Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ilimchukua dk 25 kuelezea swala la ndoa za wake wa nne bw huyu mh kibonde kwenye kipindi cha jahazi hata hivyo
katika maneno yake yote nilitarajia atakuja na jibu kuoa wake wa nne ni nini??akaishia na kuanza kuelezea unajua
kuna wengine wakiwa na wake wengi wanaona ushujaa na wengine wanakuwa tu na tamaa ya kuongeza wake
wakati uwezo wa kuwatunza hawana ,,akasema hata kile kitabu chetu kinasema ni dhambi kubeba mzigo wakati huna
uwezo wa kuwahudumia wote na wanatakiwa wawe na furaha masaa yote asitokee mmoja kulalamika ama kwenye upande
wa mboga mchele ujapeeleka ama umemnyima TUNDA lake....akasema wengine wanaona wake zao wakiwa wanapigana ama
kutukanana wao wanafurahia sana hali hiyo so mwisho akasema anauliza
kuoa wake wanne ni mahaba tamaa ama ushujaa...ungekuwa msikilizaji ungejibu nini kusaidiawale wanaokimbilia kuongeza
list huku uwezo wao kwa siku kamoja mara mbili na huku viko vyumba vinne...tunaomba mawazo yako yazingatie kusaidia
kupunguza msongamano wa talaka zinazoendela kutolewa kila iitwapo leo na si hilo tu kupunguza idadi ya watoto wanaozaliwa
bila malezi ya baba zao mwisho wasiku kukumwagia maji machafu kama wale wa Ubungo maji traffick light..katika majibu yako
MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA
katika maneno yake yote nilitarajia atakuja na jibu kuoa wake wa nne ni nini??akaishia na kuanza kuelezea unajua
kuna wengine wakiwa na wake wengi wanaona ushujaa na wengine wanakuwa tu na tamaa ya kuongeza wake
wakati uwezo wa kuwatunza hawana ,,akasema hata kile kitabu chetu kinasema ni dhambi kubeba mzigo wakati huna
uwezo wa kuwahudumia wote na wanatakiwa wawe na furaha masaa yote asitokee mmoja kulalamika ama kwenye upande
wa mboga mchele ujapeeleka ama umemnyima TUNDA lake....akasema wengine wanaona wake zao wakiwa wanapigana ama
kutukanana wao wanafurahia sana hali hiyo so mwisho akasema anauliza
kuoa wake wanne ni mahaba tamaa ama ushujaa...ungekuwa msikilizaji ungejibu nini kusaidiawale wanaokimbilia kuongeza
list huku uwezo wao kwa siku kamoja mara mbili na huku viko vyumba vinne...tunaomba mawazo yako yazingatie kusaidia
kupunguza msongamano wa talaka zinazoendela kutolewa kila iitwapo leo na si hilo tu kupunguza idadi ya watoto wanaozaliwa
bila malezi ya baba zao mwisho wasiku kukumwagia maji machafu kama wale wa Ubungo maji traffick light..katika majibu yako
MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA