binaadamu pia kwa MUNGU.
Tunahitaji kuolewa haipendezi kuzaa ovyo, au kila mtoto ana baba yake.
Tunahitaji kuolewa ili kukusanya nguvu pamoja kwa ajili ya kuijenga familia, tofauti baba/mama wakiwa kila mtu kivyake.
Tunahitaji kuolewa, ni heshima kwenye jamii. Unaonekana uko matured enough, unaaminika kwenye jamii pia ni rahisi kupewa majukumu mengine.
Tunahitaji kuolewa, kwa ajili ya kupata faraja kutoka kwa wenzi wetu, unakuwa na mtu ambaye unaweza ukamshirikisha raha au magumu unayoyapitia na mkakaa pamoja kutafuta suruhisho.

Na mengine mengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kumbe na wewe umeliona hilo....alivyoanza kuponda nikasema ngoja nisoma mapoint....kumbe ni mule mule. Kha...labda alikuwa ana joke.

Ndiyo yale yale ya Wabunge kupinga hoja halafu unaishia kwa kuikubali. Hahahahahahahahahhaa
 
Sasa kwenda kusoma si ndio moja ya njia za kufikia hiyo independence....hata mie bila ndoa sijuhi hawa makinda wangu nani ange take care mimi ninapokuwa masomoni....point ya kuweza kusoma nimeikubali na nimeshafaidika sana kwa hilo. more kusoma means more money means more financial independency...nothing wrong with kumtegemea mume kulea watoto when needed. kama huna mume unawapeleka wapi? kwa bibi na babu?

Tupooooooooooo!
Mh ila hapo kwenye red hapo mh,nadhani ndo huwa mna paongelea zaidi mnapotamka neno usalama na sio zaidi.
Jifunzeni kuwa financially independent girls sio mpango huo oh.
 
Nina office mate wangu alishaolewa akateseka ameachika...ana pesa ndeefu lakini chakushangaza na kunifurahisha juzi kati amenambia akipata mzee mwenzie anaolewa...asikwambie mtu ndoa ndo kila kitu bana kama hukufanya wrong choice.

Tena hawa wanaoolewa uzeeni ndio wana enjoy mara mbili maana kama life walishakulaga vya kutosha.Lol.
 
Afu hii ilikuwa 2011...Eiyer bado upo upo au umeshaoa? Maana miaka 2 mingi inawezekana umebadili msimamo.
 
Back
Top Bottom