AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
asha watake radhi vidume vya haja
kuna wanaoondoka asbh saa kumi namoja wakidai wanawahi folen wanaenda kwa bi mdogo mpaka saa moja na nusu
wakifika lunch wanenda magomeni ile one hr waanrudi ofiisni wakimaliza kazi wanaaga 30 kabla wanaenda sinza kurekebisha wa tatu
kabla ya kurudi nyumban kuhitimisha wa nne..hapo mke wa nyumban ajui akiwekwa wazi si 4*2=8
Hio round inaenda kila siku?? hio round anafika yeye tu au hata wahusika??
maana huwezi sema wewe wa haja una wake wanne alafu kila wakifika safari
wanajifikisha wenyewe baada ya wewe kuwaachia njian....