Soloboy Member May 14, 2011 26 5 Aug 1, 2011 #61 ni uzinzi tu,rizika na mmoja aliyekupa Mungu.!Wanne au mmoja na vimada njee wote wazinzi tu...
Gaga JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,558 1,968 Aug 1, 2011 #62 Ni tamaa tu,coz hata ukiwa na wanne utaendelea kutamani vya nje,coz ni hulka yako